Watanzania lazima Tufahamu Rais wa nchi siyo Sawa na Rais Wa Bendi ya Mziki kiulinzi na Kiusalama

Watanzania lazima Tufahamu Rais wa nchi siyo Sawa na Rais Wa Bendi ya Mziki kiulinzi na Kiusalama

Nilikuuliza hivi Ile michango ya join the chain IPO wapi? Mmetafuna nazo? Mbona hamna huruma nyie? Watu wanaomba mrejesho, mbona kimya? Au ndio zimetafunwa kama zile za Ruzuku?

Nenda kwenye ofisi za CDM ukaulize walichangisha kiasi gani, na walitumia kufanyia nini. Sisi hapa tunahoji jizi la kura kuingia ni kiti kanisani wakati ni chukizo mbele ya Mungu.
 
Nenda kwenye ofisi za CDM ukaulize walichangisha kiasi gani, na walitumia kufanyia nini. Sisi hapa tunahoji jizi la kura kuingia ni kiti kanisani wakati ni chukizo mbele ya Mungu.
Mbona mlipokuwa mnapita mitaani hamkusema hivyo? Kwanini mnakuwa wakali watu wanapohitaji kujuwa michango yao? Naomba utusaidie fedha za join the chain zipo wapi? Kiasi gani kimekusanywa? Nazo mmetafuna na kulewea pombe? Kwanini Hamtaki uwazi kwa mambo madogo Kama haya? Kuweni waungwana Basi msizani watanzania Ni wajinga
 
Back
Top Bottom