Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohooo!kumbe kazuiliwa ila wapo waliochelewa wakaaga pia maiti!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi nyie watu hizi habari za Ruge kumnyanyua Diamond kimuziki mmezitoa wapi?! Kama alikuwa na huo uwezo, kwanini hakuwanyanyua wasanii wa THT? Barnaba yule pale, bonge la mwanamuziki, mbona hakumnyanyua kufikia level za Diamond? Btw, kama leo hii mnatuambia Diamond alinyanyuliwa naRuge, Papa Misifa aseme nini?!
 
Unasema ukweli mkuu.....yaan ilikuwa ni aibu!...

Si kwa kuzomewa kule[emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuaga baada ya Rais kuwa ameshaaga? Labda wakati Rais ameshaondoka lakini sio wakati yupo pale pale!! Hizo ni protocol za kiserikali Ray!
Diamond alikuja wakati Rais kaishaondoka!

Kwahiyo mandate ya shughuli ilirudi kwa CMG, hivyo kuzuiliwa kwake hakuna uhusiano na protocol ya uwepo was Rais

Mbona Mzee Mengi aliruhusiwa kuingia na kuaga + speech, without the presence of President?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Domo anajisikia mno, Ruge ndiye aliyemtoa kwenye biashara ya mitumba hadi kuwa maarufu
Papa misifa na Bob Junior ndio waliomtoa Diamond ,Diamond alikataliwa THT.
 
Swali langu ni kuhusu Diamond kuwahi kumdhalilisha Ruge! Mbona unabadili magoli?
Lakini sio issue, issue ni kwamba mnataka kutuaminisha alizuiliwa kwa sababu alikuwa na ugomvi na Ruge, au kama alivyosema mdau uliyemuunga mkono kwamba Diamond alimdhalilisha Ruge! Jibu basi alimdhalilisha nini hadi ipelekee kuzuiwa?
 
Umaskini unasababisha tuwe na chuki kwa wenye navyo, there is a big hate by The Have Nots to The Haves.

Ruge kaondoka, kuna watu wanamponda, wanaponda maiti. Most of these are losers.

Diamond issue yake na msiba wa Ruge, he took the quiet course, watu wanamponda, and most of those ni losers, utakuta deep down tunamponda kwa sababu ya mafanikio yake.

Am very sure kuna wasanii kibao ambao hawakwenda, ila anayejulikana ni Diamond.

People, let's get life.
 
Si huyo wala wenzake wanaoweza kujibu!!! Jamaa alivyo kituko, katika kujibu hilo swali akadai eti Diamond ali-post picha Instagram akicheka baada ya Fiesta kuzuiwa!!!! Yaani bure kabisa!!
mjinga huyo mtoto
 
Matendo yake hata maneno aliyokuwa anayarusha kwenye mitandao, na wakati clouds wamefungiwa fiesta yeye alikuwa anafanya onesho la wasafi alirusha clip instagram akicheka kicheko cha kebehi wenye akili walielewa alichokuwa anafanya.
umesahau Clouds ndio walionza choko chiko kupitia kwa Soudy ambaye alimtukana sana Diamond na hata kuwashirikisha wazazi wake lakini jamaa alipiga moyo konde aliposhindwa na yeye akaanza kujibu mapigo tena sio matusi bali ni slogab kama hawaamini wa wanachokiona,sanaa imezaliwa upya,Mond hajawahi kumtusi Ruge wala mtu yoyote wa Clouds zaidi ya kuwachalenji kibiashara.....chuki sio nzuri kwa afya ya akili na mwili...bahati mbaya unaemchukia hakujui.
 
Tunashika namba wani duniani kwa umbea. Tena na hii mitandao sasa ndo kabisaaa...
Tena bora tungebaki na flag ya umbeya kwa sababu mbeya huwa anasema ukweli, analaaniwa kwa sababu hakutumwa kuusema huo ukweli zaidi ya kiherehere chake! Kinyume chake, Watanzania tumekuwa wazushi na wafitini kweli kweli! Mbaya zaidi, tumekuwa ni watu wenye husuda hadi shetani mwenyewe anatuogopa!! Na watu walivyo wanafiki, hao hao wanaosakama Diamond kwa ajili ya Ruge, ndio hao hao waliokuwa wanamsakama Ruge kipindi cha uhai wake!!
 
Nilikuwa siyo mfatiliaji wa haya mambo ila nimegundua kuna baadhi ya watu wanamchukia diamond sababu ya mafanikio yake na hii ndiyo identity ya kitanzania kuchukia wenye mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli huo wenyewe ndio huo! Hamna la ziada zaidi ya chuki! Ndio maana hata wale wanaosema Diamond alimdhalilisha Ruge; nimewauliza hapa alimdhalilisha nini; hakuna aliyejibu hata mmoja na wote wamekimbia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…