Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

Uchaguzi 2020 Watanzania sio wajinga, hawatachagua chama ambacho wafuasi, viongozi na wanachama wake sio wazalendo

Mfano gani sasa huu. Maana maiti zilitapakaa na watu wengi walikufa. Hapa Tanzania hamna extrajudicial killings. Wacheni kupotosha .

Mfano wangu ni mrahisi sana, sio kila ukisikia mauaji lazima watu wote wafe, maana maelezo yako ilikuwa kama kuna mauaji, basi hata mimi nilipaswa kuwa nimeuwawa. Maana hata ukimwi umeua sana, lakini mimi sijafa, na haimaanishi kwakuwa sijafa, basi ukimwi haujaua.
 
Uzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.

Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?

Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?

Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.

Siasa sio chuki na uadui.
Mfano Chama kilichoenda kuzuia fedha za miradi na kujitapa kufanikiwa cha Zitto Kabwe.
 
Uzalendo ni itikadi ya kuweka maslahi ya taifa lako mbele ili liweze kufanikiwa kwa kila namna. Lakini inatia aibu sana CHADEMA na wanachama wake pamoja na wafuasi wake hawana uzalendo kabisa na hawalitakii mema taifa letu.

Kwa mwananchi mzalendo ambae unalitakia mema taifa lako huwezi kubeza mambo ambayo CCM imelifanyia taifa hili tangu tunapata uhuru mpaka sasa. Serikali ya CCM inaimarisha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya na hospital, mnasema eti ni maendeleo ya vitu. Kwani hawatakuja kutibiwa watu?

Serikali ya CCM inajenga mradi wa JNHPP ili taifa lipate umeme mwingi na wa uhakika. Mnasema eti ni Mega structures na hazina manufaa kwa watu. Kwani huo umeme nyie wanaChadema hamtautumia? Tena kwa bei rahisi! Mradi wa Sgr mnasema ni maendeleo ya vitu sio watu. Kwa hiyo hiyo treni hamtaipanda? Hamtasafirishia mizigo yenu?

Kwa ujumla watanzania wameshawajua ninyi ni wapiga dili na chama chenu kipo kimaslahi binafsi. Sio kuwaletea watanzania maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Natoa ushauri tu Oktoba msijaribu kugombea nafasi yoyote maana watanzania hawawataki tena.

Siasa sio chuki na uadui.
Mbw ko ko wewe
 
Tufafanulie mzalendo anakuwaje?

Kujinyenyekeza kwa rais sasa hivi ndio inaonekana uzalendo! Hali hii imesababisha kuwa ngumu kutofautisha kati ya uzalendo na ujinga.
 
Kujinyenyekeza kwa rais sasa hivi ndio inaonekana uzalendo! Hali hii imesababisha kuwa ngumu kutofautisha kati ya uzalendo na ujinga.
Sio kweli. Kundi la watu wasio na mapenzi na taifa lao kwa kila namna kama tindo. Lakini kila siku wanaumbuka.
 
Sio kweli. Kundi la watu wasio na mapenzi na taifa lao kwa kila namna kama tindo. Lakini kila siku wanaumbuka.

Mimi naipenda nchi yangu, tena sio kwa kutaka kujionyesha kwa yoyote. Ila sina mapenzi yoyote na rais huyu na serikali yake fullstop.
 
Mimi naipenda nchi yangu, tena sio kwa kutaka kujionyesha kwa yoyote. Ila sina mapenzi yoyote na rais huyu na serikali yake fullstop.
Kwa mantiki hiyo wewe sio mzalendo. Huwezi kumchukia kiongozi mchapa kazi, asie na uroho wa madaraka na ufisadi. Ambae amefanya maajabu kwa muda mfupi.
 
Kwa mantiki hiyo wewe sio mzalendo. Huwezi kumchukia kiongozi mchapa kazi, asie na uroho wa madaraka na ufisadi. Ambae amefanya maajabu kwa muda mfupi.

Kwenye nchi za kikomunisti ndio kuna tabia ya kumsujudia kiongozi, na kumpa sifa zisizo na kichwa wala miguu. Mimi siamini kwenye siasa za kikomunisti za kuburuzwa na kiongozi, kupitia sifa za kipropaganda. Ww ndio una mitazamo ya kijamaa uchwara ndio maana unamsujudia mtu anayetekeleza sehemu kidogo ya wajibu wake. Kwakuwa una maslahi naye binafsi ndio maana unampamba, ili familia yako iende choo.

