Ni majaliwa yake Mungu Baba kuuona mwaka!
Nimejikuta nawasikiliza Sikinde Ngoma ya Ukae... dah vijana wa siku hizi sidhani kama wanawafahamu akina Bichuka na Rehani
Huu uzi mara ipo siasani mara huku [emoji41][emoji41]
Sasa kwanini watu wanadhani wewe ni mchaga ilhali we ni mmatumbi?!
Hakuna anaye furahia hicho kitu lakiniNawewe mbona unawaombea mabaya wenzio.
Yamkini ndio nyinyi mnafurahia wenzetu kupivwa risasi za moto mchana kweupe
Katika ujenzi wa barabara iwe ya lami au kokoto basi ni lazima uweke mtaro au mfereji ambao utakuwa unakusanya maji na kuyapeleka mbali na barabara na kama hutafanya hivyo basi kuna water seepage itatokea na utake usitake itabomoa barabara yako hata kama umeijenga kwa mawe na lami
ControversialBasi naomba nitumie muda huu kwakweli kujaribu kuweka hii kitu katika namna ambayo kusema kweli utakua ni sahii maana kwakweli ndo hivyo. Sote tujue kua kwakweli ndo hivyo maana ata kama ilikua katika jinsi ilivyo basi ndo hivyo..
Tuzidi tu kusema kua wote ata wale nao kua basi kila jambo ni sawa
Sasa docs zinazo mhusu ruge kwa mfano zinawezaje kumsababishia kihoro mkuu? Wakat kuna hardcopy, kuna vinasa sauti kuna vinasa picha na video vyote hivyo vimetunza hizo nyarakaHuyu jamaa anajua kudandia meri balaa.. kigezo chake kikubwa ni kwamba Meko amezima ziara yake huko mtwara ghafla.
Pengine amezimia baada ya kusikia DPP kaacha mlango wazi wezi wameiba wabujumu uchumi
.
Nadhani ni rahisi mahabusu kutoroka gerezani kuliko wezi kuvunja ofisi ya dpp na kuiba computer zenye docs za uhujumu uchumi
Yaani Mtu anashangilia mwingine kuugua? any way kama hata Mwenye enzi Mungu mwenye Dunia yake ameona ni sawa tu kwa shetani kuishi Duniani na Wanaadamu, sisi ni nani kutarajia yaliyo mema tu?Acha ashangilie ila hilo analotegemea halitatokea.
umenena!Tunabalance stories za kompuutaaaaa ili upeppoo uwe sawa ...
SanaUzi unakimbia kweli kweli.
Kama AdijaUzi unaselema
Kwamba kiongozi hakubaliki na wengi? Hii pumba umeitoa wapiHakuna kiumbe kibaya na hatari kama mwanadamu. Hapa ndo nauelewa usemi wa "never trust anyone" , kila mmoja ana weakness na strength zake wakuu na siyo kila mmoja utamfurahisha sikuzote na ukiona wewe unakubalika na kila mmoja jua una mapungufu mengi siyo kawaida.
Kiujumla kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya mwanasiasa na kiongozi.
Mzee ni kiongozi na siyo mwanasiasa ndo maana wengi hawamkubali, sikuzote kiongozi huwa hakubaliki na wengi.
Mungu azidi kumpigania.
Kila mtu na 'interpretation' inayompendeza. Mjadala safi sana huu.Ngoja hata akinusurika aone anavyochukiwa.