Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Basi angalau tuwe na ujasiri wa kukiri hii nchi si ya kidemokrasia. Mbona zipo nchi nyingi tu zina katiba isiyoruhusu mawazo mbadala?

Tatizo la Tanzania ni unafiki unaorutubishwa na ujinga. Mtu unaingia madarakani kwa nguvu ya Katiba na unaapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea.

Unaapa leo, kesho unaanza kusigina huku wananchi wako kimya wanakuangalia tu. What is wrong with us Tanzanians? Tunategemea nini?
Wananchi ni reflection ya viongozi wao.

Hatupo serious na mambo serious.
 
Uharibifu aliotufanyia wa kuanza ujenzi wa reli standard gauge (SGR), na kutujengea bwawa la mwl Nyerere la kufua umeme, kutujengea barabara ya njia 8 (Kimara-Kibaha), Bus stand ya kimataifa pale ubungo, Fly overs kibao huo ni uharibifu mzuri sana!! Tungetamani aendelee kufanya uharibifu huo lakini muumba wake akampenda zaidi na kumchukua!! Tutamuenzi daima kwa "uharibifu" huo!!
Hayo yote ni liability na white elephant projects..

Uliwahi ona wapi ziara ya Rais watu wakasema tunataka sgr,sgr itakutolea Mazao kijijini?

Harafu huyo ni TU vitu minor Sana kuweza kujipiga kifua kwa miaka 5 licha ya Dunia kutokuwa na changamoto za Kiuchumi kama ilivyo sasa..
Hako la daraja la Ubungo kwanza tumepigwa dola mil.100 imejenga Kituko,ukilinganisha na dola mil.94 za wenzetu wamejenga Intachenji haina hata taa popote na inavutia..

Huyo mtu wenu aliharibu uchumi wa Nchi hii na kusabababisha mass unemployment kwenye Taifa.
 
Rais Samia ndani ya moyo wake amebeba nia (dhamira) njema kutafuta suluhisho la mkwamo wa demokrasia hapa nchini kwetu.

Lkn linapokuja suala la kuitekeleza hiyo nia njema (kuwa na katiba bora) atakumbana na vizingiti toka kwa wanaccm wenzake wanaonufaika na uozo wa mifumo (katiba bora) iliyopo.
Tatizo chama sio mali ya Rais ni mali ya Wanaccm so wao ndio wataamua uelekeo wao.
 
Tatizo chama sio mali ya Rais ni mali ya Wanaccm so wao ndio wataamua uelekeo wao.
Na mimi nasema hivi...tatizo nchi si mali ya CCM ni ya Watanzania so wao ndio wataamua uelekeo wao. Yaani watu wapumbavu kama nyie mliojaa unafiki, hamjui mnakoipeleka hii nchi yetu!

The Sunk Cost Fallacy, naomba nikuulize maswali kadhaa...
  • Je unajua Magufuli angekua hai hadi hii leo, makamu wake angeendelea kuwa huyu huyu Rais wa sasa?
  • Je unajua kuwa Kiongozi Mkuu wetu wa sasa hakupigiwa kura na Watanzania kuwa Rasi wao!
  • Je baada ya kifo cha Magufuli ilikuwakuwaje hadi aliyekuwa Makamu wa Rais akawa Rais?
The Sunk Cost Fallacy, kabla hujajibu maswali yangu naomba nikusaidie kidogo...

Tanzania tuna kitu kinaitwa Katiba...nguvu ya Katiba ndiyo ilimwezesha kuwa Rais.

Hebu kwanza sikiliza hiki kiapo...
Swali la nyongeza...kama hii Katiba aliyoapa kuiheshimu, kuitetea na kuilinda kwa makusudi akaamua kuisigina, je tuna tumaini gani huko mbele ya safari?

Kwa nini hadi leo kazuia mikutano ya vyama vya siasa kinyume na matakwa ya Katiba, je ni kwa sababu hataki wananchi wapate mawazo mbadala?

Kama hili jambo dogo tu kashindwa, huo uchaguzi huru ambao unaweza kumuondoa madarakani atauruhusu? Naomba tuwe wa kweli, tuache unafiki.
 
