Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Naona SREDI imekosa wachangiaji...hakika huyu ni kipenzi chetu, get well soon Jey
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betri imechomokaAcheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.
Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.
Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.
Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.
Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.
Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Huyo sii ni yule wa kikosi cha kudhuru watu? Ni kada ya chini mwisho ndani ya kitengo kwani kinafanyishwa kazi isiyo ya utu ya kuangamiza wengine na hawapaswi kuuliza kwa nini kwani wana swagwa kama ming'ombe tuu.
Haya mengine hana ajualo kama siye tuu. Asitubabaishe.
Na ww leo umekuja na habar za kusikia mkongwe?
Sasa hii ni public forum kwa faida ya wengi,Naona unataka kunikaanga. Mimi nimeandika neno la kiphyziolojia Bradycardia. Wewe unaliletea details ili watu waelewe. Ungeacha hivyo hivyo.
Wacha nikae kimya kwanza nikiingea hapa nitazua mengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nilimanishaa wakikujib unitag na mm nieleweeMbona unacomplicate mambo sana twende moja kwa moja kwenye kunijibu
hii ndo shida ya kuishi kwa shemeji,dada kafanya kazi yake kwa umakini chumbani anakupikia chai unapata nguvu ya kuandika upupu hapa
Ukiona mtu analipenda gari bovu basi ujue kuna mzigo wake ndani ya gari!
Mkuu ndo mida ya kutoka church au