Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Jivunie nchi yako. Heshima ya Tanzania ni kubwa mno. Sitaki kujadili nchi yoyote jirani au nyingine duniani, ila tambua Tanzania ndiyo yakuigwa.[emoji120][emoji120][emoji120]
Tunajivunia nchi yetu Tanzania Sana Ila kuna mambo itapaswa kujifunza Kwa wenzetu.
Kuna mambo wenzetu wanajifunza kwetu ila Hili la uchaguzi huru na haki tunapaswa kujifunza Kwa nchi za wenzetu ili siku moja tuwe na uchaguzi huru na haki Kwa uhalisia.


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…