Watanzania mngekuwa na mtizamo kama wangu CCM ingekuwa imeondoka tangu 1995 na nchi hii tungekuwa mbali kimaendeleo

Watanzania mngekuwa na mtizamo kama wangu CCM ingekuwa imeondoka tangu 1995 na nchi hii tungekuwa mbali kimaendeleo

 
Watu wanailaumu CCM bure. Tatizo kubwa lipo kwetu Sisi Watanzania ambao hatujui tunasimamia wapi.
Hebu tujiulize nchi za wenzetu zilizoendelea kama China,Marekani,Japan,Urusi n.k watendaji na Wananchi wao wanafanyaje kwa maendeleo ya nchi zao.
Hapa Bongo ukiwa Kiongozi sehemu yeyote ukakaza katika utendaji mfano kusimamia taratibu zilizowekwa utapigwa vita vibaya mno. Watanzania kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi juu katika sehemu wanapojishughulisha wanawaza kuiba kwa maslai ya familia zao.
Hebu jiulize mtu anayediriki kuiba vyuma kwenye daraja ama transformers ambapo anajua kabisa ni kwa ajili ya maslahi ya nchi.
Tanzania hii hata wapewe Chadema,ACT,CUF ,TLP bado umaskini hautaisha.
Tanzania hii hamna Kiongozi yeyote wa Upinzani mwenye uchungu na maendeleo ya nchi. Wote ni wachumia tumbo tu.
Tukitaka Tanzania iendelee inabidi watu wengi waumie. Maana watu washazoea kufanya mambo kwa utamaduni ambao kubadilishwa panahitajika nguvu za ziada.Kuna watendaji serikalini kuanzia ngazi za chini inabidi wawekwe pembeni. Magereza nazo inabidi ziongezwe maana majizi ni mengi. Yaani unakuta ofisi ya uma kuanzia secretary hadi Kiongozi wa juu ni mwendo wa dili na rushwa tu. Watu hawapo serious na maendeleo ya nchi. Watu wanapeana nafasi nyeti za kiutendaji na kimaamuzi kindugu,kirafiki,kikanda,kikabila na hata kiitikadi za dini.
Kiufupi tuna safari ndefu sana kuja kuwa developed country.
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Je Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hata Zanzibar huchaguliwa na sanduku la kura?
Ktk wote waliokaa kwenye kiti tangu nipate akili,
Huyu wa sasa simwelewi hasa swala la Bandari,
Siku hizi nikiona msafara wake au taarifa ya habari kwenye tv ama radio nakuwa sitaki hata kumsikiliza nakuwa najisikia kusononeka moyoni.
Sioni uzalendo, uwezo, umakini, uchapa kazi ndani yake.
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Ccm wala sio wajinga bali wajinga ni sisi tunaotawaliwa.
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Una hoja yenye mashiko sana. Kitu walichowin CCM ni kuwapatia elimu ya kijinga watanzania. Elimu ya kutojua kuhoji masuala mtambuka ya nchi yetu. Umasikini wa fikra na kipato ndio kaburi letu, maana wengi wanaishia kuwa ombaomba na machawa ili wakumbukwe. Hata wale waliosoma na kuwa maprofesa, hawana jipya la kuondoa hili ombwe. Kimsingi we are doomed until tuamshwe na ari zetu kwa umasikini huu huu. Kqma sivyo wau wa aina yako mtaemdelwa kuumia huku mamia wakiendelea kuwa msukule.
 
Nadhani kwenye hii nchi inawezekana nikawa Mtanganyika namba moja ninayeichukia hii kitu inayoitwa ccm kutoka moyoni! Tangu enzi na enzi, mimi na ccm ni chui na paka.

Na nina sababu lukuki, na za msingi kabisa za kuichukia.
Kwa mfano Mimi sipo CCM sijawahi kuwa CCM na sitakuja kuwa CCM eee mwenyezi Mungu nisaidie kuniepusha na huyu mshauri wa shetani CCM!
 
Sio ninavyofikiri, matendo yetu ndivyo yanavyotuonyesha. Mifano michache hapa chini.
01. Mtu kasombwa na lori kwenda kujaza uwanja ili akaongopewe, jioni akirudi anakuja kulalamika eti maisha magumu, wakati alikaa juani akiunga mkono sera mbovu.
02. Akiambiwa porojo na wanasiasa wa chama chake anakenua meno, wakati mwingine akiwa anajua kabisa kuwa hapa nadanganywa.
03. Wawakilishi wetu kutojua hasa kilichowapeleka kwenye mabaraza ya kutuwakilisha, wamegeuka jumla.
04. Kutojitokeza kudai haki zetu kwa serikali kwa pamoja
Ingekuwa ishu ni kusombwa na lorry tu usingemuona mtu huko, ishu ni bakshishi inayoambatana na huko kusombwa
 
Tupo pamoja na sijawahi kuipigia kura CCM katika nafasi yeyote ile, ila vijana wameanza kuamini ajira muhimu ni uchawa,na Raisi wanamwita mama wanaamini mama ndio anatoa pesa zote ile nchi na sio Kodi wanayolipa wao, safari bado ni ndefu
 
