Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.
.

Ona unavyojinyeanyea,muda ukifika mtakosa cha kuongea mjue.

Ndio shida ya hiki chama kimerecruit vilaza wengi km ww basi ni full kuvurugavuruga
 
Kwani ungesema hujui chochote kuhusu yasemwayo ungepungukiwa nini? Kama lengo lako lilikuwa kutuhabarisha ukweli ungesema kilichomtokea huko masasi ni jinsi gani wakimnasua kwenye hiyo hatar, kama wewe huruhusiwi kusema mengi basi hata haya machache huruhusiwi pia.
Kaa kimya na ikibidi muambie Wazir wa Viwanda na mwenzake wa Kilimo walipe hela za korosho mapema mno kabla Mungu hajashusha gharika zaid.
Ogopeni dua ya mtu aliyedhulumiwa sana hiyo Mungu anaipokea moja kwa moja, na kama mko karibu na Rais mwambieni aache dharau na maisha ya watu kwa kisingizio cha kuchapa kazi, mioyo ya watu inavuja damu kwa huzuni ila yeye ni kujisifu tu na matusi hadharani.
 
Hapa unaposema unatamani kulia ndio shida inapofufua shida nyingine maana binadamu hawezi tamani kulia hovyohovyo hasa kwa mtu mzima mpaka aseme anatamani kulia
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
 
Alitutukana Watanzania wenzake pamoja na waziri wetu wa Maji matusi makubwa hadharani,hata kama kulikuwa na tatizo,siyo ustaarabu na ni kinyume cha sheria kutumia lugha kama zile even the President himself he isn't allowed to.
Kuna mtu kakuambia huyu jamaa ni mstaarabu? Na toka lini anajua thamani ya utu
 
Tunasubiri siku ya kumpokea Tundu Lissu Airport bila mawaa wala mikwaruzo.

Amesema hawezi kurudi Tanzania, nia yake ya kuonekana onekana Marekani na kuichafua Tanzania imefanikiwa kwa 100%.
 
Sisi wanakomba band tushaanza kutunga nyimbo wewe unaleta habari za 2020 labda kivuli chake.
 
Kwa bahati mbaya hakuna mjinga wa kuamini hizo propaganda za kitoto, eti wapinzani wanashirikiana na mabeberu kutekeleza huo ujinga. Na kama kuna mwananchi anayeamini hizo propaganda mfu, abaki huko huko kwenye giza hatumlazimishi kutoka huko gizani. Napenda ufahamu wananchi wengi wa sasa wameshamka na walishatoka kwenye hizo porojo za mabeberu, nadhani kiongozi wetu wa sasa na timu yake ni watu wanaoishi kwa mitazamo ya karne iliyopita, ndio maana hata propaganda zao ni hizo outdated.
mzee, labda huwajui watanzania vizuri, hujui akili za Watanzania kabisa, kama viongozi wa Upinzani wanafurahia live Rais kufariki, mnawarahisishia sana kazi CCM. Hata wakiuwa na kuteka nadhani wananchi wengi watakuwa wanashangilia
 
Hakuna aliye na hakika juu ya uvumi huu lakini so jambo la kawaida kwa serikali kuwa kimya mpaka mudaa huu , ni kwa asilimia nyingi yawezekana kweli mh hayupo katika hali yake ya kawaida
Na Kama ikiwa ni hivyo tunavyo dhani ndivyo basi tukio na utu pia kuguswa kwa namna moja au nyingine tumuuombee M/Mungu amnusuru na kila baya

Ameni

Afweeeeeeeeee
 
Hatia ya haya maneno na iwe juu yako mwenyewe.
Ndg sometimes tumia akili yako ku reason jinsi mambo yanavyokwenda hapa Duniani usikariri sana vitabu vya dini vitakupoteza maana vingine vimetungwa na wajanja kwa maslai yao binafsi!!
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Mmmh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom