Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Watanzania sasa tuulizane; Rais bado anasafiri duniani kutafuta misaada?

Data za Bot za zamani of course ni credible tulikua na mikataba na wafadhili hizo data kuwa published kwa uwazi, something open Government nimesahau jina Lake ila Magu akajitoa kupika data.

Tumia data zako Za local, mkulima alilipwa kiasi gani alipouza korosho yake? Millard Ayo na wengineo zimejaa kibao, msimu uliopita kuna waliolipwa zaidi ya 4000 kwa kilo,

Ukiangalia wakati wa Kikwete bei ilikua humo humo


MAGU alicrash korosho, inajulikana nchi hii, ni ubishi usio na maana hata kubishana.
Hiyo open government inahusiana vipi na BOT monthly economic review?

Nitumie data za local zipi? Kutoka kwenye page zipi? Uniambie wewe sasa, je hizo utaziamini? Kwa nini hizo uziamini?

Magu alicrash korosho ilikuaje uzalishaji ukapanda?Data za zamani za BOT unasema unaziamini, hizo data zinaonyesha korosho ilishuka sana mwaka 2007 kufikia ev ya $28b, je Jk alicrash korosho? Naomba kujua
 
Hii umeweka kama layman, hujui kwa nini kila mwaka deni linaongezeka?

Mkapa mwaka alikuta Deni lipo $7b na kufikisha $8b, ndio mpngo wa kufuta madenic nchi maskini ukalishusha hadi $4b ambayo nk aliipeleka mpaka $15b

Lugha rahisi mkapa alikopa $1b kwa miaka 10, unahisi kwa nini JK alikopa $11b mara 10 ya mkapa? Hili swali ndio linajibu kwa nini magu alikopa $9b kwa 5 years na mama Samia $9b kwa miaka minne
Kikwete ana ukuaji mkubwa Uchumi kuelezea hivyo, nimeshakupa Data za Deni vs Gdp ratio, kama ulichotengeneza ni zaidi ya mara 2 ulichokopa ina justify hilo, hata ukiangalia hilo deni la Taifa as a percentage of Economy utaona lilishuka wakati wa kikwete

Mwaka 2005 Debt to Gdp ratio ilikua 46% N mpaka 2015 Debt to Gdp ratio ilikua 39% japo kumekopwa 11B usd, ina maana ukuaji uchumi unakua kwa kasi kuliko Ukopaji, Ila from there Debt to Gdp ratio inaendelea tu kupanda ina maana ongezeko la Uchumi haliakisi kinachokopwa, mtu anakopa Akajenge Chato unafkiri utaona matokeo kwenye Gdp?
 
Hiyo open government inahusiana vipi na BOT monthly economic review?

Nitumie data za local zipi? Kutoka kwenye page zipi? Uniambie wewe sasa, je hizo utaziamini? Kwa nini hizo uziamini?

Magu alicrash korosho ilikuaje uzalishaji ukapanda?Data za zamani za BOT unasema unaziamini, hizo data zinaonyesha korosho ilishuka sana mwaka 2007 kufikia ev ya $28b, je Jk alicrash korosho? Naomba kujua
Bosi data ni za Kupikwa even huo uzalishaji hauna uhakika kama upo sahihi.

Data zinapatikana kwenye minada, kila mnada wa korosho unakua ni public waandishi wanakuwepo, Google mwaka husika na mnada wake utapata data, nimekupa mfano 2019/20 mwaka ambao bei ya Korosho ilicrash kuja 1500-2300, mwaka jana ilikua 4000, mwaka 2013 ilikua 3800 etc google mwaka unaotaka mwenyewe fanya Comparison.

Data zikiwa wazi kila mtu anaweza kuhoji, hivyo kukiwa hakuna data zilizowazi viongozi inakua rahisi kupika data, ila data zikiwa wazi fasta tu utasikia watu wanahoji incase kuna tatizo.
 
