Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Sasa kuliko kutaka wote twende na hizi assumptive calculations ni heri ungelinganisha miaka yao minne minne ya kila mmoja, kwa hicho hicho kigezo chako cha National debt to Gdp ration, ambapo Samia ataibuka kuwa na matokeo ratio mbaya kuliko wote.
Actual ukiweka Average ni more reasonable approach, mfano wakati wa Kikwete from 2005 to 2010 alishusha Gdp to debt ratio hadi chini ya asilimia 30, then from 2010 to 2015 Deni likazidi, so kuweka bias nikichukua data za 2005 itakua Kikwete Hana mpinzani Since kupata Uhuru.

Na Sijakataa Samia Hakopi, Soma hoja yangu toka tunaanza, my point Both Samia na Magufuli wamekopa sana, kumsema mmoja na kumfanya mwengine kama saint ni unafiki,
 
Huyu nimejadili nae mara kadhaa, anapenda kuweka uongo ili kumdogosha yoyote ambae hampendi. Namuelezaga hayo yote hayamsaidii chochote

Hapa anahangaika kuonyesha magufuli hakufaa kabisa, anashindwa kuelewa magufuli yapo mengi alikosea Wala huitaji kuongopa ili watu waelewe. Pia JK yapo mengi sana alikosea wala haihitaji apake polish kuficha hayo, hata Samia yapo mengi anakosea wala haitaji kuongopea yoyote.
Hahaha kuhusu Magufuli huwa naona wanatwanga maji kwenye kinu tu au wanakinga maji kwenye tenga la nyanya wakitegemea yataja.

Maana huku mitaani kwa watanzania walio wengi (ukiachana na wale wafuasi wenye itikadi kali wa chama pinzani) huwaambii kitu kwa Magufuli... yaani kiufupi anaishi kwenye mioyo yao, na ndio maana mpaka Leo hii licha ya yeye kutokuwepo ila bado ana watetezi kibao popote pale anavyongelewa vibaya nafikiri hata wao wenyewe wanajioneaga.... na hayo mapenzi hakuyapata tu hivi hivi bali kazi aliyoifanya na aina ya uongozi wa kipekee aliokuwa nao ndio kulimfanya kupendwa kiasi kile.

Tofauti kabisa na huyu bibi wa kizanzibar ambaye huko mitaani watu hawana habari na yeye licha ya kutumika nguvu kubwa sana na ya gharama ili na yeye aweze kupendwa na watu. Kwanza asilimia kubwa wanaomkingia kifua utakuta wana sifa moja kati ya hizi tatu 1)Mtumishi wa serikali 2)Mnufaika wa corruption/chawa 3) ana fanana nae kiimani yaani muislamu mwenzie.
 
Actual ukiweka Average ni more reasonable approach, mfano wakati wa Kikwete from 2005 to 2010 alishusha Gdp to debt ratio hadi chini ya asilimia 30, then from 2010 to 2015 Deni likazidi, so kuweka bias nikichukua data za 2005 itakua Kikwete Hana mpinzani Since kupata Uhuru.

Na Sijakataa Samia Hakopi, Soma hoja yangu toka tunaanza, my point Both Samia na Magufuli wamekopa sana, kumsema mmoja na kumfanya mwengine kama saint ni unafiki,
Kwa hiyo kumbe wewe kilichokuwasha na kuona Samia akisemwa na Magufuli kutokusemwa kwa jambo lile lile sio?

Kwa maana nyingine endapo kama huyu mleta Mada angeanza kwanza kumsema Magufuli kuhusu mikopo na athari zake kisha ndio akaja kumsema Samia, basi wewe usingekuwa na tatizo na hii thread kabisa si ndio?

Kama ni hivyo basi akili zako ni ndogo sana na ni za kitoto kama za mwajuma, maana wewe una mentality ya kuona kuhalalisha kosa kwa kutaja mtu mwingine aliyofanya kosa kama lako.
 
Kwa hiyo kumbe wewe kilichokuwasha na kuona Samia akisemwa na Magufuli kutokusemwa kwa jambo lile lile sio?

Kwa maana nyingine endapo kama huyu mleta Mada angeanza kwanza kumsema Magufuli kuhusu mikopo na athari zake kisha ndio akaja kumsema Samia, basi wewe usingekuwa na tatizo na hii thread kabisa si ndio?

Kama ni hivyo basi akili zako ni ndogo sana na ni za kitoto kama za mwajuma, maana wewe una mentality ya kuona kuhalalisha kosa kwa kutaja mtu mwingine aliyofanya kosa kama lako.
Kama huna cha kuongezea kwenye mada nipotezee tu mkuu mipasho siiwezi
 
Ni nani anahusika na kukusanya data zote za jumla? Hiyo kinada ipo sehemu tofauti lazima iwepo taasisi ya kukusanya hizo data na kuziweka pamoja.

