Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Wamefanya kosa kubwa sana, wametake risk kubwa sana ambayo isipokuwa kama watakavyo itawagharimu sana

Hawajui lolote kuhusu siasa and yet wanataka kuongoza

Unathubutuje?? Kamari walio cheza sasa hiv ni kubwa kuliko kamali ya kumsimamisha Lowasa

Matokeo yakiwa ndivyo sivyo

1)watajulikana nia yao ovu
2)watapoteza credibility ya kuwa wanazushaga tu mambo

Matokeo yakiwa has kwa taifa

Watabeba lawama kuwa walihusika moja kwa moja, itakuwa ngumu kwa jamii kutoamini kuhusika kwao

Usioneshe chuki yako waziwazi ni kosa kubwa sana kisiasa

Saa nyingine nawaza hawa watu kama kweli zimo timamu, ni heri vyama vyote vya upinzani vifutwe na vianzishwe vipya na hawa waliopo wapigwe ban kuviongoza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…