Pre GE2025 Watanzania msikubali kubabaishwa au kurubuniwa fikra, uhuru, pesa na haki zenu za kikatiba za kupiga kura, uchaguzi mkuu Mwaka huu2025

Pre GE2025 Watanzania msikubali kubabaishwa au kurubuniwa fikra, uhuru, pesa na haki zenu za kikatiba za kupiga kura, uchaguzi mkuu Mwaka huu2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Huu ni wito wangu kwa wadau wote wa JF na waTanzania wenzangu wote.

Uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika mwaka huu October 2025.

Uchaguzi huu ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya Tanzania.

Asitokee kibaka au tapeli wa kisiasa, eti kwa maslahi yake binafsi na familia yake, akawadanganya kwamba hapatakua na uchaguzi mwaka huu.

Uchaguzi huru, wa haki na wa wazi zaidi utafanyika mwezi wa kumi mwaka huu.

Jihadharini na wanasiasa wapotoshaji, waliopoteza muelekeo na kukosa agenda, wasije kuwashawishi kwa chuki na kuwakosesha fursa na nafasi muhimu na adhimu ya kutumia haki zenu za msingi za kikatiba kushiriki uchaguzi na kuchagua viongozi muwapendao kuongoza taifa kwa amani. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Huu ni wito wangu kwa wadau wote wa JF na waTanzania wenzangu wote.
Uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika mwaka huu October 2025.
Uchaguzi huu ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya Tanzania.

Asitokee kibaka au tapeli wa kisiasa,
eti kwa maslahi yake binafsi na familia yake, akawadanganya kwamba hapatakua na uchaguzi mwaka huu.
Uchaguzi huru, wa haki na wa wazi zaidi utafanyika mwezi wa kumi mwaka huu.

Jihadharini na wanasiasa wapotoshaji, waliopoteza muelekeo na kukosa agenda, wasije kuwashawishi kwa chuki na kuwakosesha fursa na nafasi muhimu na adhimu ya kutumia haki zenu za msingi za kikatiba kushiriki uchaguzi na kuchagua viongozi muwapendao kuongoza taifa kwa amani. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
No reform,no Elections, full stop.
 
Hivi Kwa nn uchaguzi usiwe wa kidigital?? Vituo vya kupiga kura vinakuepo lkn mpiga kura akiingia anabofya inajicaunt tu
 
Back
Top Bottom