britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Lissu angepunguza kuropoka angepata kura nyingi sana.Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Waislam wanapenda luxury life huoni mama yenu anvyotafuta mikopo huku na huko na akipata hazijulikani zinafanya kazi gani NI kubugia Tu na hafatilii !Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Kwa nini? Ubaya wa lissu ni upi?Lissu angepunguza kuropoka angepata kura nyingi sana.
Shida hawezi kuachia vitu na matamanio yake kuna watu wanaweza hata waka mfanyia chochote ili asifanikiwe.
Asante Mkuu BritaniccaPitia hapa
Ufanano na utofauti wa Magufuli na Lissu kwenye ngazi ya juu ya uongozi wa nchi
Tumekuwa tunawapima viongozi wetu kulingana na utendaji wao wa maeneo wanayosimamia, na kuweza kuona mazuri na mapungufu yao, Kwa mwaka 2015 yalikuwapo magwiji wawili ambao ni Magufuli na Lowassa, hapa Magufuli alionekana kumzidi Lowassa kwa kila Jambo isipokuwa mtandao na pesa, Lakin wote...www.jamiiforums.com
Uko sahihi, he is very well national Loving Man, and he can mobilize for best Utawala boraNdio mkuu, asifikili siku Mungu akampa kibali afike afanye yake, sema huyu katiba bora ya wananchi anaweza kuitoa ndani ya siku mia, na ikishakuepo pamoja na mapungufu ya kibinadam , atakua na utii kwa wananchi
Duh! Pole sana. Unahitaji kupewa pole nyingi sana.Patriot mwenye uraia pacha ambae pia ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi dah π€£
Champion na mtetezi mkuu wa utoaji mimba, ndoa za jinsia na ushoga ni adui wa waTanzania π
nadhani pole za kipekee zaidi ziandaliwe kwa kajili ya Kibaraka, atakae shindwa uchaguzi wa chadema Taifa kwa fedheha na aibu ya kiwango cha kutamani ardhi ipasuke apotelee huko...Duh! Pole sana. Unahitaji kupewa pole nyingi sana.
Huyo jamaa siasa za maji taka zimemuathiri sanaDuh! Pole sana. Unahitaji kupewa pole nyingi sana.
Amina Jina la Bwana LihimidiweAmen, na iwe ivo mkuu.
Asante kwa mchango wako, karibu tenaLissu angepunguza kuropoka angepata kura nyingi sana.
Shida hawezi kuachia vitu na matamanio yake kuna watu wanaweza hata waka mfanyia chochote ili asifanikiwe.
Kwahiyo na wewe unaamini aliepo hatogombea!!?Pitia hapa
Ufanano na utofauti wa Magufuli na Lissu kwenye ngazi ya juu ya uongozi wa nchi
Tumekuwa tunawapima viongozi wetu kulingana na utendaji wao wa maeneo wanayosimamia, na kuweza kuona mazuri na mapungufu yao, Kwa mwaka 2015 yalikuwapo magwiji wawili ambao ni Magufuli na Lowassa, hapa Magufuli alionekana kumzidi Lowassa kwa kila Jambo isipokuwa mtandao na pesa, Lakin wote...www.jamiiforums.com
Lisu na mwamba JPM hawafanani hata kidogo maana Lisu yupo tayari kuwa kibarakaUkitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Ni tundu lissu gani unamuongelea ambaye ni tofauti na yule tundu lissu kibaraka wa mabeberu aliyekuwa anawatetea barric na acacia kwenye makinikia ?Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Raisi wa kuazimwa nchi jiraniEndelea kuota ndoto za mchana, Rais wa JMT ni Samia mpaka 2030.
Kunako majaaliwa!hatukudhani china asingekuwepo !!Endelea kuota ndoto za mchana, Rais wa JMT ni Samia mpaka 2030.