Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sometimes JF is boring...!!!!Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca