Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
TAL mwenyewe misimamo yake juu ya mapenzi ya jinsia moja si unaijuwa? Ni Sera ya nani haya mauchafu haya?? Kama huna la kuandika kalale ila chance ni ndogo sana kwa bwana huyo kuwa mwenyekiti wa chama chenu!!
 
TAL mwenyewe misimamo yake juu ya mapenzi ya jinsia moja si unaijuwa? Ni Sera ya nani haya mauchafu haya?? Kama huna la kuandika kalale ila chance ni ndogo sana kwa bwana huyo kuwa mwenyekiti wa chama chenu!!
Sasa hayo makafiri ya kikatoliki mimi.yananiusu nini ...ningekuwa Rais wa hii nchi kitucha kwanza ninge piga marufuku madhehebu yote ya kikristo nq kiislamu na kuamrisha ukristo tu na uislamu tu bila ya madhehebu yenye kupokea miongozo kutoka huko yaliko anzishwa.....tanzania kungekuwa na wakristo wasio na madhehebu na waislamu wasio wa madhehebu...takataka za free masoni na dini za kihindu zote ningepiga marufuku ....dini no moja tzanzania ingekuwa ni HAKI TU
 
Kusema kweli ni kwamba hakuna namna upinzani kwa sasa wanaweza kuchukua nchi CCM kwa sasa haiwezi kuruhusu hilo, na wananchi tumelala.
Pia sioni kama chadema kwa sasa kama ina nguvu kama 2015, aina ya siasa za sasa ambazo ccm inawachezea umafia bado hawajazipatia mwarobaini.
 
Tundu Lissu mwenyewe akisikia unamfananisha na Magufuli atasikitika sana.

Watanzania wengi hawawezi kuongelea hoja bila kuongelea peesonalities za watu.
 
Msituletee mental case
 
Ila chadema mmezingua sana. Nani atawaamini tena? Kama mnaparurana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama mkipewa serikali si ndio mtalikoroga kabisa kisha mtashindwa kulinywa? Mpaka hapo kwa ujinga unaoendelea ndani ya chama kwenye chaguzi zenu mmeshayapa MaCCM credit kibao
 
Kwa sasa chadema inapitia kujivua gamba
 
Kwa mtazamo wako ambao of course nitauheshimu japo sio lazima niufuate Wewe ni muumini wa Dini gani au ni wa imani ipi ??!
 
ULOKOLE JE ??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…