digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Iti kudu bi mama mutumbuaji kaongoza njia
Best, tumuombee mema tu. Siasa zisitutoe utu.
Jiweke kwenye nafasi ya mhusika.
Umekaa mahali umetulia kuyasoma yote yanayoelekezwa kwako, kama haya yanayowekwa JF.
Je, yatakusaidia kujitafakari na kujaribu kufanya tofauti na vile ulivyokuwa ukifanya kabla?
'Obviously', si rahisi kubadili tabia, lakini unaweza kuweka juhudi kurekebisha mengine kwa utashi wa moyo.
Kuna mazito yanaendelea yanatisha mzee
Hayaelezeki elewa hivyo
Hizi siku chache watu wenye roho mbaya na chuki iliopitiliza wanajidhihirisha
Nawaombeni jamani msishangilie sana hii ishu ni mtego mmoja mkubwa sana umetegwa
Mtanishukuru baadae !
Bado weweMwanga wa JF akiwa kazini JF !
Nani anaumwa?Ktk wanawake niliokuwa nawaheshim humu ni pamoja nawewe,ila ktk hili swala naona unajitoa akili sijui kwanini! Hivi unawezaje kufurahiya matatizo ya mtu mwengine? Tena yaugonjwa?
Afe tu
mbona Past tense, tena[emoji848]Pamoja na kwamba alikua kiongozi wa nchi pia ni baba na ana familia iliyokua inampenda,muwe mnawafikiria hao hawajawakosea lolote [emoji22]
Eti MATAGA ndio nini au nani?
Utu unauzungumzia.Best, tumuombee mema tu. Siasa zisitutoe utu.
Mkuu wadudu hurudishwa? Upinzani ni Second class citizen.Turudishie mwili wa Ben Saanane
Mimi jana nilipiga lager baada ya miezi sita