The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kwahiyo huu uzi wako hapa ulikua ni kwa ajili ya hao wazungu au kwa sisi waswahili?View attachment 3007077
Siwalazimishi kuamini hiyo dissertation marking yangu amini usiamini nimewafyatulia maneno 15,000 kwa week tatu tu wazungu.
Iła naamini majungu tu kwa sababu ata lecture zenyewe nilikuwa siendi vinginevyo ile kazi ni 90%+.
Sasa unajua shughuli unayotakiwa kufanya hadi wazungu wakupe A dissertation ata hiyo ya 70%.
Mie sio mzaha mzaha mjue, hiyo attendance nikwamba lecture zenyewe nilikuwa siendi.
Mwambie.Awawezi, ata, awatambui, wanazoabdika.
Hayo nimakosa baadhi Kwenye uandishi wako wa maada uliyoleta hapo juu.
Ukiwa unafanya ukosoaji jitahidi angalau ukidhi usahihi angalau wa 95% yakile unachokosoa.
Wewe pamoja na sisi watanzania unaotuzungumza wote hatujui kuandika vizuri.
Punguza kukurupuka.
That minor in academic writing it’s just grammar.Ku research topic topic×
Kufanya utafiti wa mada✓
Awawezi×
Hawawezi✓
Kuchanganya lugha ni kosa.unamakosa mengi sana na hayo ni baadhi tu niliyoyaona.
Acha ubishi wewe unavyokanusha lazima utumie prefix "ha".Academic writing, logical writing, argumentation writing; is not about misspelling (grammar matters) but logic of the argument is foremost.
Shida ni kwamba wengi wetu hatuna uelewa wa kujenga hoja kuonyesha position yetu given the global understanding.
Uwezi kujisbdikia upuuzi tu kutoka kichwani kwako without academic justification or understood practices.
Uzi umekugeuka, acha kukaza shingo. Mods msimsaidie chochote msomi uchwara huyuThat minor in academic writing it’s just grammar.
Awawezi, awatatambuiMoja kwa moja kwenye hoja yangu
Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.
Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).
Shida ya wasomi wetu sio kwamba awatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila ata.kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.
Ili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi awawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic topic wanazoabdika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.
More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Huu uzi wangu ni kwa ajili ya ‘stories of change 2024’ asilimia kubwa ya washindani awawezi kuandika.Kwahiyo huu uzi wako hapa ulikua ni kwa ajili ya hao wazungu au kwa sisi waswahili?
Another gibberishAcademic writing, logical writing, argumentation writing; is not about misspelling (grammar matters) but logic of the argument is foremost.
Shida ni kwamba wengi wetu hatuna uelewa wa kujenga hoja kuonyesha position yetu given the global understanding.
Uwezi kujisbdikia upuuzi tu kutoka kichwani kwako without academic justification or understood practices.
Aisee!SIO ata ni hata >> ongeza h mbele
SIO uwezi ni huwezi >> ongeza h mbele
SIO awatambui ni hawatambui >> ongezea h mbele
SIO awawezi ni hawawezi >> ongezea h mbele
Pole sana Mkuu na hapo tumechambua kidogo tukichambua sana hili Andiko lako hata HICHO kingereza utatoka na 0.5 out of 10
Change kwanza uandishi wako.Huu uzi wangu ni kwa ajili ya ‘stories of change 2024’ asilimia kubwa ya washindani awawezi kuandika.
Wewe MEMKWA acha kujifanya msomi. Rudi shule kwanzaAcademic writing, logical writing, argumentation writing; is not about misspelling (grammar matters) but logic of the argument is foremost.
Shida ni kwamba wengi wetu hatuna uelewa wa kujenga hoja kuonyesha position yetu given the global understanding.
Uwezi kujisbdikia upuuzi tu kutoka kichwani kwako without academic justification or understood practices.
Hiki ndio kinachowaaribu; grammar is 5% on academic.Awawezi, awatatambui
Crap
Aliyesema "nyani hauni kund.le" alisema kweli.Moja kwa moja kwenye hoja yangu
Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.
Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).
Shida ya wasomi wetu sio kwamba awatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila ata.kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.
Ili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi awawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic topic wanazoabdika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.
More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Unazidi kuandika utumbo tuHiki ndio kinachowaaribu; grammar is 5% on academic.
Issues za msingi ni structure na research evidence; ambazo hakuna.
Watanzania tunadhani unaweza jiandikia mambo tu kutoka kichwani kwako.
Hapa mboni umeandika vizuri kule juu imekuaje au jazba?Hiki ndio kinachowaaribu; grammar is 5% on academic.
Issues za msingi ni structure na research evidence; ambazo hakuna.
Watanzania tunadhani unaweza jiandikia mambo tu kutoka kichwani kwako.
Kiingereza hukijui na Kiswahili hukijui. Sasa wewe ni mtu wa namna gani?That minor in academic writing it’s just grammar.