Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
On top of that wananchi wakadaganywa kuwa part ilipelekwa ZNZ.... Toka siku hiyo nilianza Kupoteza Imani....!!Hivi mtu mzalendo anaweza kuacha trilioni 1.5 ya watanzania itoweke bila maelezo?
Hivi mtu mzalendo anaweza kuacha trilioni 1.5 ya watanzania itoweke bila maelezo?
Hongera, ila ukisikia radi inanguruma usikae nje, ingia ndani.Acha ukabila wewe kenge
Raha sana MUNGU atusimamie ccm iondokeNipo Kakola Bulyanhulu, habari za Lumumba sizijui.
[emoji23][emoji23]Mtaweweseka sana vichaaa nyinyi, anzeni kukusanya virago mapema, serikali mpya ya kamanda Tundu Lissu haicheki na kima wa Kijani
!Nyie mtakuwa wakimbizi sio watanzania.
Lisu wa Acacia na makinikia ambaye hata ukimuuliza ikulu anaitaka ya nini anaanza kukupigia hadithi za Alfu Lela u Lela watampa kura wasiojitambuatulia lissu akuingize dawa acha papara
Nyie mkampe kura yule mbaguzi wenu,tumechoka.Kodi tutoe wote, maendeleo mpewe nyie tu.wote Ni watanzaniaLisu wa Acacia na makinikia ambaye hata ukimuuliza ikulu anaitaka ya nini anaanza kukupigia hadithi za Alfu Lela u Lela watampa kura wasiojitambua
Nonsense. Jibu hoja mtapata kura za huruma?Unateseka nini bhana?
Uliketa uzi mara ooh chadema wanafurahi kitu gani kwamba Lissu atawasaidia nini, ukaandika na matakataka mengine kibao tu, haya sasa Lissu ameibuka kidedea huko unaendelea kubwabwaja!
Najua unaumia kuna kitu kimekuganda kooni lakini ndiyo hivyo, sijui unamkasirikia nani...!
Utakufa kwa madonda kabla ya siku zako, tulia dawa ikuingie panapotakiwa mtateseka zaidi na kuishia kufoka tu...