antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Je Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hata Zanzibar huchaguliwa na sanduku la kura?Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Ccm wala sio wajinga bali wajinga ni sisi tunaotawaliwa.Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Una hoja yenye mashiko sana. Kitu walichowin CCM ni kuwapatia elimu ya kijinga watanzania. Elimu ya kutojua kuhoji masuala mtambuka ya nchi yetu. Umasikini wa fikra na kipato ndio kaburi letu, maana wengi wanaishia kuwa ombaomba na machawa ili wakumbukwe. Hata wale waliosoma na kuwa maprofesa, hawana jipya la kuondoa hili ombwe. Kimsingi we are doomed until tuamshwe na ari zetu kwa umasikini huu huu. Kqma sivyo wau wa aina yako mtaemdelwa kuumia huku mamia wakiendelea kuwa msukule.Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Kama wanajua kuwa wanaibiwa kura, kwa nini wanaendelea kwenda kupanga foleni???Mkuu, Watanzania unawaonea bure tu. Wengi wao huwa hawachagui ccm. Ni wizi wa kura tu unaosababisha hicho chama kusalia madarakani..
View: https://youtu.be/cMBS4qMPJ8M?si=MtqajdyWpejHJju6
Kwa mfano Mimi sipo CCM sijawahi kuwa CCM na sitakuja kuwa CCM eee mwenyezi Mungu nisaidie kuniepusha na huyu mshauri wa shetani CCM!
Ingekuwa ishu ni kusombwa na lorry tu usingemuona mtu huko, ishu ni bakshishi inayoambatana na huko kusombwaSio ninavyofikiri, matendo yetu ndivyo yanavyotuonyesha. Mifano michache hapa chini.
01. Mtu kasombwa na lori kwenda kujaza uwanja ili akaongopewe, jioni akirudi anakuja kulalamika eti maisha magumu, wakati alikaa juani akiunga mkono sera mbovu.
02. Akiambiwa porojo na wanasiasa wa chama chake anakenua meno, wakati mwingine akiwa anajua kabisa kuwa hapa nadanganywa.
03. Wawakilishi wetu kutojua hasa kilichowapeleka kwenye mabaraza ya kutuwakilisha, wamegeuka jumla.
04. Kutojitokeza kudai haki zetu kwa serikali kwa pamoja
Bora umeujua ukweli tu, siku ambapo tutaweka utaifa mbele na si maslahi yetu na familia zetu ndipo ambapo tutaondokana na huu mkwamo.Watu wanailaumu CCM bure. Tatizo kubwa lipo kwetu Sisi Watanzania ambao hatujui tunasimamia wapi.
Hebu tujiulize nchi za wenzetu zilizoendelea kama China,Marekani,Japan,Urusi n.k watendaji na Wananchi wao wanafanyaje kwa maendeleo ya nchi zao.
Hapa Bongo ukiwa Kiongozi sehemu yeyote ukakaza katika utendaji mfano kusimamia taratibu zilizowekwa utapigwa vita vibaya mno. Watanzania kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi juu katika sehemu wanapojishughulisha wanawaza kuiba kwa maslai ya familia zao.
Hebu jiulize mtu anayediriki kuiba vyuma kwenye daraja ama transformers ambapo anajua kabisa ni kwa ajili ya maslahi ya nchi.
Tanzania hii hata wapewe Chadema,ACT,CUF ,TLP bado umaskini hautaisha.
Tanzania hii hamna Kiongozi yeyote wa Upinzani mwenye uchungu na maendeleo ya nchi. Wote ni wachumia tumbo tu.
Tukitaka Tanzania iendelee inabidi watu wengi waumie. Maana watu washazoea kufanya mambo kwa utamaduni ambao kubadilishwa panahitajika nguvu za ziada.Kuna watendaji serikalini kuanzia ngazi za chini inabidi wawekwe pembeni. Magereza nazo inabidi ziongezwe maana majizi ni mengi. Yaani unakuta ofisi ya uma kuanzia secretary hadi Kiongozi wa juu ni mwendo wa dili na rushwa tu. Watu hawapo serious na maendeleo ya nchi. Watu wanapeana nafasi nyeti za kiutendaji na kimaamuzi kindugu,kirafiki,kikanda,kikabila na hata kiitikadi za dini.
Kiufupi tuna safari ndefu sana kuja kuwa developed country.
What's wrong with you? You must be a wark or a spiv. Yaani unaishi maisha ya peke yako ndoto peke yako unaota 50% ya Watanzania wawe wajinga kama wewe?Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
INASIKITISHA WALLAHTangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Tatizo kubwa TZ ni wanawake asilimia 70% ya kura za CCM zilitoka kwa wanawake...ila kwa sasa huyu haramia sa100 hakubaliki hata na wanawake kutokana na upumbavu uliotukuka alio uonyesha dhidi yaTangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.
Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.
Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.
Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.
Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu
Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi
Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.
Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.
Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.
50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Hutufikii mimi na bwana Tindo...CCM ni laana kwa Watanzania,imeua NDOTO na MAISHA ya watu wengi