3. Gdp sasa haikui sababu ya Magu, bali inakua kwa kureverse alivyofanya nakupa mifano michache.

-



Kuna mambo mengi yamechangia Gdp kuongezeka, ila definitely Miradi ya Magu si kigezo, bali yeye ndio katuchelewesha sana tu.
Hivi nyie machawa wa bibi tozo kuna muda huwa mnapigwa vidole mpaka mnachanganyikiwa au?

Mbona wengi wenu huwa ni wapumbavu hiviii? Yaani mmejawa na chuki kwa marehemu mpaka mnakera wasengge nyie.

Nimeamua kukunukuu hivi vipande viwili hili ujione ulivyomjinga kwa kujicontradict mwenyewe mpuuzi wewe..!!

Eti GDP kwa sasa haikui, halafu hapo hapo mwishoni unakusema inakua, lakini kwa factors nyingine na sio miradi ya Magu serious?

Kwamba hata shirika la ndege la taifa aliyelifufua ni mama ako huyu sio??? Kwamba miundo mbinu hiyo iliyoboreshwa awamu ya tano haina mchango wowote kwenye huu uchumi uliokuzwa na mama ako na badala yake mama ako samia anatumia miujiza kuukuza uchumi si ndio maanake??

Nyie machawa wa bi tozo akili zenu ziko matakoni na kwenye matumboni yenu wapumbavu nyie.... na sijui kwanin hakunaga mwenye akili kati yenu.
 
Kikwete ana ukuaji mkubwa Uchumi kuelezea hivyo, nimeshakupa Data za Deni vs Gdp ratio, kama ulichotengeneza ni zaidi ya mara 2 ulichokopa ina justify hilo, hata ukiangalia hilo deni la Taifa as a percentage of Economy utaona lilishuka wakati wa kikwete

Mwaka 2005 Debt to Gdp ratio ilikua 46% N mpaka 2015 Debt to Gdp ratio ilikua 39% japo kumekopwa 11B usd, ina maana ukuaji uchumi unakua kwa kasi kuliko Ukopaji, Ila from there Debt to Gdp ratio inaendelea tu kupanda ina maana ongezeko la Uchumi haliakisi kinachokopwa, mtu anakopa Akajenge Chato unafkiri utaona matokeo kwenye Gdp?
Hapo hapo, mkapa alikuta gdp ikiwa $7b, akaipeleka mpaka $18b hii ni zaidi ya Mara mbili mbona yeye hakukopa sana Kama JK ikiwa issue ni kuipeleka gdp mara mbili?
 
Kama ilivyo kawaida kwa makusudi na kwa kudhamiria umeamua kuweka uongo wa kiwango cha juu

Magu anaingia madarakani Deni lilikua $18b na sio $16b

Gdp 2015 ilikua $47b na sio $49b

Magu na mama Samia hawajakopa sana kuliko kikwete. Kikwete kaingia madarakani, 2006 Deni lilikua $4b, katoka madarakani Deni lipo $18b, hivyo kakopa $14b.
Angalia kila mwaka hapa chini

and 100 others kuwa makini na data anazoweka baba mwajuma. Anawekaga mauwongo mengi
Kawaida nikishaonaga tu mtu yoyote anam glorify Kikwete na Samia halafu hapo hapo jina lake linaashiria kuwa ni mvaa kobazi najua hakuna kitu kichwani hapa zaidi ya ujinga, kutegemea data za kutunga na kutetea serikali dhaifu.
 
Link uliyoweka inapingangana na ulichoandika, export iliongezeka kwa $2b, maelezo yako data zilipaswa ziwe zimeshuka na sio kuongezeka

Korosho haikushuka, ndio ilikwenda juu kuanzia uzalishaji hadi mapato

Kwenye cashewnuts umesema uongo wa hali ya juu. Korosho wakati JK anaingia iliporomoka hadi kufikia $25m kutoka $68m aliyokuwa nayo mkapa, japo baadae ilianza kupanda. Kikwete nae alifanya nn korosho ikaporomola hivyo 2007, aliua wakulima?

