Watanzania mnaotutambia kujenga kila kitu kwa hela ya ndani, mnadaiwa kila mmoja milioni moja

Sasa wewe wakenya waliwaambia magufuli ako hospitalini mkiambiwa akona mafile state house, soma article boss, ukimaliza ingia google
 
Sasa wewe wakenya waliwaambia magufuli ako hospitalini mkiambiwa akona mafile state house, soma article boss, ukimaliza ingia google
Vipi mmeidhibiti corona ?
Maana hapa EA wanaoripotiwa kuelemewa na corona ni Rwanda na Kenya.
Halafu kwann pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute tunapishana sana na wakalenjin wakifata matibabu vp Kenya hawajaiona?
 
Vipi mmeidhibiti corona ?
Maana hapa EA wanaoripotiwa kuelemewa na corona ni Rwanda na Kenya.
Halafu kwann pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute tunapishana sana na wakalenjin wakifata matibabu vp Kenya hawajaiona?
Thats what we call hearsay, mimi nakupea evidence
 

Yeah JPM was nn the best for our country, sijui kwann wanahisi uraisi ni mraisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…