sina,ila sio kwa chuki hizi...
Chalamila atakuwa anatandika viboko wasio ombolezaHata kamm lina maukoko yameungua huwa very tastey yaani...kabudi atakuw mc😎..akichagiza na Chalamila😎
AmeenTumsifu Yesu Kristu
Kabisa tuweke chuki pembeni hata kama CCM tuna siasa za chuki lakin tuweke pembeni tueneze upendo
Hajawai kusema atakuwa kanisa fulani. Ila kama unamuhitaji sana nenda ikulu.Tunasubiria wengi Kwa hamu kuona Missa ya kesho ambayo Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanganyika na Zanziba atakapoudhuria ibada
Watu watakusanyika sana na kumsililiza atasema nini
Kanisa likijulikana mapema litajaa kuzidi kawaida
Nawatakieni Ibada njema muungane na Rais kusali
Britannica
hakuna kitu,we lala tu
Tumsifu Yesu Kristu
Imetoka nyingine kuwa kuna mkutano unaanza j3 na yeye alipaswa kuwa mgeni rasmi ila hatokuwepo badala yake atawakilishwa na makamu wa Raisi.Imekuja, katumbua mkurugenzi Na Mkuu Wa wilaya huko kusini..
Nawashangaa kwa kumuombea mabaya binadamu mwenzio,hata kama unamchukia kiasi gani,lakn inapofkia kumuombea kifo,hapo utu unakuwa umekutoka....u become an animal or something far than that!Unao washangaa ni kina nani?
Kama kuna jambo lolote litamtokea Rais under no any circumstance hatuwezi kuwalaumu wapinzani! Watu wa kulaumiwa ni walio karibu na Rais i.e. CCM,PSU na JWTZ!
Simkubali kwa siasa za kibabe na kuonea upinzani ila yeye Kama amiri jeshi mkuu namkubali kwa ustawi wa taifa akiyumba tutayumba
Ndiyo MkuuTunahitaji watu wenye mioyo ya aina hii.
Hata mimi siafikiani nae baadhi ya mambo lakini sijahitimu bado kuwa na roho ya kufurahia tetesi.
Chuki, roho mbaya na husda zinamuumiza zaidi anaeamua kuzikumbatia.
Mungu Ibariki Tanzania, Wabariki viongozi wake wote!
kumpiga risasi tundu lissu na kuteka watu hiyo ni roho gani?? kufaa to magufuli kufaaa haiwezekani tuishi maisha ya ajabu kwasababu ya mpumbavu mmoja tu kufaaaa jiwe,afe tu
Na aweza kufa piaKila mtu uugua hata we we siyo chuma