Jk anaondoka export value ya korosho ilikua $196m, but magu aliipeleka hadi $500m, hatujawahi kufika hiyo level hata kwa Sasa. Hapo utaweza vipi kusema aliua hiko kilimo?
Pitia hapa usome tena vizuri trend ya korosho kutoka BOT, urudi uje ufute ulichoandika


and 100 others kuwa makini tena na taarifa za baba mwajuma. Anaweka uongo mwingi
Umejua kumshika uongo huyu chawa wa chura kiziwi, na anandika kwa confidence kweli bila aibu.
 
Bosi data ni za Kupikwa even huo uzalishaji hauna uhakika kama upo sahihi.

Data zinapatikana kwenye minada, kila mnada wa korosho unakua ni public waandishi wanakuwepo, Google mwaka husika na mnada wake utapata data, nimekupa mfano 2019/20 mwaka ambao bei ya Korosho ilicrash kuja 1500-2300, mwaka jana ilikua 4000, mwaka 2013 ilikua 3800 etc google mwaka unaotaka mwenyewe fanya Comparison.

Data zikiwa wazi kila mtu anaweza kuhoji, hivyo kukiwa hakuna data zilizowazi viongozi inakua rahisi kupika data, ila data zikiwa wazi fasta tu utasikia watu wanahoji incase kuna tatizo.
Ni nani anahusika na kukusanya data zote za jumla? Hiyo kinada ipo sehemu tofauti lazima iwepo taasisi ya kukusanya hizo data na kuziweka pamoja.

Huamini BOT kuhusu data za uzalishaji loroshp sababu zimeenda tofauti na ulivyotegemea, lakini mwanzo ulizitulia kuhalalisha ulichotaka kuongopa. Unafanya watu wajinga

Kuna swali hujanijibu, unasema data za BOT wakati wa JK zipo sahihi, kwa mujibu wa hizo data korosho iliporomoka na kuanguka kabisa 2007?? Jk kwa nn aliifikisha huko korosho?
 
Umejua kumshika uongo huyu chawa wa chura kiziwi, na anandika kwa confidence kweli bila aibu.
Ana utoto, yeye ndio alianza kuleta taarifa za BOT, Sasa hivi baada ya kukuonyesha zipo tofauti na alivyokua anatamani anaanza kusema haziamini. Anaamini za wakati wa JK,nakuuliza hizo hizo za wakati wa JKwaka 2007 mbona korosho ikiporomoka na kuanguka kabisa ,Hana jibu
 
Kawaida nikishaonaga tu mtu yoyote anam glorify Kikwete na Samia halafu hapo hapo jina lake linaashiria kuwa ni mvaa kobazi najua hakuna kitu kichwani hapa zaidi ya ujinga, kutegemea data za kutunga na kutetea serikali dhaifu.
Anaweka imani mbele, Kuna sehemu nimeona nimeshangaa anaangalia Imani badala ya ukweli au uongo. Hili ni tatizo kwake litamsumbua maana katika Hali ya kawaida watu wa Imani tofauti nchi yetu wapo wengi utakua unakesha unawachukia na kujiumiza tu
 
Mtu usafiri si kuomba msaada tu bali kutengeneza mahusiano na kutafuta uwekezaji.

Mfano Chukulia huyo Kikwete Angalia uwekezaji alioleta Tanzania utafananisha na nini?

Kamleta Dangote Tanzania akawekeza zaidi ya Trilioni, kawaleta Wavietnam ambao ngumu kuwakuta popote Duniani wakaja kusambaza Internet vijijini nao zaidi ya Trilioni wamewekeza, unapata vipi huu uwekezaji ukijifungia ndani?
Unaongelea Epocha, baadae Vietel kwa sasa Halotel.
 
Context ni kwamba Kikwete kakaa miaka 10 ukijumlisha mi 5 tu ya Samia ama Mita I tu ya Magufuli utakua unamuonea, ni Either ugawanye Deni na GDP ama deni na miaka waliyokaa upate Figure nzuri kimahesabu.
Sasa kuliko kutaka wote twende na hizi assumptive calculations ni heri ungelinganisha miaka yao minne minne ya kila mmoja, kwa hicho hicho kigezo chako cha National debt to Gdp ration, ambapo Samia ataibuka kuwa na matokeo ratio mbaya kuliko wote.
 