Mtu mwenye uroho wa madaraka utamuona kwenye chaguzi za nchi. Toka awamu hii imeingia madarakani, tumeshuhudia chaguzi za kishenzi, kihayawani na ukatili wa wazi. Hivyo uchu wa madaraka kwake uko wazi.
 
Kwenye nchi za kikomunisti ndio kuna tabia ya kumsujudia kiongozi, na kumpa sifa zisizo na kichwa wala miguu. Mimi siamini kwenye siasa za kikomunisti za kuburuzwa na kiongozi, kupitia sifa za kipropaganda. Ww ndio una mitazamo ya kijamaa uchwara ndio maana unamsujudia mtu anayetekeleza sehemu kidogo ya wajibu wake. Kwakuwa una maslahi naye binafsi ndio maana unampamba, ili familia yako iende choo.

Mtu mwenye uroho wa madaraka utamuona kwenye chaguzi za nchi. Toka awamu hii imeingia madarakani, tumeshuhudia chaguzi za kishenzi, kihayawani na ukatili wa wazi. Hivyo uchu wa madaraka kwake uko wazi.
Watanzania wenye machungu na nchi yao(Wazalendo) wanaweza kukupopoa mawe. Jinsi nchi hii ilivyokuwa inatafunwa na leo JPM amesimama kidete na kuleta maendeleo makubwa kwa muda mfupi. Alafu wewe unabeza na kuleta maneno ya kebehi eti anatukuzwa! Watu tunasema kweli nini kinachotokea hapa Tanzania. Hakuna anaemsujudia wala kumtukuza watu wanafurahia anayoyafanya. Najua vyama kama Chadema na wafuasi wake kama wewe lazima mchukie. Maana upigaji dili na ulaji pesa za umma ni wajibu wenu.
 
Je kwa rasilimali tulizonazo tunastahili kua na maisha haya leo?yanayofanywa na chama tawala ni "wema" ama ni wajibu wao?
 
Watanzania wenye machungu na nchi yao(Wazalendo) wanaweza kukupopoa mawe. Jinsi nchi hii ilivyokuwa inatafunwa na leo JPM amesimama kidete na kuleta maendeleo makubwa kwa muda mfupi. Alafu wewe unabeza na kuleta maneno ya kebehi eti anatukuzwa! Watu tunasema kweli nini kinachotokea hapa Tanzania.

Naweza kupigwa mawe kweli, ila sio na wazalendo kwa maana ya wazalendo, bali na nyie wazalendo academia mlioko kwenye mlo ndani ya awamu hii. Ni kweli kuna hatua kadhaa, lakini nyingi ni za double standard na uonevu mkubwa. Wengi wa wanachukuliwa hatua ni wale wanaolipiziwa kisasi, na wasio katika kundi la kusujudia.

Ww ni mmojawapo ya watu mnaongoza kitengo cha propaganda za kusujudia kwa maslahi yenu binafsi, huku mkifumbia macho uhayawani, ukatili na uonevu wa wazi , kwa wale wote wasiopiga goti na kusujudia ufalme wa dunia hii.
 
Naweza kupigwa mawe kweli, ila sio na wazalendo kwa maana ya wazalendo, bali na nyie wazalendo academia mlioko kwenye mlo ndani ya awamu hii. Ni kweli kuna hatua kadhaa, lakini nyingi ni za double standard na uonevu mkubwa. Wengi wa wanachukuliwa hatua ni wale wanaolipiziwa kisasi, na wasio katika kundi la kusujudia.

Ww ni mmojawapo ya watu mnaongoza kitengo cha propaganda za kusujudia kwa maslahi yenu binafsi, huku mkifumbia macho uhayawani, ukatili na uonevu wa wazi , kwa wale wote wasiopiga goti na kusujudia ufalme wa dunia hii.
Tofautisha kati ya propaganda na ukweli. Mimi nazungumzia ukweli halisi. Mfano vituo vya afya na hospital zilizojengwa kwa wingi kwa muda mfupi ni propaganda? Ni ukweli unaohitaji pongezi kubwa.
 