Huamini BOT kuhusu data za uzalishaji loroshp sababu zimeenda tofauti na ulivyotegemea, lakini mwanzo ulizitulia kuhalalisha ulichotaka kuongopa. Unafanya watu wajinga

Kuna swali hujanijibu, unasema data za BOT wakati wa JK zipo sahihi, kwa mujibu wa hizo data korosho iliporomoka na kuanguka kabisa 2007?? Jk kwa nn aliifikisha huko korosho?
2007 ni mwanzo wa Awamu ya Kikwete why u judge mwanzo na sio mwisho, kiongozi bora ni yule anaye improve vitu, mwisho wa Kikwete korosho ziliuzwa kwa bei nzuri zaidi kuliko mwanzo wake. Sasa huoni hio ni pro na sio con?

Nimekupigia mahesabu why sijaamini data za Bot hizo za 400m na 500m usd so far hujanijibu kwa data kuprove ni data sahihi. Uzalishaji na bei sokoni unaonesha mauzo ni 140-230m kwa huo mwaka, kuforce mimi kuamini hizo data blindly, prove kwanza zipo sahihi kitu ambacho unakikwepa.
 
Hapo hapo, mkapa alikuta gdp ikiwa $7b, akaipeleka mpaka $18b hii ni zaidi ya Mara mbili mbona yeye hakukopa sana Kama JK ikiwa issue ni kuipeleka gdp mara mbili?
Sijawahi kataa humu kwamba mkapa sio Raisi bora, na wala hii hoja haikinzani na hoja yangu
 
Anaweka imani mbele, Kuna sehemu nimeona nimeshangaa anaangalia Imani badala ya ukweli au uongo. Hili ni tatizo kwake litamsumbua maana katika Hali ya kawaida watu wa Imani tofauti nchi yetu wapo wengi utakua unakesha unawachukia na kujiumiza tu
Ni kawaida sana kwa hawa wavaa kobazi na elimu yao duni, wao kiongozi yoyote yule aliyepo madarakani wanamuangalia kwa jicho la imani kisha ndio yanatoka maamuzi vichwani mwao kwamba wamsupport au wamchukie...!! Na waliyokuwa wajinga wakimsifia kiongozi wa imani yao lazima wampondee na yule wasiompenda.

Tangu Samia aokote uraisi ni nadra sana kukuta hawa wavaa kobazi wakimsifia bila kuona wakimpondea JPM, yaani chuki zao za kidini na elimu duni kumewafanya wamekuwa wapumbavu kweli.. mpaka wanasahau hii nchi siyo ya waislamu peke yao.
 
Yeye anaamini magu alikosea sana, anaamini JK alikua perfect na anaamini Samia ni perfect hakuna anapokosea.
Mpumbavu huyu na hiyo dini yake iliyomfanya amekuwa msukule mwenye upofu wa akili na maarifa.

Watu kama huyu ndio huwa wanaamsha hisia za watu hatimae kila mtu anaanza kuona kiongozi wa kumsapoti kwa misingi yake.

Lakini tusimlaumu sana hawa wavaa kobazi wengi wao elimu hawana.
 
Kama huna cha kuongezea kwenye mada nipotezee tu mkuu mipasho siiwezi
Mbona wewe ndio huna cha maana cha kuongezea hapa zaidi ya hizo data zako za kubumba na chuki za kidini kwa kiongozi wasiokuwa waislamu kama wewe?

Sasa kama mtu mwenyewe unasema eti Samia anakuza uchimi bila kutumia misingi yoyote iliyoachwa na Magufuli ndio tujadiliane na wewe???

Akili huna
 
Mbona wewe ndio huna cha maana cha kuongezea hapa zaidi ya hizo data zako za kubumba na chuki za kidini kwa kiongozi wasiokuwa waislamu kama wewe?

Sasa kama mtu mwenyewe unasema eti Samia anakuza uchimi bila kutumia misingi yoyote iliyoachwa na Magufuli ndio tujadiliane na wewe???

Akili huna
Kwa hio hii comment ulioandika ndio imethibitisha Samia ameongeza uchumi kwa Misingi ya MaGu? Prove ulichoongea kama huna cha kuprove ukiona comment yangu achana nayo tu.
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Uzi wako ni kuhusu Joni a misaada?
 
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.

JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.

Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!

Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!

View: https://youtu.be/3_8_fbJcKug?si=O_-KOcucEfwsUGxp
 
Ushahidi ni mwingi sana
-Katafuta soko.la.nyama Saudia
-Katafuta soko.la Kilimo China
-Kafungia soko la Kilimo India
-Kaleta ujenzi wa studio ya Kisasa ya movie Zanzibar kutoka Hollywood
-Kaleta kiwanda Cha Mbolea Mtwara na Dodoma

Kiufupi hakuna ziara ambayo Samia amefanya Kwa hasara.

By the way afanye ziara isiwe na faida Ili kitokee nini?

