Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

" GENTAMYCINE Sisi wana CCM hapa Kigamboni tulikwazika sana hasa na Kitendo cha Mtu ambaye Kwanza hakai nasi huku Kigamboni kuja Kugombea na tena Kilichotuuma zaidi ni Yeye kuja huku wakati akijua kabisa kuwa Kipenzi chetu wana CCM Kigamboni Daktari Faustine Ndugulile yupo, ametufanyia makubwa na hakuna Kosa lolote alilotufanyia. Jana tumetoa Meseji kwa walio huko Juu, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE kuna Tetesi tumeanza Kuzisikia tu kuanzia jana Usiku baada ya Matokeo kuwa kuna Mtu atalazimishwa ndiyo agombee kwakuwa tu anapendwa na sijui ili Kumlinda asije akaharibu zaidi. Sasa tunakutuma ukawaambie kuwa wakimpitisha tu huyo Mtu Wao wana CCM Kigamboni tutampigia Kura Mgombea wa Upinzani au Kumtaka Dokta Ndugulile ahamie huko tumpigie, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE hivi Mtu amepitwa kwa Kura 68 leo hii utalazimishaje ndiyo aje kuwa Mgombea Wetu? Kwahiyo wanataka kusema kuwa hao wana CCM 68 hawana Akili au hawaujui Umuhimu wa Mbunge wetu Kipenzi na aliyemaliza muda wake Dokta Faustine Ndugulile? Tunamuomba kwa Heshima na Taadhima kabisa huyo mwenye Chuki zake na Dokta Ndugulile ayamalize nae ili CCM Kigamboni isonge na akilazimisha tu yale yaliyotokea Kawe 2015 yatahamia huku, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE mwisho kabisa tunakutuma ukawaambie hao wana CCM wako Makao Makuu huko Dodoma ukienda kwamba tuna hadi Namba za Simu kama Ushahidi za Watu waliokuwa wakitumiwa Kugawa Pesa kwa Wajumbe wakiutaka watualike katika Kikao chao tuwape. Dokta Ndugulile anatutosha sana Kigamboni na ni Mzawa halisia sasa walazimishe wauone Moto wetu wana CCM Kigamboni, " wamesema wana CCM Kigamboni.

Baada ya GENTAMYCINE kutoka zangu Kigamboni sasa naelekea Jimboni Kawe ili Kamati ile ile ya Roho Mbaya Leo pia imlime Mla Kondoo nae.

Mtakuwa mmefurahia kupitishwa kwa ndugulile aliyetaka tufe kwa covid-19 ili nyie chadema mpate pakusemea.

Makonda kiboko yenu ndiye anayerudi.
 
Hakuna anaemchukia Makonda ila matendo yake ndio yanafuatana nae!! Iliwahi kunenwa kila mtu anavuna alichopanda ukipanda wema utavuna wema ukipanda ubaya utavuna ubaya sasa mlitegemea makonda avune sema wakati alipanda mbegu ya ubaya?

Good news Ni kwamba God is nowadays balancing equation on earth mbinguni Ni hesabu tu hapa duniani matendo yako ndio yatakuhukumu
 
Mimi CCM naishi Kigamboni hicho kikao cha wana CCm kilichokutuma kilikaa wapi mumbeya mkubwa wewe.Weka miniti za kikao hapa na waliohudhuria na kilikuwa chini ya uenyekiti wa nani.Umejaa uongo na uzushi

Jitu zima hovyo kabisa wewe.JITU ZIMA KAZI KUTUNGA UONGO

Kwa IQ yangu kubwa iliyobarikiwa hasa na Mungu na Kutukuka kabisa GENTAMYCINE sina Hadhi ya Kukutana na Wewe mwana CCM uliye Juha.
 
Nimetoka kapa, aliyeelewa anifahamishe. Kiingereza sikijui kiviiile [emoji44][emoji44]
 
Kuangushwa katika kura za maoni za CCM, katika jimbo la Kigamboni, kwa Paul Makonda na Faustine Ndugulile, kumepokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania wa nchi nzima

Hivi hali hiyo inaweza ikawa inaashiria nini?

Hivi inawezekanaje kwa mkuu wa mkoa, ambaye mara kwa Mara amekuwa akisifiwa hadharani na Rais Magufuli aliyemteua na kumtaja kuwa ndiye mkuu wa mkoa bora kabisa hapa nchini na wakuu wa mikoa wengine, wanapaswa waige mfano wa uchapaji kazi wa huyo Paul Makonda, wanaccm wa Kigamboni waamue kumnyima kura?

Licha ya malalamiko mengi sana ya wananchi kuwa Mkuu huyo wa mkoa hafai na kumwomba Rais Magufuli atengue uteuzi wake................

