Mkuu haujui Kuna binadamu wanamtindio wa ubongoMimi mwenyewe Mkristo na tunakesha tukiomba ila sio uku mitandaoni kama ufanyavyo ww. Amin nakwambia mheshimiwa Rais atapona lakini sio kwa maombi yako ww mnafiki wa uku mitandaoni kutwa upo mtandaoni unamuombea saa ngapi au unahisi unavyo andika hapa ndio maombi hayo.?
Uzi mzima umejaa maneno "natamani kulia". Sijaelewa umeandika nini mkuu.
Kaka yangu ZITTO KABWE upoooooooooooooo!!
Hatimaye ametumwa kutibiwa ujerumani nayeye sioEti anamualiko ujerumani.. 😂😂😂😂😂
Kama magufuli haumwi kwanini asijitokeze.?Ansbert Ngurumo,Evarist Chahali,Zitto Kabwe,anayejiita Kigogo2014,Anayejiita Mcomoro no unataka Nani mwingine
kwel watu wengine hawafikilii mbali mbali akili zao ni nyepesi za kufukilia dadika mbili tu, tujifunze kwa mataifa mengine jaman.Mnaosema nchi ina chuki,hivi chuki mnayosema itakapofika nadhani watu tutaftana,nadhani mnaotamka kuhusu chuki,mnaitaka,kwani mlinenalo ndilo mnalopewa.
Chuki zipo nchi za Somalia,DRC Congo,Libya na nyinginezo ambazo kila kukicha kunasikika milio ya risasi na mabomu,hivyo raia hawawezi hata kupata usingizi.
Wewe ambaye unauhakika wakulala bila wasiwasi,ukaenda mahali popote ukarudi nyumbani usiku wa manane kwa usalama kabisa bado unasema nchi ina chuki kweli umefikiri sawasawa?
Nchi ipo salama kabisaa
AiseeeeQoute frm doctor
"Heart attack survival rate is only 06% km ikimpata mtu nje ya hospital"