Watanzania kuweni wakubwa akilini

Watanzania kuweni wakubwa akilini

Wewe na hizi bia nan anakunywa uyo pedeshe wako wa mchongo si amesema anakuja kulipa au 🤗🤗🤗
Kama ni kuhusu bills, tutakuja kuclear acha uoga.
Endelea kupiga vitu
 
Kama ni kuhusu bills, tutakuja kuclear acha uoga.
Endelea kupiga vitu
Maana nilikuwa nawasiwasi nisije nikapelekwa jikoni nikapewa masugulia uku wana nibia wimbo mkuno wa nazi mkuno 😂 njooni
 
Mzee acha kushindana na ujana.
😂😂😂 na uzee wangu wotee uhu nilikuwa sijawai ona .x.x za albinism sasaiv ndio nimeona 😂😂 kumbe bado mimi kijana ngoja nisubili zingine
 
Back
Top Bottom