britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Chadema kimekwisha kufa sasa hivi wanagawana fito tu na kulamba asali ya mwishoHawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
Nilitegemea kuna hoja zakueleweka nimekuta kirojaUmeandika nini sasa, mbona ni pumba tupu?
Anzisha chama chako, uelekeze yafuatwe matakwa yako kama unaona ni rahisiHawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
Natuma salamu kwa chawa wangu 🕧100, narudia tena mara mbili.Tuma salamu kwa watu watatu🎤
Acha mchezo wa kitoto wewe! Siyo Kila kitu ni Cha kuiga dogo vingine havigiki! Mezani ni Bora kuliko barabarani. Jifunze na acha uchochezi wa kikuda!Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
Unataka kuniambia wao ngoma iko huku!Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZEKAHawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
Akili.kubwa imesemakisa sukuma gang kasema
Kwahiyo kwa uzi huu nao utalipwa elfu 7 ?Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy Kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mlopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa
Kwa kifupi hata Rutto atabaki ikulu
Britanicca
Nyie Toka 2016 mnasema chadema ilishakufa ila Cha ajabu kila uchwao hamkosi kuizungumza wakati mfu anatakiwa kuzikwa na maisha yaendeleeChadema kimekwisha kufa sasa hivi wanagawana fito tu na kulamba asali ya mwisho
Ndio muanzishe Cha kwenu mchukue Dola sasa badala ya kujificha nyuma ya keyboard kupiga fitna na majungu hayatakusaidieni chochoteCCM B hawahangaiki kushika dola maana dola imeshikwa na shina lao wao ni tawi
Kwani wewe ndiye uliowaloga wasishike dola🤔Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Akili mgando na ubinafsi mwingi. Hii ndio hali ya wengi wanaosapoti CCM.Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Naunga mkono hoja Chadema ni bado sana!.Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao
Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Wee mpuuzi sana Maisha yangu naweza kuiendesha CHADEMA Mwaka Mzima hata ninyi wapiga Kelele hapa nikawa nawalipaKwahiyo kwa uzi huu nao utalipwa elfu 7 ?