Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Ajabu sana. Ati kwanini masanduku hubebwa kupelekwa halmashauri ilhali kura zimepigwa vituoni?Watanzania wasio wajinga sasa wanataka kura zote kila jimbo zihesabiwe hadharani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu sana. Ati kwanini masanduku hubebwa kupelekwa halmashauri ilhali kura zimepigwa vituoni?Watanzania wasio wajinga sasa wanataka kura zote kila jimbo zihesabiwe hadharani.
Huna akili na mpumbavu wewe. Jibu hoja mtapata kura za hutuma? Au watu watachagua mchapa kazi ma mleta maendeleo? Unaleta habari za kipuuzi n kitotoNilishasema hili ni ingizo bovu CCM kama usajili wa Yikpe Yanga. Yaani wewe ndo Yikpe wa JF.
Unaona kabisa mtu kapewa kura na Watanzania 405 kwenye kura za maoni halafu unaleta Uzi wa kidwanzi eti Watanzania hawatampa kura!! Hao wajumbe 405 ni Wanyarwanda kama Magufuli?
Shughuli gani?Mbona unaanza kuwayawaya mapema?! Ndio kwanza shughuli imeanza
Bulyanhulu ndio Lumumba? Au ndio huruma zenyewe mnazosaka?Kwani Bulyanhulu ndo hakuna wana Lumumba??? Au ndo mpwa tuinuane???
Acha kufikiri kwa makalio tumia akili. Au yanakuwasha? Kejeli zenu na matusi zinanitisha nini?Pole ndugu yangu, Ila hongera kwa kujitoa mhanga.
Kuanzia leo tambua kuwa Jamiiforum si mahala salama kwa wanaounga mkono juhudi.
Tambua kuwa Uhuru upo, Ila hakuna uhuru wa kukosoa chadema na viongizi wake.
Lisu hapingwi, ukimpinga lisu humu Jf jiandae kwa reply za matusi na kejeli.
Siku nyingine uje na mada itakayo wapendeza wana Jf.
Mfano: unaweza andika heading Kama hii
TUNDU LISU NDIO MKOMBOZI WETU, TUMPE KURA ZETU.
Mbona MATAGA wanaweweseka sana? Nini kimetokea?Hakuna jipya alichofanya huyo jamaa yenu yote yalikua kwenye plan anayatekeleza tu.
Twende na Lissu
Mataga? Kisa mtu anasema kweli,ngoja kampeni zianze tuone hata kushambuliwa kwake kutampa kick majukwaani.Mataga safari hii mtakua vichaa
Ahaaaa, huku ndio kuweweseka. Habari za Sgr na kura za huruma mnazosaka zinaingiliana wapi?Tunamporomosha "KISHINDO CHA AWAMU YA TANO" kama tunanawa vile. Tayari nyaraka nyingine ya SGR tumeinyaka yani ni wadudu watupu!
Mataga tulia sindano ya Lissu ikuingie vizuri.Mataga? Kisa mtu anasema kweli,ngoja kampeni zianze tuone hata kushambuliwa kwake kutampa kick majukwaani.
Acha hasira mkuu, hakuna atayemuonea huruma kisa amepanda jukwaani na magongo.Mataga tulia sindano ya Lissu ikuingie vizuri.
Amekusaliti nini.?Siwezi kumchagua msaliti wa taifa(mwt)
Hakuna kinachonishawishi hata kidogo. Hizo picha za mapokezi za kutengeneza ili ionekane watu wengi? Na comment za kishabiki ndio zinishawishi?Nadhani comment za humu kwenye post yako zinatosha kukupa picha kuwa kama kweli huyo Lissu anapendwa ama la. Nadhani pia ulipata kushuhudia mapokezi yake alipokuwa akiingia Dar na jinsi alivyoteka mitandao karibu yote bongo.
Hata kama nchi iendelee vipi lakini kama wananchi wanaishi kwa hofu ni kazi bure,na hapa ndipo utawala huu ulipofeli,amani ya moyo haipo,kimsingi watu wengi watamchagua Lisu si tu kwasababu lisu ni bora sana bali hasira ya ubabe unaoendeleaNipo Kakola nashuhudia Twiga minerals ikiwanufaisha watanzania.
Kwa hiyo kwa akili yako ndogo unataka kusema maendeleo yanayofanyika hapa Tz hayamgusi mwananchi moja kwa moja? Kutukopesha sio sababu ya kutufanya sisi mabwege ndio maana hatutaki mikopo yenye mashariti ya kipuuzi kama kuruhusu ushoga na mimba za utotoni. Ila Lissu anaunga mkono huu upuuzi .Mleta mada, si kweli kuwa taifa linahitaji barabara, umeme, reli TU. Taifa linahitaji maendeleo ya intangibles kama elimu bora, usawa na uhuru, haki, utajiri na ustawi.
Sidhani Lissu atapigiwa kura ya kuhurumiwa. Uchaguzi huu ni kura kati ya kuchagua maendeleo ya vitu au ustawi wa watu!! Hao unaowabeza ni mabeberu ndio hawa hawa hata wametukopesha pesa za kujengea hii miradi unayoitaja. Tabia hii ya kuamini “baniani mbaya kiatu chake dawa” ndio inayoonesha kudidimia kwa ustawi wa jamii - lack of morals!!!