View: https://www.instagram.com/p/DF7EKaTqSKB/?igsh=MXdtcjlhOGF4bDY1OA==

Kwa hiyo hivi vina impact gani kwa population ya watanzania milion 61??.......je unadhani anatoshea kuongezewa muda wa kutawala??............kwanini kumekuwa na kusiginwa kwa katiba wazi wazi.........tambua kuna muungano lakini kuna vitu si vya muungano .......ikiwemo vyeo na nafasi nyeti za huku bara
 
Kwa hio hii comment ulioandika ndio imethibitisha Samia ameongeza uchumi kwa Misingi ya MaGu? Prove ulichoongea kama huna cha kuprove ukiona comment yangu achana nayo tu.
Kwa hiyo huyo samia wako kakuza uchumi bila kuchagizwa kwa namna moja ama nyingine na miundo mbinu iliyoboreshwa na Magufuli au?

Kwamba hata hao wakulima wa korosho na mbaazi ambao mnasema pato lao limeongezeka awamu hii hawajanufaika chochote na bara bara zilizo bora zilizopanuliwa awamu ya tano ambazo zimewarahisishia suala zima la logistics?

Wewe jamaa ni mpumbavu sana na elimu huna, rudi shule ukajielimishe kwanza mjinga wewe na sio kujaza chuki tu kwenye hicho kichwa chako.

Tena usini quote tena nyau wa msikitini wewe
 
Kwa hiyo huyo samia wako kakuza uchumi bila kuchagizwa kwa namna moja ama nyingine na miundo mbinu iliyoboreshwa na Magufuli au?

Kwamba hata hao wakulima wa korosho na mbaazi ambao mnasema pato lao limeongezeka awamu hii hawajanufaika chochote na bara bara zilizo bora zilizopanuliwa awamu ya tano ambazo zimewarahisishia suala zima la logistics?

Wewe jamaa ni mpumbavu sana na elimu huna, rudi shule ukajielimishe kwanza mjinga wewe na sio kujaza chuki tu kwenye hicho kichwa chako.

Tena usini quote tena nyau wa msikitini wewe
Nitajie KM za barabara ambazo zimejengwa wakati wa Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia, kama huna hizo Data bora ukae kimya, mtu kujisifia kujenga barabara na kujenga barabara ni vitu viwili tofauti.
 
Hiyo open government inahusiana vipi na BOT monthly economic review?

Nitumie data za local zipi? Kutoka kwenye page zipi? Uniambie wewe sasa, je hizo utaziamini? Kwa nini hizo uziamini?

Magu alicrash korosho ilikuaje uzalishaji ukapanda?Data za zamani za BOT unasema unaziamini, hizo data zinaonyesha korosho ilishuka sana mwaka 2007 kufikia ev ya $28b, je Jk alicrash korosho? Naomba kujua
Mkuu nimesoma hoja zako, kwa kweli zina nguvu na ni ukweli mtupu, jamaa alitaka kunielemea kwa kuleta data za upendeleo na zilizo pikwa.
 
Hajawahi safari popote kutafuta Msaada bali connection za biashara,uwe jnafuatiloa ziara za Rais.

Na Kwa taarifa Yako hajawahi fanya ziara ya hasara.
UNaweza sema ni faida gani tumepata kwa kulipa mabilioni kwa mcheza film wa US, Peter (yeye anmwita Piller)?
Mwambieni nchi haitaendelea kwa wazungu au waarabu aliowageukia. Safari za rais hazilipi, zinaondoa heshima tu na kuwa kama mtu wa mitaani.

Nasikia Saudia tayari inachukua bandari ya Bagamoyo sasa!
 
UNaweza sema ni faida gani tumepata kwa kulipa mabilioni kwa mcheza film wa US, Peter (yeye anmwita Piller)?
Mwambieni nchi haitaendelea kwa wazungu au waarabu aliowageukia. Safari za rais hazilipi, zinaondoa heshima tu na kuwa kama mtu wa mitaani.

Nasikia Saudia tayari inachukua bandari ya Bagamoyo sasa!
Hizi hapa 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DANTuS2NZOR/?igsh=bjN0M2M0dzI2aWQ=

Lakini kubwa kuliko ni hili hapa 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
 
H

Watalii hawaalikwi na rais. NI safari za kupoteza muda na kiwewe kusimulia kijiweni kwamba naojua dunia. Hakuna kitu hapo!
Kana Egypt na Brazil huwaoni hapo, fahamu ni taarifa ya kujifagilia tu.

Onesho moja la Mziki wa Madona, lilipeleka watalii milioni 1 Brazil. Eti sisi tunasema milini 2, rubbish!
 
Nchi inaongozwa na vilaza! Tuliimba vya kutosha kwamba uombaomba hauna tija, lakini wapumbavu hawakuelewa somo. Sasa Marekani imenuna, sijui hawa vilaza watalielekeza wapi bakuli lao!
Sasa EU nao wamejiunga. Wameanzakuelekeza pesa yao kwenye ulinzi kuliko misaada. Tutashika adabu tu!
 
Back
Top Bottom