Kioo cha MTU ni watu usema nn juu yako.KESHO MTAWEKA WAPI NYUSO ZENU MZEE BABA AKIHUTUBIA MKUTANO NYETI PALE IKULU
You cant be serious,amekufa kweli?Hongera yake maana anaweza kuwa mtanzania wa kwanza kama si binadamu wa kwanza kuteuliwa kuwa kiongozi wa malaikaKila mtu atavuna apandacho, tusilazimishane kutaka mavuno mema kwenye pando la mtu, lets be serious in harvesting time!!!View attachment 1238901
HahahahaaaaaaaahSijamchulia mtu hapa mwenyewe niko mochwari
Najiuliza tu, je waliopewa adhabu na chizi ni sahihi kuitekeleza adhabu hiyo? Nawaza tu.Kuna mzee mmoja namheshimu sana anasema dalili za awali za mtu kuugua ule ugonjwa wa kupelekwa Dodoma ni eitha kuwa mpole kupita kiasi na kujitenga au MTU kuwa mkali sana na kutukana hadharani au hata jukwaani msivyotegemea.
Sasa kikipanda ni kumtia kamba na kumpa madawa wakati mwingine ya kulala usingizi siku mbili nzima.
Huyu mzee anasema MTU huyo akizinduka basi atajulikana apelekwe Dodoma au atangazwe "huyu sasa basi dish limecheza"
Mimi nilimuelewa wewe jee?
Natabiri chadema watachukua nchi kiulaini,Tundu Lissu rudi nyumbani hali iko shwari sasa ππΊπΎ
Ukweli tupu tuna muda mrefu bendera haijakaa nusu mlingotiKama vp adanji tu kaumiza sanawatu huyo mtu so vyovyote freshi,kama mzima ajifunxe kuishi na watu na aache roho mbaya sabb saiv watu walikua wanatakiwa kumuombea ila sababu ya tabia zake watu wanamuombea adanji.Au wako busy kutafuta Body Double hawashindwi!
Mtafanywaje?Nyie mnao ombea mabaya mpo Nje,tutakao teseka kama sio kweli ni sisi wa Mbagala.
Watu wanaoishi miserable life huwa wanafurahia au kuombea wenzao mabayaAsubuhi yote hii hata breakfast hujapata unahangaika na Mh. Rais, kwanini usiache tu Mungu ndio anajua maisha yako na yake, una matatizo gani ww
Nani ana muda wa kupoteza, tulimwombea lisu tu. Hiyo wacha apambane na Israeli wakeYaani nimeshangaa na comments za humu.kama rais yupo ICU tumuombee apone haraka
Mheshimiwa sana maana akiondoka hakuna mwingine wanayoweza kufanya lolote zaidi ya wizi na upigajiAcha uchuro we mganga.
Kwani nani hataugua maisha yale yote?
Kwani nani ataishi milele na hatakufa?
Hahaaa. Ngurumo amenikumbusha mshairi mmoja (rapper) wa Harlem New York City akiitwa "Big L".Hilo la 2 ni 100% trueView attachment 1238908
Mungu ampende zaidi ili atimize ndoto yake ya kuongoza malaikaTwende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Dunia inamilikiwa na Mungu na wote ni wana wa Mungu kupewa ridhaa ya kuendesha gari sio haki ya kuwaumiza wengine.Waliomuombea kifo Lowasa walitangulia wao Lowasa huyo anadunda hata kesho,waliomtaka Lisu atangulie watatangulia wao wakimuacha Lisu akidunda.Tumepewa nafasi tutende mema tumuabudu Mungu tukiwa viongozi tufanyike baraka kwa watu na sio laana kwa watu.Dunia tunapita kwann tuwalize tuwaumize wengine?Apandacho MTU ndicho atakachovuna.KESHO MTAWEKA WAPI NYUSO ZENU MZEE BABA AKIHUTUBIA MKUTANO NYETI PALE IKULU
Nyie mnao ombea mabaya mpo Nje,tutakao teseka kama sio kweli ni sisi wa Mbagala.
ITAKUWA KICHAAAAAKuna mzee mmoja namheshimu sana anasema dalili za awali za mtu kuugua ule ugonjwa wa kupelekwa Dodoma ni eitha kuwa mpole kupita kiasi na kujitenga au MTU kuwa mkali sana na kutukana hadharani au hata jukwaani msivyotegemea.
Sasa kikipanda ni kumtia kamba na kumpa madawa wakati mwingine ya kulala usingizi siku mbili nzima.
Huyu mzee anasema MTU huyo akizinduka basi atajulikana apelekwe Dodoma au atangazwe "huyu sasa basi dish limecheza"
Mimi nilimuelewa wewe jee?