namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Hata LAP TOP ya DPP alisema na ikapigwaPia habari za kutumbuliwa kwa Kpilimba alizisema siku kabla na ikatokea. Hata hivyo kuna vingi anavisema havitokeo kama Mama Samia kukamatwa, hata hili nina wasiwasi nalo sana. Au inawezekana kweli ameumwa ila sio kwa kiasi hiki cha kukaribia kukata roho
Kuwa mchaga sio dhambi mkuu karibu uchaganisijawahi kuwa mchaga, na kweli wengi humu wanadhani mimi ni mchaga kwa vile naside na CDM katika kutetea haki....
Hivi hao ndio wakara?Sikuwa najua kuwa wajita na wakurya ni makabila la maana! yana umaana gani? Wajita? Wakurya?
wanaodai hivyo ni Lumumba! Wala CDM siyo ya wachaga ni ya woteKuwa mchaga sio dhambi mkuu karibu uchagani
We hayo umeyajuaje wakati wewe uko kitengo cha kuteka na uuaji?Yupo chumba cha siri akitoka watu fulani kaz hakuna...... Ila ni zaid ya tuwazavyo
Meko ni naniKigogo ana mengi, Leo kaamka vibaya.View attachment 1237176
Tuache siasa za chuki na roho mbaya Watanzania wenzangu, siasa zisitufanye tukapoteza utu na uzalendo
Huyu kwa uandfishi wake ana tabia za kike. Halafu anajifanyaga uber intellectual lkn utaona hana lolote zaidi ya kuwa mahiri kwenye vijembe. Overrated, and worse yet, the brief popularity he's apparently enjoying has now gone to his head aka ego.Anamaanisha nini huyu ndugu na haya mafumbo yake, hata Zitto nae simwelewi leo kapost picha ya mama Samia, sijui hata
View attachment 1237147View attachment 1237148
Kama una ushahidi peleka kituo cha polisi kilicho karibu nawe.je,kumpiga risasi tundu lissu,ni roho gani hiyo
KabisaaaaYaani ni kama page ya udaku
Huu upepo wa kisulisuli ni hatari sana
Mapicha pichailiishia mkuranga
Ya wote wapi? Mbona mbowe haachi kiti kama ni ya wotewanaodai hivyo ni Lumumba! Wala CDM siyo ya wachaga ni ya wote
Itakuwa Janet mjamzito.
Kufanyaje?halafu zesh, ndio nini sasa