Sometimes JF is boring...!!!!Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Tangu mama aseme anapita huku imekuwa tabu kweliKwahiyo kwa uzi huu nao utalipwa elfu 7 ?
Umoja Party tu basi.Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Kwi Kwi Kwi !!!Wee mpuuzi sana Maisha yangu naweza kuiendesha CHADEMA Mwaka Mzima hata ninyi wapiga Kelele hapa nikawa nawalipa
Sijui kwanini hajaweka namba ya simu kama anavyofanya yule Mshamba Mwashambwa ?Tangu mama aseme anapita huku imekuwa tabu kweli
Hakuna anayepiga majungu, kinachosemwa hapa ni ukweli haiwezekani kwa sasa CHADEMA wanashindana na ccm kumsifu the so called"mama"Ndio muanzishe Cha kwenu mchukue Dola sasa badala ya kujificha nyuma ya keyboard kupiga fitna na majungu hayatakusaidieni chochote
Hii ngo haiwezi kabisa hata iweje kushika madarakaHawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Tatizo sasa tulilo nalo hatuna chama cha upinzani. Watu wengi wamekata tamaa na CCM kwa sababu wanahisi wamesalitiwa na CCM baada ya Dkt Magufuli kufariki na yet hakuna alternative. Karata pekee waliyokuwa nayo wapinzani ilikuwa ni kuachana na siasa za kumkandia Dkt Magufuli, kuwa na huruma na kifo chake kula sahani moja na CCM na kuhakikisha wanakuwa na msimamo wa kusaidia kuishauri serikali hasa mfano mfumuko wa bei etc. Ila kwa sasa hata sijui msimamo wa wapinzani ni kitu gani zaidi ya kumdhihaki Dkt Magufuli.Naunga mkono hoja Chadema ni bado sana!.
Tumeisha jadili sana humu kuhusu hili CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
Niliwahi kuuliza humu Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Na nikauliza tena Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Na nikauliza tena na tena Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
P
Mbowe ndo kashawauza hivoCCM haitatolewa madarakani na watu wenye kuendekeza njaa!
Yusuph Makamba akiwa KM wa CCM aliwahi kutabiri kwamba ukipenyeza rupia pale CDM hakuna wa kuchomoka labda yule Padri.
Anzisha Cha kwako wewe kishike Dola huenda ndio matatizo ya watanzania yataisha ila chadema kishike ama kishike hiyo Dola matatizo ya watanzania hayataisha kamweHawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Lissu alipigwa risasi wewe na wapiga kelele wa mitandaoni kimya.Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Mkuu, Umoja Party vipi mchakato wake bado wajivutavuta?Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Huna lolote wewe mganga njaa tu wenye hela hawapigi kelele hivyo tunakuona mshamba tu.Wee mpuuzi sana Maisha yangu naweza kuiendesha CHADEMA Mwaka Mzima hata ninyi wapiga Kelele hapa nikawa nawalipa
Huwa una ujinga pomoni sana.Si lazima wawe CHADEMA ila wanaweza kuwa hao kupitia chama kingine.CDM ni fikra siyo chama.Usipoelewa kufa.Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca
Britanica unawaza hivi kweli?!Hawa wanafuata mkumbo badala wafanye strategy kama wao sasa wanashangilia maandamano ya Kenya, yenu mliopanga tarehe 01/04/2017 yaliishia wapi?
Waganga njaa hawa, kwa kifupi hata Rutto atabaki Ikulu.
Britanicca