Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #101
Nonsense.Hujui Mrema ni Agent wa MaCCM alitumika kuisambaratisha NCCR??
Kwani uzalendo ni kuuwa watu kuwapiga risasi na kuwapoteza??
Huna hata aibu, hujui CCM ni chama cha wauwaji, watoa rushwa na ushahidi uko wazi ua huoni??
U---------Eti uzalendo!!!
Uzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.
====Ukiweza kuweka tafsiri ya taifa! nitakujibu vizuri. Je ikiwa taifa linaongozwa na vibaka na wauaji utawaweka mbele wao na taifa? Kitendo cha kuwatenga mbali na taifa na kuwapiga ni uzalendo tosha. Yaani ukiwapiga vita vibaka na wauaji wanaoharibu taifa wakiwa viongozi huo ndio UZALENDO.
Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?
== haitoi chochote bure. CCM inatumia kodi zetu kufanya hayo. Tatizo linakuja pale vipaumbele vya wananchi vinatupwa mtu mmoja anatumia uongozi wake anampa madaraka mpwa wake ya katibu mkuu hazina na kuchota mabilioni kama ya kwenye wallet yao kujenga uwanja wa ndege nyumbani kwao. Kununua madege wakati wafanyakazi wa serikali wako dhoofu bin taabani kwa mateso ya kukosa mafao na stahili zao. Hao ni viongozi na sio taifa. Tutawatenga kuwapinga na kuwaondolea mbalimbali na huo ndio uzalendo
Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?
====Tena na tena tenganisha uzalendo kwa taifa na uzalendo kwa chama na viongozi madikteta wasiosikia la mtu. Ni wapi bunge lipi lilipitisha hiyo miradi na lini?
Yaani wewe kwa sababu tumekupa uongozi uamke kitandani kwa mkeo uchukue kodi zetu uweke kwenye mamiradi ambayo wawakilishi wetu hawajapanga kwa niaba yetu?
Uzalendo mavi huo.
Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.
====Wee mpiga debe mtumwa ndiye unayeongozwa kama ngombe wa machinjioni ndiye unayebwabwaja. Hebu acheni upenyo wa uhuru wa kidemokrasia kama hamtaambulia mashimo ya choo cha stendi
Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.
Siasa sio chuki na uadui.
====Hayo nenda kawaulize walimkatakata aloys mawazo, waliomteka Ben saanane, walioua diwani wa hananasifu, waliompiga lisu risasi 40. Kamuulize magufuli na genge lake.
Nonsense.
Ukweli gani hapo huyo kausema?Jifunze kuvumilia ukweli, hata kama hupenda watu wengi waufahamu ukweli huu kuhusu ccm.
Nonsense.
Ukweli gani hapo huyo kausema?
Nashukuru kwa kuwa mkweli, Chadema haifai.Ndio.
Wewe ni kuku wa kienyeji kabisa unawasifu kunguru na mwewe wakati kila siku vifaranga vyako vinaliwa. Sasa huyu kipanga wa magogoni atakutafuna siku si nyingi. Kwanini uuandike neno uzalendo ambalo umejionyesha upumbavu wako wa ajabu. Kuwa hata kumvulia pichu magu ni uzalendo! rubbish thinking. Tell this to your fellow birds!!Nonsense.
Nakupuuza.Wewe ni kuku wa kienyeji kabisa unawasifu kunguru na mwewe wakati kila siku vifaranga vyako vinaliwa. Sasa huyu kipanga wa magogoni atakutafuna siku si nyingi. Kwanini uuandike neno uzalendo ambalo umejionyesha upumbavu wako wa ajabu. Kuwa hata kumvulia pichu magu ni uzalendo! rubbish thinking. Tell this to your fellow birds!!
Nakupuuza.Wewe ni kuku wa kienyeji kabisa unawasifu kunguru na mwewe wakati kila siku vifaranga vyako vinaliwa. Sasa huyu kipanga wa magogoni atakutafuna siku si nyingi. Kwanini uuandike neno uzalendo ambalo umejionyesha upumbavu wako wa ajabu. Kuwa hata kumvulia pichu magu ni uzalendo! rubbish thinking. Tell this to your fellow birds!!
Wahi shule ya governance haraka hata kama una mvi!Nakupuuza.
Watu wangekuwa wanauliwa hovyo wewe na hiyo jamaa mgelikuwepo?Huo uliouta nonsense. Huku jukwaani ni tofauti na huko mtaani ambako wananchi wamejazwa hofu ya kutongea ukweli, bali kusifia tu.
Muda huu ndio huwa ni muda pekee mtanzania anaonekana sio mjinga!!! Hahahaaa, yaani miaka mitano kasoro jitu liwe jinga, miezi mitatu hii ndio liwe na akili kweli?!!! HaiwezekaniUzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.
Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?
Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?
Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.
Siasa sio chuki na uadui.
Hiki ni kipindi cha uchaguzi. Inatupasa kutumia akili sana.Muda huu ndio huwa ni muda pekee mtanzania anaonekana sio mjinga!!! Hahahaaa, yaani miaka mitano kasoro jitu liwe jinga, miezi mitatu hii ndio liwe na akili kweli?!!! Haiwezekani
Si hadi hizo akili uwe nazo?!!Hiki ni kipindi cha uchaguzi. Inatupasa kutumia akili sana.
Watu wangekuwa wanauliwa hovyo wewe na hiyo jamaa mgelikuwepo?
Mfano gani sasa huu. Maana maiti zilitapakaa na watu wengi walikufa. Hapa Tanzania hamna extrajudicial killings. Wacheni kupotosha .Kwani unadhani kwakuwa vita kuu ya kwanza ya dunia, na ya pili respectively viliua watu wengi, unadhani viliua watu wote?
Wenye akili hawatachagua wasio wazalendo.Si hadi hizo akili uwe nazo?!!
Mkuu, kila mpenda michezo siyo lazima awe ni mchezaji, wengine ni mashabiki tu.Mkuu kama una mawazo mazuri hivi, ni kwanini usianzishe chama chako cha upinzani, ili tuone mfano wa haya unayohubiri? Au ww ni motivational speaker?