Duh!Off topic.....Vyakula vya misibani sijui kwanini huwa vina ladha..pilau la msibani jamani ni tamu kweli kweli!
Bdw nimemis tu pilau..
Kwa mara ya kwanza wachawi wanajitangaza hadharani!
Malaika wenzake wamchukue tu mana alitamani kuwaongoza nao,j3 atakua ofisiniKinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
Linaugua pale linapopigwa na Nyundo.Toka lini mawe yakaugua?
Jiwe laliwezi kuugua!
Aisee!Ni kama vile tumeshaingia ukumbini na tunasubiri director aanze kutuonesha senema ya kuogofya sana...
Kila mtu yuko kimya ukumbini... Hofu na sintofahamu vikiwa vimetanda... Senema haiji... Wana propaganda na wazee wa kurekebisha wako kazini kuhakikisha wapenzi watazamaji hawataruki senema ya kutisha sana itakapoanza..
Wapiga mayowe hayaa
Wapaparikaji haya
Washangiliaji hayaa
Wapiga vifijo nderemo na mahamham wote hayaa
Wapiga kwikwikwi wote mule mule
Director tuna hamu ya kuona muvi... Usitusubirishe sana
Naelekea kwa mama muuzaView attachment 1238660
Leo nahisi kuna furaha nitaipata kabla sijalala
Tena pilau tutatumia wale nyumbu wa burigiOff topic.....Vyakula vya misibani sijui kwanini huwa vina ladha..pilau la msibani jamani ni tamu kweli kweli!
Bdw nimemis tu pilau..
Dah the last emperor mwenyewe. Mkuu ulipoteaga wapi?Upo mgodi gani dada lake.
-Kaveli-
Naskia wachawi wa gamboshi wamemsindikiza jiwe ujerumani kumpatia huduma ili apone mapemaKwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Huyo johnthebaptist na zitto junior ni watu ninaokubali thread zao hapa JFTUJITEGEMEE
MISULI
misasa
stroke
imhotep
MsemajiUkweli
Victoire
@Tumainei
johnthebaptist
cocochanel
Mbona mpo kimya wapendwa au wkend imenoga
Idara ya usalama wa taifa mmeteleza kwa kweli,
watu hawa;
maria sarungi, fatma karume, nkuna, suphian, hilda, tito, n.k ni wazi walitakiwa wapate adhabu ambayo ingekuwa fundisho dunia nzima
Haiwezekani kejeli, uongo kwa raisi ndio maisha yao ya kila siku.
Mkuu ikija ishu ya jiwe kupata mabaya Mungu hawezi ruhusu jamaa apaliiwe na iyo shampenMara paap, unapaliwa na hiyo champagne then you call it a day. "If wishes were horses"..
Kiazi kweli.
Ili nini sasa? Em lala tu.