Na mimi nasema hivi...tatizo nchi si mali ya CCM ni ya Watanzania so wao ndio wataamua uelekeo wao. Yaani watu wapumbavu kama nyie mliojaa unafiki, hamjui mnakoipeleka hii nchi yetu!

The Sunk Cost Fallacy, naomba nikuulize maswali kadhaa...
  • Je unajua Magufuli angekua hai hadi hii leo, makamu wake angeendelea kuwa huyu huyu Rais wa sasa?
  • Je unajua kuwa Kiongozi Mkuu wetu wa sasa hakupigiwa kura na Watanzania kuwa Rasi wao!
  • Je baada ya kifo cha Magufuli ilikuwakuwaje hadi aliyekuwa Makamu wa Rais akawa Rais?
The Sunk Cost Fallacy, kabla hujajibu maswali yangu naomba nikusaidie kidogo...

Tanzania tuna kitu kinaitwa Katiba...nguvu ya Katiba ndiyo ilimwezesha kuwa Rais.

Hebu kwanza sikiliza hiki kiapo...
Swali la nyongeza...kama hii Katiba aliyoapa kuiheshimu, kuitetea na kuilinda kwa makusudi akaamua kuisigina, je tuna tumaini gani huko mbele ya safari?

Kwa nini hadi leo kazuia mikutano ya vyama vya siasa kinyume na matakwa ya Katiba, je ni kwa sababu hataki wananchi wapate mawazo mbadala?

Kama hili jambo dogo tu kashindwa, huo uchaguzi huru ambao unaweza kumuondoa madarakani atauruhusu? Naomba tuwe wa kweli, tuache unafiki.
Sawa ila aliyeshika hatamu ni nani? Hao Kenya hawakupata Katiba mezani,kilinuka.
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Salaam zetu kutoka Twitter

View attachment 2320157
Kwa kweli tumevuliwa nguo...
Wachutame wanaccm tu
 
hili fala siku moja nilikutananalo super market mlimani city, limevaa kofia kubwa la ki-cowboy,makobasi na kikaptula cha kaki. ilikuwa ni baada ya mungu wao jiwe kufa.

huwezi amini baada ya macho yangu kugongana ana kwa ana na macho yake, hasira ilinipanda ghafla, nikatamani nivae boom niende nikalikumbatie litulipukie wote tufe.
 
Sawa ila aliyeshika hatamu ni nani? Hao Kenya hawakupata Katiba mezani,kilinuka.
Hivi unayo habari hapa nchini kwetu kumewahi kunuka hadi baadhi ya Watanzania wakawa wakimbizi nchi ya jirani?

Je unajua kiliponuka Tanzania watu wangapi walikufa?

Je unajua kuwa wengi wa hao wakimbizi walitoka huko huko anakotoka Rais huyu wa sasa? Je hata hilo halikuweza kuwa funzo tosha?

Je Rais wa sasa unamtenganishaje na aliyekuwa bosi wake ambaye kama isingekuwa kudra ya Mwenyezi Mungu angeendelea kumtumikia hadi leo?

Uchaguzi wa Kenya zaidi ya kutuvua nguo umeonesha tulivyo wanafiki wakubwa na waongo. Eti hata Kikwete na Mahera wapo Kenya, kufanya nini?

Hebu muache kuwadanganya Watanzania. Ndege wafananao huruka pamoja. Kaniki hata ukiifua kwa OMO bado ni kaniki tu nyie wanafiki wakubwa.
 
Habari za Kirinyaga hazitakufurahisha. Returning officer mpaka Sasa hajatangaza matokeo. Polisi wameingilia kati. Na mbunge mteule kampiga risasi bodyguard wa mpinzani wake huko Kakamega. Ngoja niendelee kuchutuma
Matokeo ya Kirinyaga yamethibitishwa na washindi wa nafasi mbali mbali wametangazwa ila bado tu ya Urais.

Sasa nakuomba uchutame, hakuna cha ajabu kwa kilichotokea Kirinyaga, hiyo ni kasoro ndogo na kwa haraka ilipata ufumbuzi.

Mchuano mkali kama huu tunaoushuhudia kati ya Raila na Ruto huko Kenya, kama ungetokea hapa kwetu, sijui!
 
