Watanzania hawawezi kuandika

Kwahiyo huu uzi wako hapa ulikua ni kwa ajili ya hao wazungu au kwa sisi waswahili?
 
Title : Watanzania awawezi kuandika

SIO awawezi ni hawawezi >> ongezea h

Mkuu Maxence Melo inabidi aujiri mtu wa kufanya editing za hapa na pale kwenye Maandiko yanayotupiwa humu la sivyo Maandiko mengi humu yanakua km vituko tu Kiswahili sio Kiswahili haieleweki mtu mwingine anaweza akaona kinyaa kusoma
 
Acha ubishi wewe unavyokanusha lazima utumie prefix "ha".
 
Awawezi, awatatambui

Crap
 
Another gibberish
 
Wewe MEMKWA acha kujifanya msomi. Rudi shule kwanza
 
Aliyesema "nyani hauni kund.le" alisema kweli.
Wewe "writing skills" yako ni ya level gani!!??
 
Hiki ndio kinachowaaribu; grammar is 5% on academic.

Issues za msingi ni structure na research evidence; ambazo hakuna.

Watanzania tunadhani unaweza jiandikia mambo tu kutoka kichwani kwako.
Unazidi kuandika utumbo tu

Throwing a few words here and there mara global, mara research, mara structures

Mara hakuna research evidence, lakini hapohapo unasema Awajui kuandika,

Tafuta mada nyingine…. Hii umejinyea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…