Ibilis pepo mchafu ashindwee na alegeeTena ni tabia za kishetani kuwaombea wenzetu mabaya.
Kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi??? Kwani moyo wake ni artificial?Just nonsense. Wanachosema hawa ni kupiga ramli tu. Hawana cha maana. Wanadai kuwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi bwana mkubwa kimezima, so he is no longer able to function as President so VP ndio anachukua duties. Its nonsense because pacemaker ni kifaa kinachochekiwa mara kwa mara and at the level of president his safety is top priority. Kama wanawish atoke in power, they have to wish for other ways sio hizi.
Kuwa Mkuu wa nchi hakuna atakayekupenda.. Hata JK tunayemlilia sasa alichukiwa wakati wake..
Hata JPM akitoka kwenye hatamu atakumbukwa kwa mazuri atakayotuachia..
Alifanya kitu gani ikathibitisha hayo!!!!Tatizo lake dogo ni kwamba ana roho mbaya na ubinafsi..
Yuko.mjini tayariyupo DDM ofisini, hivyo huo ni umea wa kigogo
Kwa hivyo huwezi kunyamaza huwa unasemea wapi?Kwani mimi nikifa utapata faida gani wewe. Mimi niko tayari kufa nakutetea uhuru wa kujieleza na demokrasia Tanzania. Nchi yetu nzuri tulikuwa tunaishi kwa upendo ila hili Jiwe kutoka Rwanda linaivuruga kila siku.
Nyinyi ambao mumeamua kukaa kimya endeleeni kukaa kimya. Ila sisi wengine tutapaza sauti kwa kila namna mpaka aache huo UDIKTETA wake. Na hatuwezi kutunyamazisha.
Pacemaker!Kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi??? Kwani moyo wake ni artificial?
Siyo 92% ni 100%
Posts nyingi humu zinasikitisha sana sana.. inaonyesha hii nchi yetu ina watu wa namna gani.
Mwenyezi Mungu yupo, namsalia mabaya yoyote mnayomuombea yasimpate.
Hawa wanaomuombea mabaya Rais ni wachache na wanahesabika ,usitishwe na mitandao , hawa hawa ndio hata kwenye kura hawapigiPosts nyingi humu zinasikitisha sana sana.. inaonyesha hii nchi yetu ina watu wa namna gani.
Mwenyezi Mungu yupo, namsalia mabaya yoyote mnayomuombea yasimpate.
Kwakweli hakuna uhakika hata mimi nimelisikia hapahapa jukwaaniKuna ukweli gani kwamba anaumwa?
Ben saa 8Hata kama simkubali katika mambo flani flani. Unataka nifurahi Mtanzania particulary msukuma mwenzagu kupatwa na majanga?Dudajaga chene.
Kuna mpango unapikwa hukoo jikonii
Ni majaliwa yake Mungu Baba kuuona mwaka!
Nimejikuta nawasikiliza Sikinde Ngoma ya Ukae... dah vijana wa siku hizi sidhani kama wanawafahamu akina Bichuka na Rehani
Posts nyingi humu zinasikitisha sana sana.. inaonyesha hii nchi yetu ina watu wa namna gani.
Mwenyezi Mungu yupo, namsalia mabaya yoyote mnayomuombea yasimpate.