Watanzania sio watu wa kudanganyika tena. Kifo cha Membe ni uthibitisho kuwa sasa hakuna utapeli

Watanzania sio watu wa kudanganyika tena. Kifo cha Membe ni uthibitisho kuwa sasa hakuna utapeli

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri Watanzania? Kumbe akaja kuharibu mpaka waosha magari na wasafisha viatu wakawa mabilionea kwa wizi wa mali za umma.

Nani amesahau Salva Rweyemamu alivyopata ulaji kwa kutumika kutapeli Watanzanzia?

Leo vyombo vya habari vyote vimepamba uzuri wa marehemu Membe. Ila mitaani Watanzania wanajua sio kiuhalisia. Membe yupo na kundi baya linalowaumiza na kuwarudisha nyuma Watanzania.
 
Wanaomsifia ni wanasiasa walionufaika nae moja kwa na sio sababu amelifanyia nini taifa. Hiyo ndio tofauti yao na yetu.

We angalia tu kila anayemsifia Membe atakuambia alinipa hiki, mara alinishauri vile. Sasa wao wanadhani wanamjenga kumbe wanambomoa yeye na wao wanajibomoa.

Wao wanajifocus wao binafsi, sisi tunafocus taifa na nchi yetu.
 
Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri watanzania?...
Kweli kabisa,

Ni Jakaya huyo huyo aliyemuibua Said Lugumi,yule shoe shiner wa pale kijiweni Mwanza hotel na kumpa mzigo wa kupiga pesa za wizara ya mambo ya ndani kupitia jeshi la polisi.
 
Yaani mtu anasema ni ubaya watu kutajirika? Kwa hiyo furaha yake ni kuona watu wakiwa masikini! Nchi hii wachawi ( roho mbaya) wako wengi sana
Utajiri maana yake sio ufisadi wa mali za umma!

Tanzania matajiri ni wachache sana mfano wa kina Bakhressa,lakini tunalo rundown la vibaka wavaa suti
 
Yaani mtu anasema ni ubaya watu kutajirika? Kwa hiyo furaha yake ni kuona watu wakiwa masikini! Nchi hii wachawi ( roho mbaya) wako wengi sana
Bwashee punguza jaziba, utajiri unaoongelwa hapa ni wa pesa halali, utajiri wa kufisadi na kuuza unga huku ukiharibu nguvukazi ya taifa huo siyo utajiri halali. Hakuna mtu anayechukia watu kutajirika, ila katajirikie ndiko kanaleta ukakasi.
 
Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri Watanzania? ...
JK hajawahi haribu popote na hata kesho akigombea hakuna kima wa kumshinda kuanzia CCM Hadi upinzani.
 
Nani amesahau namna Kikwete alivyosafishwa na vyombo vya habari kiasi cha kuaminisha umma kuwa alifaa kuwa kiongozi ambaye atawatumikia vizuri Watanzania? ...
Yaani unaumia waosha magari kutajirika?
 
Back
Top Bottom