mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Nimemjibu Ndege JoniMbona unajijibu mwenyewe tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemjibu Ndege JoniMbona unajijibu mwenyewe tena
CCM 100%Mpaka hiyo club billicanas kuwa chimbo la kuuza Unga pia imesababisha CCM???
Nadhani tungemuuliza Iddi Azan,Rizi1,Manji maana hao wote ni wana CCM na walitajwa kwny list ya Makonda(Mwana CCM) ya ma supplier wa hio mambo.Mpaka hiyo club billicanas kuwa chimbo la kuuza Unga pia imesababisha CCM?
Unaongeleaje tuhuma za mtoto wa rais(the prince) kutuhumiwa kufanya biz ya madawa ya kulevya huku baba yake akiwa madarakani awamu Ile?Mkuu umeongea vizuri sana haswa tuhuma za familia ya kina Mbowe kujihusisha na madawa ya kulevya, huu ni ukweli kabisa na usikute mpaka leo bado wanafanya hivyo. Usipende sana kushabikia kutawaliwa na viongozi waliosoma au kuombea Chadema kuja kushika hatamu hapa Tanzania kwani viongozi wengi waliosoma hawana machungu na taifa hili, believe me.
Mlikaririshwa na kina Bashite.. ungebaki tu CCM bi, Chokochoko bado anao mkeka wa TEUZI..😂😂Kiukweli niliumia sana roho nikajisemea moyoni haiwezekani kiongozi anaruhusu ndani ya club yake biashara ya madawa ifanywe kuharibu vijana.
Mnafiq mkubwa wewe baki huko huko kwenye genge la wauaji na wezi wa kuraKuna kipindi niliamini chama kitakachomkomboa Mtanzania ni Chadema ila nilikuja kubadilisha msimamo wangu nikaamua kushabikia CCM na sababu iliyonifanya niachane na upinzani ni kitendo cha Chadema kumsimamisha Lowasa 2015. Kiukweli niliumia sana roho nikajisemea moyoni haiwezekani kiongozi anaruhusu ndani ya club yake biashara ya madawa ifanywe kuharibu vijana.
Basi ikawa hivyo nikaamua tu kuwa upande wa CCM na kufurahia anguko la CHADEMA japo katika uchaguzi mkuu sikuunga mkono namna uchafuzi uliotokea ule haukua uchaguzi mimi mwenyewe nilikuwa msimamizi msaidizi wa kituo niliyoyaona yanasononesha.
Ila kwa sasa nimekuja kujua CCM ndio wanaotuchelewesha na kutuumiza. Sababu kubwa ni chama cha CCM kimejaa darasa la Saba wa kutosha nenda katika ngazi za wilaya huko utaona viongozi wao ni watu wa namna gani lakini chadema Kuna watu waliosoma cha ajabu hawapewi nafasi.
Kikubwa naomba msamaha kwa yote tusameheane lakini kama ni mipango tuanze sasa hivi ya kuliokoa hili taifa ni heri tufe lakini kieleweke. Kama unaniunga mkono bonyeza like na kisha tupaze sauti popote mlipo muda umewadia kishindo kimefika tusidanganyike tena.
Kumbe ulikua mshabiki 🤔 BTW pole sana mkuuKuna kipindi niliamini chama kitakachomkomboa Mtanzania ni Chadema ila nilikuja kubadilisha msimamo wangu nikaamua kushabikia CCM na sababu iliyonifanya niachane na upinzani ni kitendo cha Chadema kumsimamisha Lowasa 2015. Kiukweli niliumia sana roho nikajisemea moyoni haiwezekani kiongozi anaruhusu ndani ya club yake biashara ya madawa ifanywe kuharibu vijana.
Basi ikawa hivyo nikaamua tu kuwa upande wa CCM na kufurahia anguko la CHADEMA japo katika uchaguzi mkuu sikuunga mkono namna uchafuzi uliotokea ule haukua uchaguzi mimi mwenyewe nilikuwa msimamizi msaidizi wa kituo niliyoyaona yanasononesha.
Ila kwa sasa nimekuja kujua CCM ndio wanaotuchelewesha na kutuumiza. Sababu kubwa ni chama cha CCM kimejaa darasa la Saba wa kutosha nenda katika ngazi za wilaya huko utaona viongozi wao ni watu wa namna gani lakini chadema Kuna watu waliosoma cha ajabu hawapewi nafasi.
Kikubwa naomba msamaha kwa yote tusameheane lakini kama ni mipango tuanze sasa hivi ya kuliokoa hili taifa ni heri tufe lakini kieleweke. Kama unaniunga mkono bonyeza like na kisha tupaze sauti popote mlipo muda umewadia kishindo kimefika tusidanganyike tena.
Pole Sana kwa mtazamo wako. Mayopian!Wewe ni wale wanasiasa malkayamalaya Chadema haiwezi kuikomboa nchi wasomi uliowaona Chadema ni kama hao kina mdude kweli are serious? Unachekesha sana mkuu
Ndio. Bila ccm hayo madawa yangeingia nchini?Mpaka hiyo club billicanas kuwa chimbo la kuuza Unga pia imesababisha CCM?
mnaacha kufanya kazi kuja kulialia mitandaoni tu fanya kaziPole Sana kwa mtazamo wako. Mayopian!