Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Kama viongozi uliowateua, timu uliyoongoza na wale uliowasajili kutoka upande wa pili wanakataliwa kwa nguvu hivi ndani na nje ya chama chako - unafikiri wewe unakubalika? Ukiona mtoto wako kipenzi anazomewa na kudhihakiwa ujue na wewe unasubiriwa siku yako ifike!

#ChangeTanzania
 
Yaani humpendi tu au siyo?!!!.Ukisikia roho mbaya basi ndo hii.
Simpendi makondakta aaaaaah kwan tsh ngapi bhanaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndani ya 24hrs thread zisizopungua 20 za kumuhusu Makonda[emoji23]na bado kuna member wengine zaidi ya 20 wanaandaa thread mpya[emoji23].
Huyu Makonda anakitugani cha kutisha?

Marehemu kadhaa waliotangulia mbele ya Haki kwa Kulazimishwa, ila siyo kwa Mapenzi yake Mwenyezi Mungu wanaweza kuwa na Majibu yote.
 
Kuna taarifa kuwa Ndungulile atapozwa na ahadi ya kupewa kazi nyingine ili ampishe huyo mtu agombee

Na hapo ndipo CCM Kigamboni itakuwa imeshamhalalisha Mgombe wa Upinzani Kushinda Ubunge na hata Mimi nitampigia pia Kura yangu hasa.
 
Makonda ana mapungufu yake mengi ni kweli hata mimi simkubali. Lakini wengi wanaongozwa na chuki na wivu. Ukizingatia wanajua jamaa hajasoma na ana zero.

Wanamuona anabebwa bebwa wakati wao wanasota.
 
Mimi CCM naishi Kigamboni hicho kikao cha wana CCm kilichokutuma kilikaa wapi mumbeya mkubwa wewe.Weka miniti za kikao hapa na waliohudhuria na kilikuwa chini ya uenyekiti wa nani.Umejaa uongo na uzushi

Jitu zima hovyo kabisa wewe.JITU ZIMA KAZI KUTUNGA UONGO
 
Huku ni kujidanganya. Si alipigiwa kura na wajumbe wa chama chake huyo unayemzungumzia?
 
Gentamycine katika hali hiyo Magufuli ameshinda kwani alimuonya toto pendwa kuwa bado ananyonya siasa za mashindano bado muda wake.
Masikini Makonda hakujua kuwa Dar-es-salaam ni jiji la wanafiki,walikuwa wanamsukuma agombee bila yeye kujitathmini.
 
I am not a gay! Wewe unakaa chini unaleta story kama hizi wakati unajua ni uongo na uzushi. Toa reference ya walio kwambia. Who pays you to spin?
HUYO ni mtu mzima hovyo mhurumie akili zake kwa sasa haziko vizuri anapitia changamoto kali sana kimaisha Mungu tu amsaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…