Watanzania naombeni mnisamehe kwa hii misimamo yangu ya kisiasa

Tumekusamehe,ulikuwa jinga sana....
 
Kwa hiyo unashauri vipi, twende Burundi tuchukue silaha turudi nazo ili tuzifanyie kazi au ni vipi?
 
Wewe ni wale wanasiasa malkayamalaya Chadema haiwezi kuikomboa nchi wasomi uliowaona Chadema ni kama hao kina mdude kweli are serious? Unachekesha sana mkuu
Kweli are serious kiinglishi Cha ccm
 
Nakushauri ukae upande wananchi kwani vyama vitakukatisha tamaa tena. Karibu kwa wananchi ambako tunakosoa kiongozi yeyote yule anayeenda kinyume na wananchi pia tunakosoa chama chochote kile.
Huku unapata uelekeo mmoja usioyumba.



Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Mi nataka viongozi walipe kodi hatutaki unyonyaji
 
Kwa unyonge sana. Hongera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…