Hata hivyo Rais Magufuli amekuwa akiweka pamba masikioni na kutotaka kabisa kusikiliza maoni hayo ya wananchi, hadi wakati fulani aliwahi sikika Rais Magufuli akimwambia Mkuu huyo wa mkoa aendelee kuchapa kazi na asisikilize hizo shutuma zinazotolewa na wananchi walio wengi na akaendelea kumsifia kuwa yeye Makonda ndiye RC bora kabisa hapa nchini, ambapo maRC wengine wanapaswa wamuige yeye Makonda kwa.uchapaji kazi wake!

Je ni kiburi hicho alichopewa na Mheshimiwa Rais, ndicho kilichompa kichwa hadi kuwadharau watanzania wote hadi wakuu wake wa kazi?

Bila shaka wananchi bado hawajasahau lile sakata la namna mkuu huyo wa mkoa, Paul Makonda, alivyoweza kutunushiana "msuli" na waziri wa Fedha, Mheshimiwa Philipo Mpango, kuhusu yale makontena yake ya "fanicha" aliyotaka kuyaingiiza nchini bila ya kuyalipia ushuru, hadi pale Mheshimiwa Rais alipoingilia kati na "kumwamuru" mkuu hiyo wa mkoa ayalipie ushuru stahiki makontena hayo

Kutokana na kiburi chake kilichopitiliza wananchi walifikia hatua ya kumbatiza cheo kisichokuwepo cha "Naibu Rais" wa Tanzania!

Hata hivyo wananchi wote wa nchi nzima, hatuna budi kuwapa pongezi wajumbe wa mkutano wa kutoa mapendekezo kwa Jimbo la Kigamboni kwa kufanya kazi iliyotukuka ya "kulikata" jina la Paul Makonda!

Ni matumaini ya wananchi wote kuwa kwenye vikao vilivyosalia vya juu zaidi vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, vitatia "tiki" uamuzi wa wanakigamboni na kutolirejesha jina la Paul Makonda kuwa ndiye mpeperusha bendera za ubunge kwa tiketi ya CCM na kuunga mkono mapendekezo yaliyotolewa na wanaccm wa Kigamboni kuwa Faustine Ndugulile ndiye apeperushe bendera ya CCM kugombea ubunge huo baadaye mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika hapa nchini

Mungu ibariki Tanzania

MUNGU ibariki Tanzania!
Uchambuzi makini, hongera. Napigilia msumari usahihi huo kwamba kama kinyang'anyiro cha aina hiyo kingekua ni kura ya maoni nafasi flani ya kitaifa basi TAKWIMU zingethibitisha hilo. BUT, kwa wingi wa watu (sampling ya mamilioni) angeambulia SUFURI. Hata kwa tindikali hasafishiki. Dadeq!🤓
 
Gentamycine katika hali hiyo Magufuli ameshinda kwani alimuonya toto pendwa kuwa bado ananyonya siasa za mashindano bado muda wake.
Masikini Makonda hakujua kuwa Dar-es-salaam ni jiji la wanafiki,walikuwa wanamsukuma agombee bila yeye kujitathmini.

Mkuu Akili za Makonda ni za ' hovyo hovyo ' na inawezekana akawa anazidiwa ' Kiupumbavu ' sana tu na Interested Observer na YEHODAYA.
 
MUNGU ibariki Tanzania!
Uchambuzi makini, hongera. Napigilia msumari usahihi huo kwamba kama kinyang'anyiro cha aina hiyo kingekua ni kura ya maoni nafasi flani ya kitaifa basi TAKWIMU zingethibitisha hilo. BUT, kwa wingi wa watu (sampling ya mamilioni) angeambulia SUFURI. Hata kwa tindikali hasafishiki. Dadeq!🤓
Koffi Yardley
Thank you for your appreciation 👍
 
Mkuu, usitake kutufanya sisi wote hatuna akili za kuchanganua mambo..kwamba tunabebwa na upepo wa mitandao inayotumika na baadhi ya watu kwa maslahi yao. Huyo bwana kavuna alichopanda, period!
Samahani mkuu sijasema kwamba hamna akili naheshimu sana mawazo ya watu na wewe yakupasa hueshimu yangu, binafsi sioni makosa ya Makonda ambayo husababisha jamii kumchukia na wala jamii haimchukii Makonda kama baadhi ya watu wanavyojaribu kutuaminisha naamini kwa kazi alilizozifanya Makonda anaweza shinda jimbo lolote la Dar ikiwa kura zitapigwa na wananchi wa kawaida.

Mimi na tabia ya kumpima mtu kwa kazi zake sio majungu au prejudice. Tangu Makonda ameingia madarakani madawa ya kulevya yameisha Dar kam sio kupungua, wako wapi panya road, vipi kuhusu usafi wa jiji, vipi kuhusu kipindupindu Dar kipo tena? Sasa unaanzaje kumchukia mtu huyu?
 