Watu wanailaumu CCM bure. Tatizo kubwa lipo kwetu Sisi Watanzania ambao hatujui tunasimamia wapi.
Hebu tujiulize nchi za wenzetu zilizoendelea kama China,Marekani,Japan,Urusi n.k watendaji na Wananchi wao wanafanyaje kwa maendeleo ya nchi zao.
Hapa Bongo ukiwa Kiongozi sehemu yeyote ukakaza katika utendaji mfano kusimamia taratibu zilizowekwa utapigwa vita vibaya mno. Watanzania kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi juu katika sehemu wanapojishughulisha wanawaza kuiba kwa maslai ya familia zao.
Hebu jiulize mtu anayediriki kuiba vyuma kwenye daraja ama transformers ambapo anajua kabisa ni kwa ajili ya maslahi ya nchi.
Tanzania hii hata wapewe Chadema,ACT,CUF ,TLP bado umaskini hautaisha.
Tanzania hii hamna Kiongozi yeyote wa Upinzani mwenye uchungu na maendeleo ya nchi. Wote ni wachumia tumbo tu.
Tukitaka Tanzania iendelee inabidi watu wengi waumie. Maana watu washazoea kufanya mambo kwa utamaduni ambao kubadilishwa panahitajika nguvu za ziada.Kuna watendaji serikalini kuanzia ngazi za chini inabidi wawekwe pembeni. Magereza nazo inabidi ziongezwe maana majizi ni mengi. Yaani unakuta ofisi ya uma kuanzia secretary hadi Kiongozi wa juu ni mwendo wa dili na rushwa tu. Watu hawapo serious na maendeleo ya nchi. Watu wanapeana nafasi nyeti za kiutendaji na kimaamuzi kindugu,kirafiki,kikanda,kikabila na hata kiitikadi za dini.
Kiufupi tuna safari ndefu sana kuja kuwa developed country.
Bora umeujua ukweli tu, siku ambapo tutaweka utaifa mbele na si maslahi yetu na familia zetu ndipo ambapo tutaondokana na huu mkwamo.

Mihimili ile mitatu itakapotenganishwa na kila mmoja kusimama kivyake ndipo tutaposonga mbele. Ila Kwa style hii ya bunge kuburuzwa Kwa hisani za Ikulu pamoja na mahakama na majeshi yetu kuwa in favour ya interests za Magogoni na sio welfare ya raia tutakuwa na miaka 1000 ya mateso
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
What's wrong with you? You must be a wark or a spiv. Yaani unaishi maisha ya peke yako ndoto peke yako unaota 50% ya Watanzania wawe wajinga kama wewe?
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
INASIKITISHA WALLAH
 
Tangu mwaka 1995 sijawahi kuipigia CCM kura kwa namna yoyote ile, iwe katika nafasi ya urais, ubunge au udiwani.

Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa CCM tangu 1995.

Sisikilizi hotuba za viongozi wa CCM na hata nikisikiliza kwa bahati mbaya sioni jipya isipokuwa blaa blaa za kale zisizoambatana na utekelezaji.

Nawaona CCM kama genge la watu wanaotumia fursa ya kuwa na dola kujishika madarakani na kuendelea kufaidi kupitia unyonge, ujinga na umaskini wa watanzania.

Naiona CCM kama mlundikano wa wajinga waliojipenyeza kwenye madaraka kwa upendeleo na kufanikiwa kushika dola na nafasi nyeti za nchi yetu bila kuwa na weledi stahiki na wanatumia nafasi hiyo kujinufaisha na kuwanufaisha wapendwa wao.

Nimekuwa nachukizwa mno na ubabaishaji wa CCM katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu

Najua CCM ndio chanzo cha matatizo ya nchi yetu na pia ndiye mchawi wa maendeleo yetu kwa maana halisi

Kila wakati nimehamasisha watu kutoipigia kura yoyote CCM wala kuiunga mkono serikali ya CCM.

Ninaona waziwazi uzembe, uvivu, ubadhirifu na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM kwa namna ambayo nawaona watanzania wengi kama misukule tu kwa kuendelea kuikubali CCM ilhali inachangia katika kuongeza umaskini wa watanzania.

Sioni kwanini CCM wabaki madarakani kwa zaidi ya miaka 60 sasa wakati hali ya uchumi bado ni mbaya. Najua Ulaya na Amerika tunapoomba misaada kila siku, chama hakikai madarakani kwa zaidi ya miaka 8, kitawekwa kiingine.

50% ya watanzania wangekuwa kama mimi CCM wangeshaondoka zamani na tungekuwa mbali sana kiuchumi nchi hii.
Tatizo kubwa TZ ni wanawake asilimia 70% ya kura za CCM zilitoka kwa wanawake...ila kwa sasa huyu haramia sa100 hakubaliki hata na wanawake kutokana na upumbavu uliotukuka alio uonyesha dhidi ya
1) taifa letu .
2)tanganyaka
3)uzalendo
4)kukumbatia mafisadi wa aina zote
5)dharau kwa wananchi kwa kuwaona kama manyani tu yanayo stahili kutawaliwa na mabeberu na wajomba zake wa kiarabu ....mambo ni mengi sana ya kishenzi yanayo fanywa na serikali hii dhalimu ya awamu ya 6
 
Nadhani kwenye hii nchi inawezekana nikawa Mtanganyika namba moja ninayeichukia hii kitu inayoitwa ccm kutoka moyoni! Tangu enzi na enzi, mimi na ccm ni chui na paka.

Na nina sababu lukuki, na za msingi kabisa za kuichukia.
Hutufikii mimi na bwana Tindo...CCM ni laana kwa Watanzania,imeua NDOTO na MAISHA ya watu wengi
 
Back
Top Bottom