Uliweka data za BOT ni wewe, hapa tena unasa huziamini ni za kupika? Ulipoziweka ulikua hujui kuwa ni za kupikwa? Au sababu ya wewe kuweka link ya data za BOT ni ipi? Ulijua hatutafungua hiyo link?

Kwa nini iwe ya kupikwa hadi leo? Huamini hata wanaozitoa hizo data kwa Sasa?

Basi tusemw BOT waongo, ingia hapa kwa FAO uone huo mwaka ulinganishe na za BOT
Haloo kwa jinsi ulivyomshika huyu jamaa atashindwa kunywa hata bia kwa hela za rushwa wanazopata huko kwenye system.

Kama haiamini BOT basi apingane mpaka na data zilizokuwa published na FAO tasisi ya mabeberu ambayo ndio wanaiamini sana
 
Haloo kwa jinsi ulivyomshika huyu jamaa atashindwa kunywa hata bia kwa hela za rushwa wanazopata huko kwenye system.

Kama haiamini BOT basi apingane mpaka na data zilizokuwa published na FAO tasisi ya mabeberu ambayo ndio wanaiamini sana
Huyu nimejadili nae mara kadhaa, anapenda kuweka uongo ili kumdogosha yoyote ambae hampendi. Namuelezaga hayo yote hayamsaidii chochote

Hapa anahangaika kuonyesha magufuli hakufaa kabisa, anashindwa kuelewa magufuli yapo mengi alikosea Wala huitaji kuongopa ili watu waelewe. Pia JK yapo mengi sana alikosea wala haihitaji apake polish kuficha hayo, hata Samia yapo mengi anakosea wala haitaji kuongopea yoyote.
 
Ana utoto, yeye ndio alianza kuleta taarifa za BOT, Sasa hivi baada ya kukuonyesha zipo tofauti na alivyokua anatamani anaanza kusema haziamini. Anaamini za wakati wa JK,nakuuliza hizo hizo za wakati wa JKwaka 2007 mbona korosho ikiporomoka na kuanguka kabisa ,Hana jibu
Yaani mtu anakwambia BOT kipindi cha Kikwete walikuwa wanatoa data za kweli, ila kipindi cha Magu walikuwa wanapika data, halafu sasa hivi kipindi cha Samia wanatoa data za kweli...

Sasa huyo si mwehu kabisa na mpuuzi wa mwisho.. yaani chuki za kitoto na uislamu mwingi ndio vimemjaa kichwani hadi amekuwa kama tahira.
 
Yaani mtu anakwambia BOT kipindi cha Kikwete walikuwa wanatoa data za kweli, ila kipindi cha Magu walikuwa wanapika data, halafu sasa hivi kipindi cha Samia wanatoa data za kweli...

Sasa huyo si mwehu kabisa na mpuuzi wa mwisho.. yaani chuki za kitoto na uislamu mwingi ndio vimemjaa kichwani hadi amekuwa kama tahira.
Yeye anaamini magu alikosea sana, anaamini JK alikua perfect na anaamini Samia ni perfect hakuna anapokosea.

Nchi zetu hizi zenye umaskini na mifumo mibovu hakuna raisi hafanyi makosa makubwa iwe jkwa kudhamiria au kwa bahati mbaya. Maraisi hufanya makosa makubwa sana wakiwa madarakani na baadae huyajutia
 
Tupe ushahidi bwana magurue usilete mboyoyo hapa
Ushahidi ni mwingi sana
-Katafuta soko.la.nyama Saudia
-Katafuta soko.la Kilimo China
-Kafungia soko la Kilimo India
-Kaleta ujenzi wa studio ya Kisasa ya movie Zanzibar kutoka Hollywood
-Kaleta kiwanda Cha Mbolea Mtwara na Dodoma

Kiufupi hakuna ziara ambayo Samia amefanya Kwa hasara.

By the way afanye ziara isiwe na faida Ili kitokee nini?

View: https://www.instagram.com/p/DF7EKaTqSKB/?igsh=MXdtcjlhOGF4bDY1OA==
 
Back
Top Bottom