Mkenya hajawahi kuogopa chochote na ndio maana tunatawala ukanda huu kiuchumi, kielimu, kijeshi na kila kitu....uthubutu wetu.
You have used a lot of time to write something which has simple answers, the policy is:
If you don’t get a complement Tanzanian the look elsewhere, now, How do you prove that? So many qualified Tanzanians!
[emoji16][emoji16][emoji16]mnamtawala nani kijeshi na kiuchumi kama sisi ndio tunaweza kuwawekea sunction!![emoji23][emoji23]
sema mnaongoza kwa RANKS za wazungu[emoji23]
Kwani wakenya ni lazima kufanya kazi Tanzania kwanza kuna Corona mnang'ang'ania nini si mkae kwenu
Makampuni ya kimataifa ndio yanang'ang'ania kuajiri Wakenya, inapaswa mfahamu haya makampuni yanamilikiwa na wenye hisa, kawaida ya hao wenye hisa huwa hawana pumba za uzalendo, wao huzingatia ufanisi na weledi...basi.
Jaribu ujitutumue umiliki japo hata biashara ndogo ya kuchuuza madafu ndio utaelewa nini kinazungumzwa kuhusu humu.
Hii sidhani kama inatusaidia sana kama Taifa, ni bora kujiuliza ni kwanini watanzania hatuaminiki mbele ya waajiri wengi kwenye medani ya kimataifa . Ipo hatua kwenye uwajibikaji ambayo Kenya wameishaifikia lakini sisi bado sana. Hii itaendelea kutuumiza hadi siku tutakapoukubali ukweli na kuufanyia kazi. Na tatizo limeanzia kwenye ngazi ya msaidizi wa nyumbani hadi CEO wa taasisi kubwaKuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.
Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------
Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.
Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.
The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.
“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.
Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”
Tanzania to respond to claims that Kenyan blocked from taking over as Coca-Cola CEO
Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working...www.thecitizen.co.tz
Sisi ni WaTanzania tuliowapapasa mawowowo hadi mnalialia mmenogewa na mpapaso mnalazimisha kujileta huku wakati hatuwatakiMbna ya yule mhindi hamkuulizia CV[emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu wa kijinga sana ndio mko nao, kwn nyinyi hapa JF ni akina nani mpka mjikute ndio board ya coca cola..
Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia
achana na ujinga bana,siku hizi hakuna sehemu hamna wataalamu,ndio sababu hata kuna watanzania hata huko kwenu.
Hao "wataalam" wa kwenu hawajakidhi vigezo vinavyotakiwa na hayo makampuni, ndio maana mkikatalia Wakenya, hawaajiri wazawa wenu, wanafuata huko nje aidha kwa Waarabu au Wahindi, ambapo mkiletewa ngozi nyeupe mnaufyata ila akiletwa Mkenya nchi yote mnapiga ukunga.
Kwani lazima itolewe tamko rasmi?
Get a clue!
Tumeonyesha kwa vitendo, matamko ya nini?
Hatuwataki. Point blank.
Kama mna uwezo ambao sisi hatuna kafungueni hayo mabiashara kwenu huko tena mgundue li soda jipya la kupambana na Coca Cola.
Kwa nini mpate stress nyiiingi kushindana na Watanzania kuwauzia wazungu soda lao na nyinyi ni wakali sana wa biashara ????
Ondokeni kaazisheni li drinki lenu jipya Kenya mliuze Kenya mli-ship Tanzania mpaka Ivory Coast huko. Mjapani anauza magari Tanzania, ushamwona Mjepu anahangaika kuomba Visa ya kuishi hapa kuuza magari? Anayatuma kwenye meli anakula bata kwao Nagasaki na Kumamoto huko.
Ondokeni. Plain and simple.
KCB tanzania iko na mtz na ni benki ya kenya!!!
fafanua hilo swala kabla hatujaenda mbele.
Nyie mnajulikana kwa snitch na kujipendekeza kwa wazungu zaidi hamna lolote biashara ninayo ila siajili wakenya watz wanatoshaMakampuni ya kimataifa ndio yanang'ang'ania kuajiri Wakenya, inapaswa mfahamu haya makampuni yanamilikiwa na wenye hisa, kawaida ya hao wenye hisa huwa hawana pumba za uzalendo, wao huzingatia ufanisi na weledi...basi.
Jaribu ujitutumue umiliki japo hata biashara ndogo ya kuchuuza madafu ndio utaelewa nini kinazungumzwa kuhusu humu.
Nyie mnajulikana kwa snitch na kujipendekeza kwa wazungu zaidi hamna lolote biashara ninayo ila siajili wakenya watz wanatosha
We ni bwege sana kumbe, kwhyo wakeny katika hayo makampuni wanajiajiri sio[emoji122][emoji122]Sisi ni WaTanzania tuliowapapasa mawowowo hadi mnalialia mmenogewa na mpapaso mnalazimisha kujileta huku wakati hatuwataki
Kwani wakati wakenya wanazuia export kutoka Tanzania walitangaza kwamba hawataki biashara na Tanzania? Naona majuha humu yanashabikia Magu anawajengea kujiamini ila wahuni wanashangiliaMnajistukia tu na Mihemko yenu ya Kikenya plus inferiority Complex,
Nawajua Wahindi Kibao,
Waganda Kibao,
Wapakistan na Wachina Kibao walionyimwa working permits for same reasons, mtu amesoma diploma ya finance anakuja kufanya kazi Tz si ufala huo?
Kenyans mna midomo mikubwa na Mirefu kushinda hawa wote.
Mwisho wa Siku Kama unataka kufanya biashara Tanzania it's our terms and Condiotions, huwezi fungasha sepa. After all these are not serious investors aiming at exploiting, making profits and running away.
Japo benki yetu ya KCB ndio kubwa ukanda wote huu, ila haijafikia hadhi ya Coca-Cola, hivyo hawawezi wakawa na uhitaji mkubwa sana likija suala la kiuongozi, watamuweka kajamba yeyote tu na pia makao makuu hayako mbali na huko, watakua na uwezo wa kufuatilia kwa karibu kila akiboronga.
Lakini kwa Coca-Cola, ni kampuni ambayo thamani yake inazidi uchumi wa Tanzania yote bara hadi visiwani na ushee yaani $80b, huwa lazima wawe makini sana kwenye kila wanayemteua kuongoza nyadhifa zozote, hawawezi wakaajiri zwazwa yeyote tu kisa pumba za uzalendo.
huu mchezo hautaki hasira.
si mko na elimu,na juhudi ya kazi!!