Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kuna whatsapp zinasambaa zinasema kuwa, habari za JPM kuwa amefariki si za kweli bali alipata heart attack na amekimbizwa Dar na helicopter ya jeshi then Afrika Kusini then Germany...

Huo ujumbe unaonesha umetoka kwa Vicky Emmanuel Nchimbi, sifahamu ukweli wake na unaambatana na ujumbe wa kigogo unaosema "wanangoja nini kumpa kimeo mama Samia"?

Sina uwezo wa kuapandisha hapa.

Na mwingine unasema...

There have been reports of men suffering heart attacks or chest pain after taking the popular drug V.
Kupitia Acount ya Emmanuel Nchimbi ya Facebook , amekanusha kumfahamu Vicky Emmanuel Nchimbi na kumkana si mtoto wake na wala hamfaham
 
Wale mnaomuombea Rais wetu mpendwa mabaya yampate ujumbe wenu huu hapa chini. Tena hasa wale mnaolitumia neno la menemene nk. Pia wale mnaotamani kusikia habari mbaya. Basi zikatokee kwenye familia zenu kwa wapendwa wenu kama Mungu wa Israel aishivyo. Mungu wetu ni MOTO ULAO.

Zaburi 118:13
Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini BWANA akanisaidia.

Zaburi 27:12
Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi.

Jihadhari sana kumuwazia mtu mwingine na kumnenea mabaya kwani yatakurudia mwenyewe ×7!!!

Hebu soma Zaburi hizi hapa chini:-
Zaburi 17; Zaburi 35;
Zaburi 54; Zaburi 63; Zaburi 109

Ujumbe kwako Rais Magufuli. Usivunjike moyo.. Kumbuka maneno ya mtangulizi wako Rais Nyerere juu ya vita uliyoamua kuingia vita hii ya uchumi. Wapo WAPUMBAVU yaani watetezi wa mabeberu na wana kelele nyingi. Mwachie Mungu azime kelele zao.

Fahamu kuwa wapo WENYE HAKI WENGI TU WANAKUOMBEA. Usichoshwe na kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

Wafilipi 1:6
Basi, nina hakika kwamba Mungu aliyeanza kazi hii njema ndani yako Rais Magufuli, ataiendeleza mpaka ikamilike katika siku ile ya Kristo Yesu.
Amen.

Queen Esther

Did you say this when Lissu was gunned down?

You didn’t!

So stop this hypocrisy!

Drink your koolaid!

Afweeeeeeeeeeeeeeeee
 
Apone arudi kupambana nawahuni hawa ila kisheria sio anavoendesha taratibu...anakua kama hana uhakika kushinda mahakamani bwana
 
Usije kufuta Tu Huu Uzi Maanaa Naona unavyotetemeka Huko Nyuma ya Keyboard baada ya Kusikia Mme wenu jiwe kaenda Kutibiwa kwa Mabeberu
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Mtatema tu NDOANO.
 
Ndg sometimes tumia akili yako ku reason jinsi mambo yanavyokwenda hapa Duniani usikariri sana vitabu vya dini vitakupoteza maana vingine vimetungwa na wajanja kwa maslai yao binafsi!!

Ninatumia akili yangu kuliko unavyoweza kufikiria. Mimi huwa siamini jambo bila kufanya references (both for and against). Kila kitabu cha dini kimenyiwa scrutiny, vilivyotungwa na watu vinajulikana. Simuabudu mwanadamu mimi bali Mungu Jehovah.
 
Rais JPM anatakiwa awe anapumzika, Watu wanao ratibu kazizake wanatakiwa wahakikishe anafuata ratiba. Rais anatakiwa afahamu taifa ili baadhi waliomba na kufunga ili apatikane Rais wa Kariba yake.
Mungu alisikia kilio cha watanzania ndiomaana alipata kibali cha kutuhudumia watanzania kwaiyo anatakiwa afahamishwe iikazi ya kulikomboa Taifa ni ngumu anahitajika awe anapumzika. Tunajua kuumwa ni sehemu ya maisha ya binadamu ila kufanya kazi kupita kiasi kutamletea shida yeye na taifa kwa ujumla.
Mkuu, hata mimi nawalaumu sana hao wanao ratibu kazi zake. Iweje wanampangia Rais ziara ndefuu weee, tena za huko mikoani bila hata kupumzika. Kwani siku si zipo tu, akitembelea mkoa mmoja au miwili then akapumzika si ni sawa. Na huko mikoani akitembelea wilaya moja si ni sawa tu. Kwani anafanya research au survey kusema lazima sampling iwe scientific? Hao wasaidizi wake wajitahidi kumratibia vizuri Rais wetu mpendwa maana bado tunamhitaji. GOD with you Mr. President.
 
Kuna hii cjui kweli
IMG-20191020-WA0006.jpeg
 
mzee, labda huwajui watanzania vizuri, hujui akili za Watanzania kabisa, kama viongozi wa Upinzani wanafurahia live Rais kufariki, mnawarahisishia sana kazi CCM. Hata wakiuwa na kuteka nadhani wananchi wengi watakuwa wanashangilia

Narudia tena, hao watanzania wajinga hatuna muda nao, hao wenye uelewa mpana wanatutosha wapinzani. Tunahitaji box la kura tu liheshimiwe. Wapinzani hatujawahi kujivunia watu wajinga ili tuwaburuze, bali tunahitaji watu wenye uelewa tuisogeze nchi mbele, na sio kundi kubwa la wajinga wa kutoa madaraka kwa kufuata mkumbo.
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Damu ya sanane inakutafuna
 
Ni kama utamaduni au siasa ya aina fulani iliyozoeleka kila siku takatifu ya Jumapili kuona taarifa za wapi Rais wetu mpendwa ameswali, lengo kubwa huenda lilikuwa kututaarifu juu ya uimara wa Rais wetu katika maswala ya imani yake au kutaka kutuonyesha kuwa Rais ni mtu wa Mungu kwelikweli na kila kitu anachofanya basi anaongozwa na Mungu na yeye ndio muongozo wake.
Sasa tunataka kujua leo kaswali wapi na je nyinyi waumini kuna mtu kaswali naye huko?
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Kutokana na maandiko matakatifu, kutumia maneno ya milango ya kuzimu haimuwezi mtu pasipo uwezo kimungu si sahihi. Pamoja na nia yako njema juu ya afya ya Rais wetu, ni vyema kuepuka kutumia maneno ambayo yanagusa karama na uwezo wa Mungu.
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Kigogo amesemaje?
 
Toka meja ya watu wanaovaa suti nyeusi ni kuwa alipata mshituko wa moyo, akakimbizwa Muhimbili, then ikawa fedheha akapelekwa kwa Madiba then kwa mabeberu ujerumani aliko patiwa matibabu ya mwanzo kabisa.

Kwa sasa anaendelea (haijulikani vizuri au vibaya) ila yuko Ujerumani kwa matibabu ya moyo
 
Sikutegemea kabisa mtu kama Zitto kushabikia vitu kama hivi. Kweli mtu anayefikiria hata kuwa Rais! Enzi zile kuna vitu tuliona labda ni ujana/utoto lakini sasa anazidi kututia shaka wengine.
Hata mimi amenishangaza sana Zitto ! Ni kama anafurahia !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom