Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mkuu huyu tegemea record ya vyote either awamu Moja tuNiliwahi kumwambia mshkaji mmoja kuwa huyu anaweza kuvunja rekodi za wenzake waliopita kwa kukalia kiti awamu moja ss km ni kweli naona mkeka wangu unaelekea kutiki.
Mbadala utapatikana mapema mno na unaweza kuwa bora kuliko kawaida na somo ni atakayekuwa ameng'atuka.
Kweli upumbavu wako hauna gharamaKama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.
Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.
Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.
Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Shisho shisho.
Na wagamboshi walifanya nini? Usitubambikie maombi ya GamboshiRais JPM anatakiwa awe anapumzika, Watu wanao ratibu kazizake wanatakiwa wahakikishe anafuata ratiba. Rais anatakiwa afahamu taifa ili baadhi waliomba na kufunga ili apatikane Rais wa Kariba yake.
Mungu alisikia kilio cha watanzania ndiomaana alipata kibali cha kutuhudumia watanzania kwaiyo anatakiwa afahamishwe iikazi ya kulikomboa Taifa ni ngumu anahitajika awe anapumzika. Tunajua kuumwa ni sehemu ya maisha ya binadamu ila kufanya kazi kupita kiasi kutamletea shida yeye na taifa kwa ujumla.
Yupo wapi kwani? Maana me sielewi kinachoendeleaMh. Rais atarudi kwa kishindo zaidi, Watanzania wengi tuko na imani nae kwa miaka mingine 6 iliyobaki..
Mungu Mubariki Mh. JPM..
Mungu ibariki Tanzania, Amen...
Yesu Kristo mbona alisha sepa kitambo sana sisi ambao bado tuko hai ndiyo mpaka sasa tumeishinda hiyo milango ya kuzimu!!
Poleni kwa kubaki wakiwa.Hii imedhihirisha kuwa Raisi John Joseph Pombe Magufuli ni kipenzi cha watanzania yeye anawapenda na wao wanampenda baada ya Raisi wa watanzania kujichimbia ikulu kama kawaida yake,
Watanzania wameanza kuwa na hamu naye wanahisi kukosa kusikia sauti ni kama kupoteza ala nzuri masikioni mwao,
Ni hakika 2020 Magufuli atachukua nchi kweupe saa asubuhi kwa mahaba wanayoyaonyesha!
Magufuli habagui watu kwa vyama wala dini wote anawapa maendeleo!
Pamoja ya kuwa simkubali jamaa, namuombea sana. Kuna vitu anafanya vinanikosha, na vingine vinanichefua
Alesata gete,dulinekela Mulungu.Watweganga kuwelelo?
Daaah umenisaidia sana maana nilijaribu kutafuta senteso ya kumuelimisha huyu semi ilitileti nikashindwaUlichoandika mwalimu wako akisoma anaweza kujiua.
Aiseeeee.....