Semaaaa nimewazaaa mkuuu make hii nchi yetu ni yetu haswaaaumenena!
Mbona kuna mahali alisimama chini ya ht huko kusiniWatu wenye pacer, hawaruhusiwa kusima, chini ya wata za umeme, haswa HIGH TENSION CABLES,
Msipende kujaza kwenye ubongo taarifa zisizo za kweliTunajua wenyewe!
Haina nomamalipo ni hapa hapa duniani.
MBINGUNI TUNAENDA KUHESABIWA TU.
Sihitaji mtu awaye yote aniaminiHata wewe pia hatukuamini
There is such a thing as getting too carried away.What's the point! Kwamba wanaotaka apewe miaka 10 zaidi hawana hakika kama atakuwepo, hiyo 5 tuliyompa tulikuwa na hakika kama ataimaliza?!
Nani anaongeaga ujinga? Embu quote niusome
Subiri TBC1Msipende kujaza kwenye ubongo taarifa zisizo za kweli
Tuombee taifa letu
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
Dont take it too seriously ,wengne wanajfurahisha tuu hmuPosts nyingi humu zinasikitisha sana sana.. inaonyesha hii nchi yetu ina watu wa namna gani.
Mwenyezi Mungu yupo, namsalia mabaya yoyote mnayomuombea yasimpate.
Bado naamini ni mzima kama Jiwe? Wenzie washamkimbiza Germansidhani... haya mambo hayana siri! hakuna kitu mzima kama Jiwe
And this is what, English?There is such a thing as getting too carried away.
It is prudent to invoke the going concern, else we wouldn't get up from bed.
It is tempting fate to project the presidency of a pacemaker driven megalomaniac way beyond reasonable and constitutional limit.
As if that is not enough, any talk of extending the presidential terms or abolishing term limits will open a pandora's box of multitudes of other unpalatable constitutional changes, since it will be absurd to legitimize one constitutional change without regarding any other.
But that is for people who think logically.
Tanzania ceased to be a logical country some time ago.
So, I will understand any vitriol, be it under the veil and guise of patriotism, nationalism or any such label for cheap political expediency.