Wale mnaomuombea Rais wetu mpendwa mabaya yampate ujumbe wenu huu hapa chini. Tena hasa wale mnaolitumia neno la menemene nk. Pia wale mnaotamani kusikia habari mbaya. Basi zikatokee kwenye familia zenu kwa wapendwa wenu kama Mungu wa Israel aishivyo. Mungu wetu ni MOTO ULAO.
Zaburi 118:13
Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini BWANA akanisaidia.
Zaburi 27:12
Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi.
Jihadhari sana kumuwazia mtu mwingine na kumnenea mabaya kwani yatakurudia mwenyewe ×7!!!
Hebu soma Zaburi hizi hapa chini:-
Zaburi 17; Zaburi 35;
Zaburi 54; Zaburi 63; Zaburi 109
Ujumbe kwako Rais Magufuli. Usivunjike moyo.. Kumbuka maneno ya mtangulizi wako Rais Nyerere juu ya vita uliyoamua kuingia vita hii ya uchumi. Wapo WAPUMBAVU yaani watetezi wa mabeberu na wana kelele nyingi. Mwachie Mungu azime kelele zao.
Fahamu kuwa wapo WENYE HAKI WENGI TU WANAKUOMBEA. Usichoshwe na kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Wafilipi 1:6
Basi, nina hakika kwamba Mungu aliyeanza kazi hii njema ndani yako Rais Magufuli, ataiendeleza mpaka ikamilike katika siku ile ya Kristo Yesu.
Amen.
Queen Esther