Yeye kapambana na ufisadi UPI hapa donor country?
Nipo api mahakama ya mafisadi?I wapi Katiba ya wananchi ambayo ingemsaidia sana kutengeneza mifumo mafhubuti ya kulinusuru Taiga dhidi ya ufisadi/mafisadi?
Anaonekana kuwa anacheza tayari bado hadi sasa.
Matumaini pekee ni kuhakikisha tunahuisha mchakato wa katiba ya Jaji Warioba.
Kwanza kabisa yeye hakuahidi katiba mpya, yeye kwanza anapambana na umaskini, na kuhakikisha elimu elimu elimu kwa watoto wote, umeme kila kijiji na mengine mengi.
Mafisadi wamebanwa wanarejesha hela, cha msingi matokeo ndio muhimu.