Mtakuwa mmefurahia kupitishwa kwa ndugulile aliyetaka tufe kwa covid-19 ili nyie chadema mpate pakusemea.

Makonda kiboko yenu ndiye anayerudi.

Makonda wenu ' Keshamalizwa ' na sasa hana chake tena nchini. Na mwambie Yussuf Mehboob Manji sasa anajipanga ' Kumuanika ' ili aumbuke.
 
Hakika uchawi hauvuki maji, yaani jamaa zile ndumba zake za kolomije alizomtengeneza mwenyekiti zimeshindwa kufanya kazi jana kwa wajumbe
 
Hivi si ni Mpumbavu Wewe umesema hapo kuwa nitafute Kazi ya Kunilipa? Sasa mbona tena Unauliza nani ananilipa? Mama yako ndiyo ananilipa.
Mbona wanaCCM tumekaa wengi tu kumtuma GENTAMYCINE. Hata mimi nilikuwa kwenye kikao hicho. Kwa kuwa YEHODAYA hukuhudhuria inaelekea ulikuwa kwenye maombolezo na Bashite wako. Pole sana. Hakuna cha huruma hapa!
 
Unaanza kulaumu kwa dhana tu, nani kakuambia Ndugulile atakatwa? Mbona Mwenyekiti Magufuli kesha sema maamuzi ya wanachama yataheshimiwa ili mradi aliyeshinda kashinda kihalali.
" GENTAMYCINE Sisi wana CCM hapa Kigamboni tulikwazika sana hasa na Kitendo cha Mtu ambaye Kwanza hakai nasi huku Kigamboni kuja Kugombea na tena Kilichotuuma zaidi ni Yeye kuja huku wakati akijua kabisa kuwa Kipenzi chetu wana CCM Kigamboni Daktari Faustine Ndugulile yupo, ametufanyia makubwa na hakuna Kosa lolote alilotufanyia. Jana tumetoa Meseji kwa walio huko Juu, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE kuna Tetesi tumeanza Kuzisikia tu kuanzia jana Usiku baada ya Matokeo kuwa kuna Mtu atalazimishwa ndiyo agombee kwakuwa tu anapendwa na sijui ili Kumlinda asije akaharibu zaidi. Sasa tunakutuma ukawaambie kuwa wakimpitisha tu huyo Mtu Wao wana CCM Kigamboni tutampigia Kura Mgombea wa Upinzani au Kumtaka Dokta Ndugulile ahamie huko tumpigie, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE hivi Mtu amepitwa kwa Kura 68 leo hii utalazimishaje ndiyo aje kuwa Mgombea Wetu? Kwahiyo wanataka kusema kuwa hao wana CCM 68 hawana Akili au hawaujui Umuhimu wa Mbunge wetu Kipenzi na aliyemaliza muda wake Dokta Faustine Ndugulile? Tunamuomba kwa Heshima na Taadhima kabisa huyo mwenye Chuki zake na Dokta Ndugulile ayamalize nae ili CCM Kigamboni isonge na akilazimisha tu yale yaliyotokea Kawe 2015 yatahamia huku, " wamesema wana CCM Kigamboni.

" GENTAMYCINE mwisho kabisa tunakutuma ukawaambie hao wana CCM wako Makao Makuu huko Dodoma ukienda kwamba tuna hadi Namba za Simu kama Ushahidi za Watu waliokuwa wakitumiwa Kugawa Pesa kwa Wajumbe wakiutaka watualike katika Kikao chao tuwape. Dokta Ndugulile anatutosha sana Kigamboni na ni Mzawa halisia sasa walazimishe wauone Moto wetu wana CCM Kigamboni, " wamesema wana CCM Kigamboni.

Baada ya GENTAMYCINE kutoka zangu Kigamboni sasa naelekea Jimboni Kawe ili Kamati ile ile ya Roho Mbaya Leo pia imlime Mla Kondoo nae.
 
Simpendi makondakta aaaaaah kwan tsh ngapi bhanaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa!!!,lkn amekukosea nini sasa??.
 
GENTA bwana haeleweki, Niko Kigamboni toka asubuhi natafuta penye supu ya mbuzi ya bure toka kwa GENTA naambulia patupu mpaka nimekata tamaa

Niko njiani Mkuu nakuja nao hawa Mbuzi 25 sema tu kuna Bonge la Cheni / Nyororo hapa Buguruni TAZARA kwani napitia hiyo njia na Lori langu.
 
Mimi CCM naishi Kigamboni hicho kikao cha wana CCm kilichokutuma kilikaa wapi mumbeya mkubwa wewe.Weka miniti za kikao hapa na waliohudhuria na kilikuwa chini ya uenyekiti wa nani.Umejaa uongo na uzushi

Jitu zima hovyo kabisa wewe.JITU ZIMA KAZI KUTUNGA UONGO
Kamata huyo TCRA na Takukuru atueleze kikao chake
 
Back
Top Bottom