Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Nenda kwa Trump katukane hadharan lakini si hapa Tz tutakushikusha adabu tu
 
Naona kweli wasakwe wote ambao wamemaliza vyuo na ajira hawajapata wanaombea mabaya na pia watumishi wa umma wote wanaodai pia mishahara yao haijapanda wasakwe ,pia wengine wanaodai kubomolewa nyumba kimara naona wapo kwenye kundi hili wasakwe pia
 
Sio Kila uzushi ni wa kujibu....wahusika wasakwe popote pale hata kama chini ya uvungu wa vitanda vyao wakamatwe na kushikishwa adabu ndiyo dawa yao....hatuwezi kuwa taifa la kuzusha zusha tu habari.
Panapokuwa na habari feki na hakuna mwenye dhamana anaekanusha na kuuelezea uma usahihi wa kilichopo!

Kurugenzi ya habari pale mjengoni wana kazi gani?!

Kwa nn wasitumbuliwe kwa kuacha uongo utamalaki bila kuusema ukweli kwa muda wote huo?

Jitafakarini kabla ya kufikiria kuwatoa watu kafara!
 
Waliozusha wameshasema yupo wapi,wewe ambae umekanusha ndo inatakiwa utueleze yupo wapi ili kuwaumbua wazushi
Sio lazima Kila wakati ujue Rais yuko...sio Kila Jambo analofanya Rais linawekwa hadharani...Mnatakiwa kujua taasisi ya Rais inavyofanya kazi.
 
Umesahau kuweka no ya simu labda milango ya kuzimu itafungwa nyuma yake ili akupe hata uhousegirl ikulu.
 
Yaani ningeweza kulike hapa mara milion nyingi ningefanya hivyo! Kama Ni mgonjwa Mungu kwa rehema zake amponye amrejeshe ktk Khali yake ili aeendelee na majukumu ya kuliongoza taifa.

Mungu baba pokea roho yake ktk moto wa milele.Amina
 
Mimi tayari nimesha shusha Bendera ya Moyoni mwangu ikiwa nusu mlingoti inapepea nasubiria tuu kuchek Bundersliga hko Germany.
 
Nimeanza na Konyagi Mbuzi anachomwa vizuuri kabisa na nimeongea na mtaalam wangu huko Tanga nimemwambia vipi hii akasema kitu cha Kusini kimezama deep

Nikamwambia kama anaweza na yeye kupigilia msumari wa moto akacheka sana
 
Sio lazima Kila wakati ujue Rais yuko...sio Kila Jambo analofanya Rais linawekwa hadharani...Mnatakiwa kujua taasisi ya Rais inavyofanya kazi.
Mbona povu mkuu???...tulia mungu atende haki kwa kila mtu
 
Tatum habar yako


Unadhan uongoz Wa jf hawalioni hili Kama tatzo ukiona hivyo ujue kuna wanachokifahamu ndio maana wapo kimya hawadelete post za dizain hiyo ambazo WWE unazipgia kelele

Mm Binafs nilijua wwe n mtu Mkubwa huko serikalin au chamani kumbe nawe n Kama mm hadi uambiwe cha kapost we hushangai had Leo Hakuna tamko lolote juu ya kukikemea chombo chochote cha habar juu ya hiz Taarifa

Anyway mwalimu wangu aliniambia muda n mwalimu mzur tusubiri
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…