Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Sasa wanaficha wanasababisha watu wajijibu wenyewe kwa wenyewe.Kama aliwapenda wenzie basi tutegemee nao watampenda
Pamoja na kwamba alikua kiongozi wa nchi pia ni baba na ana familia iliyokua inampenda,muwe mnawafikiria hao hawajawakosea lolote 😢