Matokeo ya Kirinyaga yamethibitishwa na washindi wa nafasi mbali mbali wametangazwa ila bado tu ya Urais.

Sasa nakuomba uchutame, hakuna cha ajabu kwa kilichotokea Kirinyaga, hiyo ni kasoro ndogo na kwa haraka ilipata ufumbuzi.

Mchuano mkali kama huu tunaoushuhudia kati ya Raila na Ruto huko Kenya, kama ungetokea hapa kwetu, sijui!
Naelekea kuchoka kuchutama, Mkuu. Reuters wananilazimisha nitoke mafichoni.
====
RIGGING CLAIM

Late on Thursday, the chairman of Kenyatta's Jubilee party, which has backed Odinga, issued a statement alleging "massive subtle rigging" and claiming the "electoral process was highly compromised" after Ruto's new party made a strong showing in an area traditionally dominated by Kenyatta.

Advertisement · Scroll to continue

The statement alleged voter intimidation, bribery, illegal displaying of campaign materials in polling station, mishandling of party agents and incorrect use of election materials. It provided no evidence and did not explain why the allegations had been made so late. Reuters could not reach party officials for comment.
 
Naendelea kufuatilia uwazi katika majadiliano yanayoendelea nchini Kenya kufuatia zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini humo mapema wiki hii.

Wananchi kwa uhuru kabisa wanatoa maoni yao wakisubiri matokeo rasmi yanayotakiwa yatolewe ndani ya siku saba na Tume yao huru ya uchaguzi, IEBC.

Pamoja na hali kuwa tete, majadiliano hayo yanasaidia kupunguza na kupoza hali ya joto kali, shauku na wasi wasi ambazo haziepukiki katika zoezi muhimu kama hilo.

Nawapongeza Wakenya kwa ukomavu na uelewa wanaouonesha hadi sasa!
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Salaam zetu kutoka Twitter

View attachment 2320157
Kwa kweli tumevuliwa nguo...

Always Kenyan people were very serious for everything they are doing hawafanyi usanii kwenye mambo ya msingi kama tulivyozoea kuona huku kwetu.
 
Matokeo ya Kirinyaga yamethibitishwa na washindi wa nafasi mbali mbali wametangazwa ila bado tu ya Urais.
Ya Urais yametangazwa wajumbe wanne wa tume ya uchaguzi na mipaka ya Kenya wamekataa kuwajibika kwa matokeo hayo. Yaani wamepinga Ruto kutangaza mshindi.

Bado unamukari wa kutulazimisha tuchutame kweli, Mkuu wangu? Na kwa mujibu wa uzi Mmoja humu JF ukiinukuu tv ya citizen nikuwa Ruto anasema hao wajumbe watii amri! Wasitimize wajibu wao wa kikatiba wa kuwa huru kutoa maoni. Hajaapishwa tayari ameanza kukanyaga demokrasia na utawala Bora!!!
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Salaam zetu kutoka Twitter

View attachment 2320157
Kwa kweli tumevuliwa nguo...
Sisi watz wengi ni wajinga hatujitambui kama wako mbali na wanajitambua.sisi tunachezewa tu na maccm.we are really foolish tuwapige chini ccm ili akili ziwasogee na warudi kijiweni
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Salaam zetu kutoka Twitter

View attachment 2320157
Kwa kweli tumevuliwa nguo...

Jivunie nchi yako. Heshima ya Tanzania ni kubwa mno. Sitaki kujadili nchi yoyote jirani au nyingine duniani, ila tambua Tanzania ndiyo yakuigwa.🙏🙏🙏
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Salaam zetu kutoka Twitter

View attachment 2320157
Kwa kweli tumevuliwa nguo...


Unachosifia hapo ni ujinga mtupu! Nadhani upeo wako wa kunywa pombe za kienyeji ndiyo umekufikisha hapo. Sina la nyongeza!
 
Kenya mpaka wamefikia hapo walichapana na damu ikamwagika, naomba sisi tusipitie njia kama hiyo ila kuna mijitu inatulazimisha kufika uko kwa wizi wao wa kura

Labda utafika huko wewe, mke wako na watoto wako mkiwa mnaenda mnachapana na kujamba njiani!
 
Back
Top Bottom