Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Naona SREDI imekosa wachangiaji...hakika huyu ni kipenzi chetu, get well soon Jey

 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Betri imechomoka
 
Naam, huu ndio uungwana. Inapendeza sana pale viongozi wa kitaifa wanapojitokeza kulizungumzia hili soga linaloleta mtafaruku na taharuki kwenye jamii yetu iliyojaa huruma na upendo
 
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
Huyo sii ni yule wa kikosi cha kudhuru watu? Ni kada ya chini mwisho ndani ya kitengo kwani kinafanyishwa kazi isiyo ya utu ya kuangamiza wengine na hawapaswi kuuliza kwa nini kwani wana swagwa kama ming'ombe tuu.
Haya mengine hana ajualo kama siye tuu. Asitubabaishe.
 
Naona unataka kunikaanga. Mimi nimeandika neno la kiphyziolojia Bradycardia. Wewe unaliletea details ili watu waelewe. Ungeacha hivyo hivyo.
Sasa hii ni public forum kwa faida ya wengi,
Ungetaka tusielewe ungemfata PM.
 
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
hii ndo shida ya kuishi kwa shemeji,dada kafanya kazi yake kwa umakini chumbani anakupikia chai unapata nguvu ya kuandika upupu hapa
 
Ni busara kuwa na akiba ya maneno katika jambo lolote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom