Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

Watanzania ni wanafiki Vs Diamond Platinumz

umesahau Clouds ndio walionza choko chiko kupitia kwa Soudy ambaye alimtukana sana Diamond na hata kuwashirikisha wazazi wake lakini jamaa alipiga moyo konde aliposhindwa na yeye akaanza kujibu mapigo tena sio matusi bali ni slogab kama hawaamini wa wanachokiona,sanaa imezaliwa upya,Mond hajawahi kumtusi Ruge wala mtu yoyote wa Clouds zaidi ya kuwachalenji kibiashara.....chuki sio nzuri kwa afya ya akili na mwili...bahati mbaya unaemchukia hakujui.
Halafu wale jamaa unajua wamefunga mdomo baada ya kuona share za Diamond kwenye Wasafi TV? Hawa nao walishafakamia matango pori ya Da' Mange aliyekuwa anadai Kusaga ndie mmiliki wa Wasafi TV kwa 98% na kwamba Diamond anamiliki 2%!
 
Always, diamond yeye ni mshindi kwa kuwa wabongo wengi wanajua msiba huwa unaombolezewa mtandaoni kwamba mtu akifariki lazima uposti yeye aliamua kutokuposti.

Basi wabongo waliokosa kazi za kufanya acha waanze kumtupia madongo,mara ooh analeta bifu hadi kwenye msiba mbona hajapost..me nikawa najiuliza kwani ni lazima au ni amri kupost kuhusu msiba?
Diamond kwa hekima na busara akachagua kunyamaza.

Jana mida ya saa saba alitinga msibani pale karimjee kuja kuomboleza msiba wa ruge. Aliamua kuja muda wa kawaida kabisa kama raia wengine wasio na dhahifa walivyokuja. Basi wabongo wasivyokosa maneno acha waanze tena, mara ooh mbona kachelewa kuja, ana dharau mara ooh amechelewa kuja ili aje kupata kick.

Nauliza kwani kuna sheria gani inayomtaka mtu awahi kuja msibani? Hivi diamond kwa level hizi ni wakutafuta tena kick?

Diamond always ni mshindi, jana kafika msibani sasa kazi ni kwa wambea wasiokuwa na kazi waanze kumjadili. Diamond ni kama watanzania wengine ata haki ya kuchagua ni yupi wa kumuombolezea.. Mtu sio ndugu yako, sio rafiki yako kwani ni lazima ufanya maombolezo kwenye msiba wake?

Wabongo tuwe serious basi! View attachment 1036674

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamjibu mtaka sifa Mrisho Mpoto
 
Halafu wale jamaa unajua wamefunga mdomo baada ya kuona share za Diamond kwenye Wasafi TV? Hawa nao walishafakamia matango pori ya Da' Mange aliyekuwa anadai Kusaga ndie mmiliki wa Wasafi TV kwa 98% na kwamba Diamond anamiliki 2%!
na ipo siku atakuja kua boss wao pia
 
Hivi kuna mtu dunia hii kamfedhehesha Ruge kama Zamaradi? ushawahi kusema lolote katika hili? tena ugomvi wa chibu na Ruge/Clouds ni wa kibiashara....ule wa Zamaradi na Ruge ni wa kimapenzi hadi akamrekodi na kuirusha clip public....katika 20% za kuumwa kwa ruge zama kachangua 5%......sijui unasemaje?
Hili la zama nilishalisema siku nyingi sana, yule ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, alifnya ujinga ambao lazima hata yeye anaujutia na hapo anakumbuka kauli ya marehemu "ogopa vitu viwili Mungu na TEKNOLOJIA, ile clip imemezwa na teknolojia haitafutika kamwe.
 
Dah!umenena vyema sanaaaaa!!!yàani waliko aibu wameipata hawakutegemea km msiba huu ungekua wa kitaifa kwa hili wao ndo wameonekana wehu haswaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana Lemutuz aliichukulia ile clip huyu mjane wa kambo aliyo irusha ikawa ndio fimbo ya kumchipia Ruge, kila afanyalo anadhihakiwa na clip ya kilio, walijua itakuwa shughuli ndogo ili waendelee kumdhihaki, Mungu kawachapa wote wamefunika macho na miwani kwa aibu.
 
