Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Yeye kapambana na ufisadi UPI hapa donor country?
Nipo api mahakama ya mafisadi?I wapi Katiba ya wananchi ambayo ingemsaidia sana kutengeneza mifumo mafhubuti ya kulinusuru Taiga dhidi ya ufisadi/mafisadi?
Anaonekana kuwa anacheza tayari bado hadi sasa.
Matumaini pekee ni kuhakikisha tunahuisha mchakato wa katiba ya Jaji Warioba.

Kwanza kabisa yeye hakuahidi katiba mpya, yeye kwanza anapambana na umaskini, na kuhakikisha elimu elimu elimu kwa watoto wote, umeme kila kijiji na mengine mengi.
Mafisadi wamebanwa wanarejesha hela, cha msingi matokeo ndio muhimu.
 
Mimi nasema hao unaoita watumishi ni wapumbavu kupoteza nguvu zao kuombea kitu ambacho hakipo.

Nachokiona mimi hapa mtandaoni ni waTz wengi wanahamu ya msiba wa kitaifa. Labda zile swaga za kujionesha wanahuzuni ndani ya miwani mweusi mawezimisi
 
Mnaosema nchi ina chuki,hivi chuki mnayosema itakapofika nadhani watu tutaftana,nadhani mnaotamka kuhusu chuki,mnaitaka,kwani mlinenalo ndilo mnalopewa.

Chuki zipo nchi za Somalia,DRC Congo,Libya na nyinginezo ambazo kila kukicha kunasikika milio ya risasi na mabomu,hivyo raia hawawezi hata kupata usingizi.

Wewe ambaye unauhakika wakulala bila wasiwasi,ukaenda mahali popote ukarudi nyumbani usiku wa manane kwa usalama kabisa bado unasema nchi ina chuki kweli umefikiri sawasawa?

Nchi ipo salama kabisaa
 
Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Haiwezekani kuitisha tu kikao cha baraza la Mawaziri eti Bwana mkubwa ameugua ghafla. Kikao hiki hakiitishwi hovyo eti kijadili afya ya mtu. Nadhani kuna kubwa zaidi ya hili.

Sasa nikiangalia viongozi wawili wa juu, kuna uwezekano mmoja wao kumrithi bwana mkubwa kwa kipindi cha mwaka moja uliobaki. Je wasawahili wanarudi tena ktk siasa zetu!

Let us wait the truth na muda utaongea.
Tatizo la nchi yetu imelelewa ktk misingi ya kijamaa, ambayo ndani ya mifumo yake kuna usiri uliokithiri. Rais wetu anatambulika kabisa imani yake ya kidini. Kitendo cha kuficha kuhusu lililotokea juu ya afya yake akiwa ziarani kikazi ktk mikoa ya kusini, kimekosesha fursa ya kumuombea ktk siku hii ambapo makanisa mengi ya Kikristo hukusanya waumini wao kwa ajili ya ibada. Maombi na ibada ni vitu vya maana sana kwa waumini.
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Kwa ujinga wako unamuona jiwe kama immortal, wait and see
 
Mimi mwenyewe Mkristo na tunakesha tukiomba ila sio uku mitandaoni kama ufanyavyo ww. Amin nakwambia mheshimiwa Rais atapona lakini sio kwa maombi yako ww mnafiki wa uku mitandaoni kutwa upo mtandaoni unamuombea saa ngapi au unahisi unavyo andika hapa ndio maombi hayo.?
Mimi mkristo naambiwa ktk biblia kuomba bila kukoma,kama nakukera mkuu zima data wewe
 
*Wapiga madili

*Wapinzani

*Wasomi wanaosubiria ajira zaidi ya miaka mi4

*Waliotumbuliwa

*Vyeti feki

*Wasifiaji wanafki wenye uchu wa madaraka

Bado tu unadhani ataendelea kupendwa na kila Mtu ?

Tumuombee Rais wetu maana vita aliyonayo si ya kitoto hata kidogo.
Mnaosema nchi ina chuki,hivi chuki mnayosema itakapofika nadhani watu tutaftana,nadhani mnaotamka kuhusu chuki,mnaitaka,kwani mlinenalo ndilo mnalopewa.

Chuki zipo nchi za Somalia,DRC Congo,Libya na nyinginezo ambazo kila kukicha kunasikika milio ya risasi na mabomu,hivyo raia hawawezi hata kupata usingizi.

Wewe ambaye unauhakika wakulala bila wasiwasi,ukaenda mahali popote ukarudi nyumbani usiku wa manane kwa usalama kabisa bado unasema nchi ina chuki kweli umefikiri sawasawa?

Nchi ipo salama kabisaa
 
Mungu baba uketiye mahali pa siri palipotukuka licha ya kwamba binadamu kifo kaumbiwa,nakemea mabaya yote yanayonenwa dhidi ya mtumishi wako JJ,Magufuli ,mpe maisha marefu ,wabaya waspate pa kusemea,mlinde daima .mjalie afya njema huko aliko,Amen.
Yaani ningeweza kulike hapa mara milion nyingi ningefanya hivyo! Kama Ni mgonjwa Mungu kwa rehema zake amponye amrejeshe ktk Khali yake ili aeendelee na majukumu ya kuliongoza taifa.
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Pole sana ndugu.
Kulia kunapunguza stress. Lia tu upate nafuu.😭😭😭
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom