Watanzania kabla ya kuanza mradi wa Bandari ya Bagamoyo tafuteni Articles za 'Lesson from Sri Lanka Hambantota Port'

Sasa mkuu EPZ zote tax holidays lazima,kuleta miundombinu ni jukumu la serikali sio mwekezaji,kwa mfano unatoa tax holiday kwa viwanda vya mbolea na usindikaji Mazao ya kilimo ,hapo huoni umeongeza value kwenye mnyororo wa thamani?

Economic benefits sio Kodi tuu na ajira
 
Na mchina lengo lake hasa ni hapo kwenye bandari, maana anajua atafanya ufirauni wote hapo bila mamlaka za nchi kujua kinachoendelea.......
 
Na mchina lengo lake hasa ni hapo kwenye bandari, maana anajua atafanya ufirauni wote hapo bila mamlaka za nchi kujua kinachoendelea.......
Kwa hiyo mkuu wangu 'nyumisi' unasemaje, hatuwezi kamwe tukaaanza kwa kujikongoja kuuanzisha mradi huu sisi wenyewe?
Kwa nini tusiwe jasiri kidogo, tuseme huu mradi ni wetu!
 
Tunayo nafasi ya Bandari ya Mwambani Tanga, pia ya Tanga Mjini na pia ya Mtwara , Bagamoyo ikawa ni ya "kutambika"
 
Na hizo machine zake halipii kodi kuziingiza, wakati Kagera sugars mitambo yao ilikwama bandarini kisa kodi.

Imagine sasa kama mchina nae anajenga kiwanda cha sukari huyo Mtibwa na Kagera sugars watashindana na kiwanda ambacho mitambo yao wameingiza bila ya kulipia ushuru na wanapata capital allowance and before we forget wana tax holiday.

Now put that scenario kwa kila kitu kitakacho zalishwa hapo kuna kiwanda cha Tanzania kitashindana nao kwenye bei sokoni? Bado ujaweka low production costs za umeme, maji, ardhi wamepata bure na wala awataki kulipa land fees.

We unadhani wao wajinga kutaka hiyo industrial park iwe sehemu ya mkataba wa bandari.
 
Tunayo nafasi ya Bandari ya Mwambani Tanga, pia ya Tanga Mjini na pia ya Mtwara , Bagamoyo ikawa ni ya "kutambika"
Critics might argue unreability ya miundombinu kufanya hizo sehemu kuwa easily accessible na nchi kama Congo, Uganda, Rwanda na Burundi
 
Mambo mengine bwana... Kama mradi ni kwa faida yetu waTZ, sasa kwanini waChina ndio wawaite nchini kwao na kuwa convince kuwa mradi ni kwa faida ya TZ. Ideailikuwa ya kwao au yakwetu? Kwanini msingeibua mradi nyie waTZ na kuu present kwao na kuwahakikishia kuwa ni winwin situation, wote tutafaidika?
 
Kwa hiyo mkuu wangu 'nyumisi' unasemaje, hatuwezi kamwe tukaaanza kwa kujikongoja kuuanzisha mradi huu sisi wenyewe?
Kwa nini tusiwe jasiri kidogo, tuseme huu mradi ni wetu!
Na mimi ndo ulikuwa mtazamo wangu, kwa sababu kwa sasa hatuna pressure kubwa kwenye swala la bandari. Bandari za Dar, Tanga, Mtwara zimeshapewa pesa kwa ajili ya expansion, Ya Dar tayari imepiga hatua kubwa kwa kuongeza gati hadi zitafika 13. Kwa hiyo nilitegemea nchi ingeanza uwekezaji kwenye bandari ya bagamoyo kwa pesa zake yenyewe na mikopo ili ipate starting point kabla wawekezaji wengine hawajaja....
 
Hayo ya kodi yanajadilika ,Kuhusu ushindani hayo ni mambo ya biashara,afu sijui kama unajua uchumi,Rostam alienda kuwekeza Kenya no way out Tzn itanufaika isipokuwa host country kwa hiyo Mchina akiwekeza still wanufaika ni sisi sio China.

Wao faida yao ni kutafutia watu wao ajira na ile volume ya biashara baina ya Nchi ndio nchi itanufaika kwenye external trade
 
Kuna watu wanajiona wajanja kwenye hili kisa wametanguliza maslahi yao, hii inaweza kuleta political crisis ambayo haijawahi kushuhudiwa......hapo mchina amedinda na mkataba wake wa miaka 99 hasikii la mtu.
Kiasi flani akili ya waTZ na uelewa kuhusu matumizi ya kodi zao umefunguka. Asipokuwa makini atakuja kuwa infamous leader (sipendi kutumia neno hili). Anatakiwa ajue, wananchi wanam banchmark na leaders waliopita, hasa yule aliyemrithi.
 

China ni ndugu zetu wanatujali sana
 
Critics might argue unreability ya miundombinu kufanya hizo sehemu kuwa easily accessible na nchi kama Congo, Uganda, Rwanda na Burundi
Hujasikia plan ya SGR Tanga kuelekea huko unakosema, maana hata Bwagamoyo hawa hiyo miundo mbinu
 
Idea nzuri bro,,lakini kweli unipange mm Waiter kwenye foleni ya kupigia kura bandari yenye viwanda 190,obviously kura yangu nitaipigia ndio....ndo maana tukachagua wabunge,kama hawajielewi nchi itapotea
 
Kuhusu kodi laxima wachukue tax holiday kwa miaka nenda rudi! Nukk Sri Lanka wachina hawatalipà kodi kwa miàka 32!! Ajira watakazotengewa watanzania ni ukuli yaani wabeba mizigo bandarini. Nafasi muhimu watashika wachina!!
.
 
Kuna watu wanajiona wajanja kwenye hili kisa wametanguliza maslahi yao, hii inaweza kuleta political crisis ambayo haijawahi kushuhudiwa......hapo mchina amedinda na mkataba wake wa miaka 99 hasikii la mtu.
Political crisis utaifanya wewe labda.

Tena utaifanyia humu JF.
 

hamuhusiki kwenye hio hasara? ujinga mzigo sana
 
Katika miradi ambayo watanzania tunapaswa ipigia kelele ni huo
 
Hujasikia plan ya SGR Tanga kuelekea huko unakosema, maana hata Bwagamoyo hawa hiyo miundo mbinu
Hiyo kwakweli sijasikia, kama kuna hiyo mipango inaongeza kesi ya Tanga kudai bandari kubwa. Either way Bagamoyo kwa mazingira ya sasa ina supporting infrastructures so kuna strong case kwa mazingira ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…