Tofautisha kati ya propaganda na ukweli. Mimi nazungumzia ukweli halisi. Mfano vituo vya afya na hospital zilizojengwa kwa wingi kwa muda mfupi ni propaganda? Ni ukweli unaohitaji pongezi kubwa.

Nilishakuambia hizo hospitali na vituo vya afya, havikujengwa na wazembe wa huko huko ccm siku za nyuma, ila vituo vyote mpaka sasa havijafika 500b. Ni kitu cha ajabu kwa wanaccm wavivu wa kujua mambo, ila sio kwetu wenye uelewa wa mambo. Hakuna uzalendo wowote kwenye hilo, bali ni wajibu wa kawaida kabisa wa kiongozi. Ila kwakuwa mkoa kipropaganda za kikomunisti, ndio mnataka kutoa sifa zisizo na maana yoyote, kibaya zaidi mnataka kila mtu asifie mambo ya kawaida kabisa.
 
Nilishakuambia hizo hospitali na vituo vya afya, havikujengwa na wazembe wa huko huko ccm siku za nyuma, ila vituo vyote mpaka sasa havijafika 500b. Ni kitu cha ajabu kwa wanaccm wavivu wa kujua mambo, ila sio kwetu wenye uelewa wa mambo. Hakuna uzalendo wowote kwenye hilo, bali ni wajibu wa kawaida kabisa wa kiongozi. Ila kwakuwa mkoa kipropaganda za kikomunisti, ndio mnataka kutoa sifa zisizo na maana yoyote, kibaya zaidi mnataka kila mtu asifie mambo ya kawaida kabisa.
Kama mil 360 za ruzuku mmezitafuna na kuzipiga. Hizo bil 500 unazoona ndogo zingesalimika kama mkipewa dola? Wewe unaweza kuona ni jambo dogo lakini mama aliyekuwa anatafuta huduma ya afya km 20 na leo amejengewa kituo cha afya atakuona shetani.
Kuleta maendeleo kwa wananchi yataka kuwa na serikali makini.
 
Kama mil 360 za ruzuku mmezitafuna na kuzipiga. Hizo bil 500 unazoona ndogo zingesalimika kama mkipewa dola? Wewe unaweza kuona ni jambo dogo lakini mama aliyekuwa anatafuta huduma ya afya km 20 na leo amejengewa kituo cha afya atakuona shetani.
Kuleta maendeleo kwa wananchi yataka kuwa na serikali makini.

Chini ya 500b za serikali ndani ya 5 years, ni mtu mwenye uelewa mdogo sana anaweza kutishika. Hao walioshindwa kutekeleza hayo huko nyuma kila siku tulikuwa tunawaambia kuwa wanachekesha. Hao wanaoshindwa kufanya kitu na 300+m, kila siku tunawaambia wanachemsha. Ni wapi umeona nikiwasifu kwa uzembe wa wazi hivyo?
 
Chini ya 500b za serikali ndani ya 5 years, ni mtu mwenye uelewa mdogo sana anaweza kutishika. Hao walioshindwa kutekeleza hayo huko nyuma kila siku tulikuwa tunawaambia kuwa wanachekesha. Hao wanaoshindwa kufanya kitu na 300+m, kila siku tunawaambia wanachemsha. Ni wapi umeona nikiwasifu kwa uzembe wa wazi hivyo?
Kinachomatter ni kuleta maendeleo haijalishi ni kwa gharama gani. Hata kama utumie mil 5. Lakini watu wanaangalia maendeleo.
 
Kinachomatter ni kuleta maendeleo haijalishi ni kwa gharama gani. Hata kama utumie mil 5. Lakini watu wanaangalia maendeleo.

Ni kweli, ila sio kwa huku jukwaani kwa watu wenye uelewa wa mambo. Kwa huko vijijini na kwa watu wenye uelewa duni wa mambo, mnaweza kuchukua maksi, ila sio kwa watu wanaojitambua. Haya machache yanayofanyika sasa, ni mambo madogo yaliyochelewa. Ndio maana tukiona mmeamka sasa na kuanza kunajisi demokrasia eti kisa kuna hospitali za 1.2b@ tunawaona malimbukeni fulani. Kibaya zaidi mnataka kiongozi asujudiwe kwa mambo madogo hivyo. Hapo ndio ninajua bado mna mitazamo ya kichovu ya kikomunisti.
 
Back
Top Bottom