Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
100% uki÷ mara mbili,jibu lake ni 50% na 50%uki× kwa mbili,jibu lake 100%.
 
Aisee!
 
Idara ya usalama wa taifa mmeteleza kwa kweli,
watu hawa;
maria sarungi, fatma karume, nkuna, suphian, hilda, tito, n.k ni wazi walitakiwa wapate adhabu ambayo ingekuwa fundisho dunia nzima
Haiwezekani kejeli, uongo kwa raisi ndio maisha yao ya kila siku.
 
Naskia wachawi wa gamboshi wamemsindikiza jiwe ujerumani kumpatia huduma ili apone mapema
 
Kweli najua watanzania wengi uelewa wetu mdogo na elimu hairidhishi sana, kilichonishtua zaidi ni wingi wa kundi la watu wenye roho mbaya.

Hii ni hatari kubwa kuliko wale maadui watatu aliowaainisha Baba wa Taifa (Ujinga, Umasikini na Maradhi).
 
Uongo gani sasa? Halafu je hiyo ndo kazi ya usalama wa taifa. Wewe ni mpumbavu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…