Jacobo Zuma
Senior Member
- May 26, 2019
- 124
- 101
Yani binaadamu hasa tuna hadaliwa na pumzi kwani hujui kama sote tutakufa na kiburi tulichonacho hakina maanaWatu wanaoishi miserable life huwa wanafurahia au kuombea wenzao mabaya
Kumbe wazee wa ruangwa walipeleka moshi bila uwepo wa motoView attachment 1238923
leta mrejesho wa vital signsYes he is sick,ila vital signs zipo Ngangari.
Kwahiyo unamainisha hao waliomtangulia yy wote walikua mafisadiKila mtanzania ana wajibu wa kumlinda kwa kuikomboa Tz kutoka kwenye makucha ya mafisadi. Mwenyezi Mungu mlinde raisi wetu .
Hii ni ya lini tena?Kumbe wazee wa ruangwa walipeleka moshi bila uwepo wa moto
View attachment 1238923
God forbid!Huyu kigogo mbona ana confidence sana.. Inawezekana jamaa kakata moto kweli
Kachukue buku 7Naamini JPM Ni Mzima wa afya tele.Ila Kuna ishu kubwa inakuja karibuni.Ishu za wahujumu uchumi.Ishu ya Seth na Rugemarila siyo ndogo lazima mtu aingie katika mfungo na tafakari kubwa.Kuna mazito yanakuja.Jiwe anakuja na maamuzi magumu.Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe
Maadui wakubwa wa JPM wapo ndani ya chama chake,huku nje wapo wapiga kelele tu wasio na madharaBinafsi namuombea Mh. Raisi. Katika kazi yake lazima maadui watakuwepo na wasiopenda ufanisi watakuwepo tu. Lazima atakuwa amefanya makosa(kama binadamu mwingine), kama ni mgonjwa namuombea speedy recovery.
Hakuna mwenye uhakika na Jambo lolote imekuwa Ni umbeya umbeya tu.Hamna hata mmoja anaongea kitu kinaeleweka Kila mtu anapayuka tu Kama mlevi.Ni just guessworkHaya
Kachukue buku 7