Ili awe tofaut na wengine. Swala la kuchelewa naona alichelewa saloon.

Sent using Jamii Forums mobile app

Baada ya hapo akarusha yupo vacay Zanzibar anakula bata.
Hivi nyie watu hizi habari za Ruge kumnyanyua Diamond kimuziki mmezitoa wapi?! Kama alikuwa na huo uwezo, kwanini hakuwanyanyua wasanii wa THT? Barnaba yule pale, bonge la mwanamuziki, mbona hakumnyanyua kufikia level za Diamond? Btw, kama leo hii mnatuambia Diamond alinyanyuliwa naRuge, Papa Misifa aseme nini?!


Kila mtu na nyota yake.
hujiulizi why Barnaba alikuwa bado pale na kazi zingine?
Wivu acha na toho mbaya
 
Papa misifa na Bob Junior ndio waliomtoa Diamond ,Diamond alikataliwa THT.


Ruge alikuwa bosi wa Diamond pamoja na Joseph.

Joseph ataendelea kuwa bosi wake.

Mameneja walikuwa chini ya muongozo wa hao wawili.

Hata kama hao walianza haijalishi, Ruge alimpaisha one way or the other.
 
Kama fiesta ilifungiwa ulitaka yeye asifanye onyesho lake?ruge ametangulia nasi tutafuata unamuongelea ruge kama yeye malaika hakosei au kukosolewa
Matendo yake hata maneno aliyokuwa anayarusha kwenye mitandao, na wakati clouds wamefungiwa fiesta yeye alikuwa anafanya onesho la wasafi alirusha clip instagram akicheka kicheko cha kebehi wenye akili walielewa alichokuwa anafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la zama nilishalisema siku nyingi sana, yule ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, alifnya ujinga ambao lazima hata yeye anaujutia na hapo anakumbuka kauli ya marehemu "ogopa vitu viwili Mungu na TEKNOLOJIA, ile clip imemezwa na teknolojia haitafutika kamwe.
ule ndio udhalilishaji,ya Diamomd ni biznez oriented hakuna matusi pale,ni competetion na hajawahi kumtusi Ruge wala.member yoyte wa CMG zaid ya wao kupitia Shilawadu kumdhihaki kwamba anamtifua mama yake mzazi,mara kamloga baba yake ndo mana hataki kumtibia....mara balozi tu mali sio zake...mambo kibao,sasa hiv kiburi cha kina Soudy nadhan kimefika ukomo...tumefunzwa kutomtegemea mwanadamu bali Mungu pekee
 
umesahau Clouds ndio walionza choko chiko kupitia kwa Soudy ambaye alimtukana sana Diamond na hata kuwashirikisha wazazi wake lakini jamaa alipiga moyo konde aliposhindwa na yeye akaanza kujibu mapigo tena sio matusi bali ni slogab kama hawaamini wa wanachokiona,sanaa imezaliwa upya,Mond hajawahi kumtusi Ruge wala mtu yoyote wa Clouds zaidi ya kuwachalenji kibiashara.....chuki sio nzuri kwa afya ya akili na mwili...bahati mbaya unaemchukia hakujui.

Mwisho wa siku hao wote uliowataja mabosi au bosi wao mmoja.

Biashara zisiwapotoshe, kuna mengi. Though vya ajabu havikosekani.
 
Baada ya hapo akarusha yupo vacay Zanzibar anakula bata.



Kila mtu na nyota yake.
hujiulizi why Barnaba alikuwa bado pale na kazi zingine?
Wivu acha na toho mbaya
Acha uongo! Diamond hajatokea kwenye mikono ya Ruge!!! Bahati mzuri joseph1989 ameweka video hapo juu ambapo Mwasiti, mkongwe wa THT amesema wazi kwamba Diamond alitumiliwa pale THT alipoenda kuomba nafasi!! Sasa huyo Ruge alimtolea wapi?! Yaani unataka kutuambia Nenda Kamwambie iliyomtambulisha Mond ina mkono wa Ruge? Unataka kutuambia Mbagala second video track aftet Nenda Kamwambie ina mikono ya Ruge?
 
