Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Yaani hapa kunawatu wanavutiwa time kwenye huu mtego we utaniambia watapotezwa watu mpaka tunyooke. Nawasihi watanzania wasiandike vibaya itawagharimu
 
Mbona leo lugha zilizotawala ni za mafumbomafumbo tu,kuna nini?.
 
Wewe mleta mada nimnafiki Sana yaan badala ya kuwamasisha watu tumuombee raisi wetu mpendwa ili asipatwe na majalibu yoyote,

Wewe unakuja na ngonjela za mialiko mialiko inasaidia Nini kwa wakati Kama huu, watanzaia sisi niwamoja na Rais wetu mungu atamtangulia kwa Kila jambo
 
Kuna tweet inasema Leo kafungua macho
Mungu ali
Nimeanza na Konyagi Mbuzi anachomwa vizuuri kabisa na nimeongea na mtaalam wangu huko Tanga nimemwambia vipi hii akasema kitu cha Kusini kimezama deep

Nikamwambia kama anaweza na yeye kupigilia msumari wa moto akacheka sana
Nguvu za giza zimeshindwa nguvu kabisa.tulishamuombea ataishi hatakufa
 
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
 
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
Linafiki tu hili mkuu halina jipya zaidi ya kusubiri #breaking new, ndio maana kila muda lipo online kutegea.
 
Ni kusali sio kuswali, mkuu
 
Hivi wale waliochangamka kupinga uwepo wa ugonjwa wa zika nchini wapo wapi watusaidie kwenye hili?🤨
 
Ansbert Ngurumo,Evarist Chahali,Zitto Kabwe,anayejiita Kigogo2014,Anayejiita Mcomoro no unataka Nani mwingine
Kuugua kwa binaadamu yeyote achilia mbali viumbe vingine ni kawaida na si hatari kwa taifa. Na ndiyo maana tuna katiba iliyo tambua uwepo wa ugonjwa katika majukumu ya Rais . Achilia mbali kuwa tunaye makamu wa Rais, ambaye wamepigiwa kura pamoja . Kwa hiyo hakuna hatari kwa taifa [emoji120]
 
Ingekuwa very simple. Kwa vile Mhe Rais ni mzima wa afya, hata kama amepumzika baada ya safari ndefu, angepangiwa dakika kumi tu. Aende pale kanisani anaposali, waandishi wa habari wakiwepo. Apewe mic aongoze sala fupi kama anavyofanya maeneo mengine. Asalimie watu awaambie "Jamani wananizushia tu mimi ni mzima kabisa. Ila nimechoka kwa ziara ndefu niliyokuwa nayo
bila kupumzika. Nikaamua kuikatiza. Paroko naomba nikapumzike". Halafu aondoke. Nakwambia kanisa zima na Watanzania wote wangemshangilia na kumwombea Mungu amtie nguvu. Halafu vyombo vya dola ndio vianze kushughulika na hao waliotunga huo uongo na kumzushia rais wetu mpendwa kifo. Lakini kusema ni uongo bila kueleza ni kwa nini alikatisha ziara na yeye haonekani hadharani ndio uongozi wanazidi kuwatia watu hofu. Kama ni mgonjwa litolewe tamko. Kwani kuumwa si kawaida ya binadamu wote? Nyerere alipopelekwa St Thomas Uingereza si watu waliambiwa? Kikwete alipoenda kutibiwa Marekani si tuliambiwa? Kwani kama hayupo nchini kuna shida gani? Si kuna wasaidizi wake ambao wanatekeleza yale majukumu yake?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…