Halafu wale jamaa unajua wamefunga mdomo baada ya kuona share za Diamond kwenye Wasafi TV? Hawa nao walishafakamia matango pori ya Da' Mange aliyekuwa anadai Kusaga ndie mmiliki wa Wasafi TV kwa 98% na kwamba Diamond anamiliki 2%!

Na humo kwa shares za Diamond hayupo peke yake ana wenzake.
 
Ruge alikuwa bosi wa Diamond pamoja na Joseph.

Joseph ataendelea kuwa bosi wake.

Mameneja walikuwa chini ya muongozo wa hao wawili.

Hata kama hao walianza haijalishi, Ruge alimpaisha one way or the other.
Yaani unashindwa hata kutofautisha kati ya mshirika wa kibiashara na bosi!
 
ule ndio udhalilishaji,ya Diamomd ni biznez oriented hakuna matusi pale,ni competetion na hajawahi kumtusi Ruge wala.member yoyte wa CMG zaid ya wao kupitia Shilawadu kumdhihaki kwamba anamtifua mama yake mzazi,mara kamloga baba yake ndo mana hataki kumtibia....mara balozi tu mali sio zake...mambo kibao,sasa hiv kiburi cha kina Soudy nadhan kimefika ukomo...tumefunzwa kutomtegemea mwanadamu bali Mungu pekee

Kipindi Ruge anaumwa alifanya mengi ya roho mbaya.

Biashara bila akili nayo ni tabu. Yeye na his managers hawajui kupiga mahesabu ya dakika tano mbele.

Education ni muhimu maishani.
 
Na humo kwa shares za Diamond hayupo peke yake ana wenzake.
Wenzake akina nani?! Hivi we jamaa unajua unachoongea wewe?! Mtu ambae alitaka kuwemo kwenye ubia ni Sallam lakini iliposhindikana ndo akaamua kuanzisha Dizzim Online! Sasa hao wenzake ni akina nani na wana percent ngapi kila mmoja?
 
Yote tisa, kumi kanishanga Mrisho Mpoto!!

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Ruge alikuwa bosi namba mbili pale Clouds?

Hivi Mpoto anafahamu kwamba Joseph Kusaga ndie bosi namba moja pale Clouds?

Hivi Mrisho Mpoto anafahamu kwamba Diamond anamiliki 45% ya hisa za Wasafi TV na ndio CEO wa Wasafi?

Hivi Mpoto anafajhamu kwamba Joseph Kusaga, au mke wa Joseph Kusaga anamiliki 53% ya hisa za Wasafi TV na kwamba ndie majority shareholder wa Wasafi TV?

Sasa hivi huyu Mpoto anaamini kabisa kwamba Diamond na Kusaga hawakuongea in advace kuhusu kutokwenda kwake pale msibani?!

Hivi huyu Mpoto kabla ya ku-post kumtaka Diamond aende msibani anadhani Kusaga hakuwa amekubaliana na sababu za yeye kutokwenda?!

Hivi huyu Mpoto hata kama alidhani Kusaga hakukubaliana na suala la Diamond kutokwenda pale, anadhani hakumshawishi aende just for image?!

Hivi huyu Mpoto kama Kusaga alimshawishi Diamond lakini Diamond hakumsikiliza boss mwenzake, ndo angemsikiliza yeye mtembea peku peku?!

Bado sijafahamu alikuwa anatarajia ku-achieve nini hasa kwenye post yake ile!!

Kwamba, hata kama kumbe Diamond alikuwa amepanga aende siku fulani na hiyo siku inadondokea baada ya Mrisho ku-post; kwahiyo ndo angeamini kasikilizwa yeye "kama kaka", au?!
Haaa kumbe ametuchafua wengi yaan mkuu umedadavua vyema afu bifu la mond na ruge ni la kibiashara ambalo si jambo baya
 
Back
Top Bottom